sanga malua
JF-Expert Member
- Dec 17, 2011
- 226
- 49
NCHI yetu kwa sasa imekosa watu wenye hekima serikalini na chama Tawala.chuki hizi za vijana zina sababu yake.sehemu kubwa ni kutotimiza matarajio ya vijana.kuna viongozi wamejilimbikizia mali kupindukia vijana wanaona na wengine wanasikia! kuna viongozi hawafanyikazi zaidi ya kuzurura,vijana wanaona. kuna viongozi wamehodhi kila fursa nzuri kwaajili yao na watoto wao vijana wanaona! kuna viongozi wanajiona ni miungu watu,vijana wanawaona kwa kujisikia kwao! kuna viongozi wanachezea maisha ya wenzao vijana wanawaona,MWISHO WA YOTE NDIO HIZI CHUKI ZA WAZIWAZI!!!
Kwakuwa hatuna watu wenye hekima, walioko kwenye system watapuuza kwakusema hao ni wajinga wachache wa kwenye mitandao.wanasahau hata wasiongia kenye mitandao huonesha hasira zao kwenye mikokoteni, magari kwa kusema iko siku, yote yana mwisho etc.
Kwakuwa hatuna watu wenye hekima, walioko kwenye system watapuuza kwakusema hao ni wajinga wachache wa kwenye mitandao.wanasahau hata wasiongia kenye mitandao huonesha hasira zao kwenye mikokoteni, magari kwa kusema iko siku, yote yana mwisho etc.