Very good noted!!na wanaungwa mkono na magamba KIM, FF and co!! Ignore them please!!Mkuu Asante sana.Huyu mwandishi Godifrey Dilunga tumeshamjadili sana hapa.Ni mtu ambaye siku zote anaamini Chadema ni mbaya na haina viongozi makini.Alichokiandika ni kujaribu kuleta mgogoro kati ya Mbowe na viongozi wenzake.Si ajabu huyu mwandishi ndiye aliyeleta hii mada kwa jina bandia.Nawashauri wana Chadema puuzeni hii makala na haina jema lolote kwa chama