Crucifix
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 1,651
- 588
Nampa Saluti Warioba
Nyerere alimuachia Mwinyi urithi wa waziri mkuu Warioba. Mwinyi akampiga chini, akam-demote na kumpa kauwaziri fulani (kazi kama sikosei). Tangu hapo maadili katika uongozi yakaporomoka kwa kasi sana kwani ajenda ya warithi wa Warioba ilikuwa kama ifuatavyo
Nawapa saluti pia Salim na Msuya, ambao u-PM wao umewafanya kuwa watu wa kuheshimiwa katika nchi hii. Saluti ya mikono miwili kwa 'jembe' marehemu Sokoine.
Nyerere alimuachia Mwinyi urithi wa waziri mkuu Warioba. Mwinyi akampiga chini, akam-demote na kumpa kauwaziri fulani (kazi kama sikosei). Tangu hapo maadili katika uongozi yakaporomoka kwa kasi sana kwani ajenda ya warithi wa Warioba ilikuwa kama ifuatavyo
- Malecela - urais wa Tanganyika kwa nguvu ya wabunge 55 (G55) kabla Nyerere hajashtuka
- Sumaye - ni marufuku kumwagilia mchicha au kuosha magari, kuna uhaba wa maji ruvu chini/juu
- Lowassa - urais mwenza na JK (yaani kama mke mwenza vile ikulu - na wote mnajua matatizo ya ukewenza)
- Pinda - "sijui ni kwa nini Tanzania ni maskini, ngoja nimpigie simu mwenye nchi" (JK)
Nawapa saluti pia Salim na Msuya, ambao u-PM wao umewafanya kuwa watu wa kuheshimiwa katika nchi hii. Saluti ya mikono miwili kwa 'jembe' marehemu Sokoine.