enzi hizo tulikuwa tunakula beef za tanganyika perkas,maziwa ya kcc,ndio maana tulikuwa na akiliNaitaman pia kwa kutujenga ktk misingi ya ubinadamu!
Kulikuwa na vibanda kibao mtaani vya CHAKULA BARAFU!..unapata maziwa ya ukweli pale!enzi hizo tulikuwa tunakula beef za tanganyika perkas,maziwa ya kcc,ndio maana tulikuwa na akili
Kulikuwa na vibanda kibao mtaani vya CHAKULA BARAFU!..unapata maziwa ya ukweli pale!
Hiyo ni baada ya vita ya kagera! but from independence to 1979 things were better in terms of literacy level,classless society,we were standing up for any nation that was oppressed.They needed us and we were there,they admired us a lot! not because we were rich,strong but because that was our character.Gagurito,
Ikiwa sasa hivi watu wanasema maisha magumu wangekuwepo wakati wa nyerere wangesema hii ni pepo.
Wakati wa nyerere tulikuwa "motoni", hata sukari unapewa kaya moja kilo moja kwa wiki au mpaka mwezi, hiyo ni mjini, vijijini walishasahau sukari ni nini?
Halafu wewe "unatamani"??!!
Tuulize tuliokuwepo, usisikie vitabu vya kumpamba. Uongo mtupu.
MI nimeyaishi!!...Gagarito, hayo umeyasoma hujayaishi. Sisi tumeyaishi na washahili hunena "siri ya mtungi aijuwae kata".