TUNTEMEKE
JF-Expert Member
- Jun 15, 2009
- 4,587
- 579
Hivi kuna kuna watu wanampenda mnafiki zitto kabwe makubwa(watakuwa ni ccm na cuf hawa ili chama kife).muwekeni basi agombee urais muone kama hatapata kura hata laki tano.na mmlinganishe na slaa.watu tunajua kutofautisha kati ya kondoo na mbuzi.
zitto kasaliti nini?au ww unaleta ushabik tu,ebu tupe evidenc za usaliti wa zitto na wala usituletee habari za gazeti la udaku la Mwanahalisi.Bravo zitto kwa kas yako.