Mimibaba
JF-Expert Member
- Jul 1, 2009
- 4,557
- 1,291
Mimi siitaki Tanganyika!
Mimi naitaka sana Tanganyika ndiko nilokozaliwa ndoto zangu hazijafutika hasa wimbo nilioumba
"Vijana wa Africa Kazeni mwendo wenu kuufikia ustarabu. Tazameni mbele yenu nyuma kuna giza tupu"
Kutoka 1964 tumetazamishwa nyuma yetu mbele yetu kumebaki giza tupu. Sababu tuliingizwa kwenye muungano wenye maslahi yasiyotuhusu, wala nyenzo za kuurekebisha hazipo.