Warioba: Huu ndio ukweli kuhusu Mwananchi Gold

Baadhi ya maswali yaliyoulizwa humu na wana JF yanaweza kujibiwa na maelezo haya hapa chini. CEO wa Mwananchi Gold anaitwa Mr Isaac Manyalla na anatoka BoT. Maelezo mengine ni kwa mujibu wa magazeti ya Thisday na KULIKONI na wao wamenukuu mahojiano yao na Manyalla, Warioba, Mangula (alikuwa Katibu Mkuu wa CCM), Peter Kisumo (Mdhamini wa CCM ambao ndio wanatambua mali za chama), Andrew Mkapa wa Brella na nyaraka za Brella.

BoT ilitoa mikopo isiyo na riba ya jumla ya Dola za Kimarekani 2,609,478.55 kwa mwaka 2004/2005 na mwaka uliofuata (2005/2006) ikatoa tena mkopo mwingine wa Dola za Marekani 2,902,920 na hivyo kufanya jumla ya fedha zote zilizokopeshwa kwa Mwananchi Gold kuwa Dola za Marekani 5,512,398.55 hadi tarehe 30 June, 2006.

Wanasheria mbalimbali waliwahi kubainisha kwamba BoT ilikua imekiuka sheria inayosimamia uendeshaji wake (Sheria ya Benki Kuu ya Mwaka 1995, iliyorekebishwa mwaka 2006).

Pamoja na wanasheria hao kunukuu kifungu cha 52(1)(a) kinachoiruhusu BoT kufanya biashara ya dhahabu, wamesema inaruhusiwa kufanya hivyo kama taasisi na si kwa kushirikiana na watu binafsi kama ilivyofanya kwenye Mwananchi Gold.

Wanasheria hao wamenukuu kifungu cha 60(1)(a) cha sheria hiyo kinachoizuia kabisa BoT kufanya biashara na kuwa na maslahi (hisa) za moja kwa moja katika biashara, kilimo ama hata viwanda mambo ambayo yanaweza kuathiri utendaji wake.

Taarifa zilizopo kutoka kwa Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) zinaonyesha kuwa, Mwananchi Gold Company Limited ni kampuni binafsi ambayo wamiliki wake ni Benki Kuu ya Tanzania (hisa 500), Shirika la Maendeleo la Taifa (hisa 375), Mwananchi Trust Company Ltd (hisa 1,123) na Chimera Company Limited (hisa 500).

Wakati Chimera ni Kampuni ya kigeni ya Wataliano, Mwananchi Trust ni kampuni ya kizalendo ambayo kwa kiasi kikubwa inamilikiwa na kina familia ya Warioba, Mahalu na Yussuf Mushi (kama si kuwashikia watu) kupitia kampuni zao za Umoja, VMB, YM na CCM Trust.

Mwaka 2003, BoT ilitoa mkopo bila riba kwa Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC) wa Dola za Marekani 1,865,000 (takriban Shilingi bilioni 2) kwa ajili ya ununuzi wa kiwanja kilichotumika kuweka inayodaiwa kuwa mitambo ya Mwananchi Gold ya kusafishia dhahabu eneo la Vingunguti, Dar es Salaam.

BoT iliendelea kuchangia uendeshaji wa Mwananchi Gold kwa kulipa mishahara na uendeshaji wa kampuni hiyo na mara ya kwanza zilitolewa kiasi cha Dola za Marekani 95,000 (takriban Shilingi milioni 100) kama mkopo kwa kampuni hiyo.
Hii story hapa chini ina baadhi ya majibu:

ThisDay

MWANANCHI GOLD PROJECT: Lawyers say... BoT broke the law


THE Bank of Tanzania has broken its own law by investing in the privately-owned Mwananchi Gold Company Limited, legal analysts said yesterday.

”BoT’s involvement in the Mwananchi project is in contravention of the repealed Bank of Tanzania Act of 1995 that preceded the Bank of Tanzania Act of 2006, which became operational this month,” said a legal expert familiar with Central Bank operations.

According to the expert, the 1995 Act allowed the BoT by the provisions of Section 52(1)(a) to ”import, export, buy, sell, hold or otherwise deal in gold”.

However, analysts maintain that the BoT could only do this in its own capacity and not as a shareholder or part of another entity with a separate legal personality.

Citing the provisions of Section 60(1)(a) of the same Act, the experts noted that the law expressly prohibits the BoT to ”engage in trade, own or acquire any direct interest in any commercial, agricultural, industrial or similar undertaking except in the course of obtaining satisfaction for any debt due to the Bank”.

”The Mwananchi gold project is not only a private commercial venture, but also an industrial one as it is meant to process raw gold. As such, according to the law, BoT had no business being there”, said another expert.

He added: ”Being a shareholder in the gold refinery, BoT acquired a ’direct interest’ in Mwananchi Gold Company and this is, by any interpretation, contrary to the law. And there was no debt to recover when BoT went in.”

The new BoT Act of 2006 has similar provisions on the Bank’s involvement in gold dealings and prohibition on involvement in trade, commercial and industrial undertakings.

The Bank of Tanzania has a 20 per cent stake in Mwananchi Gold Company Limited, which was officially commissioned by former President Benjamin Mkapa in December, last year.

Apart from directly investing in the privately-owned company for its share capital, the Central Bank has been heavily funding the project from its inception.

In the year 2003, the BoT had provided an interest-free loan to the National Development Corporation (NDC) amounting to $1,865,000 (around 2bn/-) for the purchase of the plot in Vingunguti area on the outskirts of the city where the refinery is located.

Last year, the BoT was forced to come to the rescue of the gold refinery when it ran out of money to pay staff salaries.

Following a request from the Chairman of the company’s Board of Directors, former Prime Minister, Joseph Warioba, who is also one of the shareholders in the project, the BoT injected a further $ 95,000 (around 100m/-) as a loan to the private, commercial project contrary to its own law.

In a letter dated March 10, 2005, Mr Warioba made an urgent plea to the BoT Governor, Dr Daudi Ballali, for the loan, using share certificates as collateral.

The involvement of the Central Bank in the privately owned project does not only end in bankrolling its operations.

The BoT also seconded one of its senior officers, Mr Isaac Manyalla, to run the gold refinery as its managing director.

There has been confusion over the status of a mystery company using the name of the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) that is tied up to the gold refinery.

Top CCM leaders say they are not aware about the existence of the company that owns a substantial amount of shares in the project.

Our investigations revealed that Mr Warioba and businessman Yusuph Mushi, who already own shares in the gold refinery, were also listed as subscribers, directors and first shareholders of the mystery CCM Trust Company Limited.
 
Yes, CCM owns Mwananchi Gold, unsigned statement says


MWANANCHI Gold Company Limited declared yesterday that the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) has shares in the gold refinery.

In an unsigned media statement, the company stated that CCM Trust Company Limited, which is associated with the gold refinery, was owned by the ruling party.

’’We would like to declare that CCM Trust Company belongs to CCM, we dare them (THISDAY) to go to CCM and see if they will dispute that,’’ said the statement, which is not only unsigned but also bore no official seal or stamp.

CCM Trust Company Limited holds a major stake in Mwananchi Trust Company, which owns 45 per cent of the shares in the gold refinery, making it the majority shareholder.

In the three-page statement, Mwananchi gold roundly attacked THISDAY, its journalists and publishers for alleged malice, but admits that journalists from THISDAY interviewed its Board Chairman, former Prime Minister, Joseph Warioba, on several occasions.

Investigations by THISDAY established that officials at the Business Registration and Licensing Authority (BRELA) had initially refused to register CCM Trust Company Limited until a letter of consent for the use of the name was obtained from the ruling party.

Records at BRELA further show that Mr Warioba and businessman Yusuph Mushi are the subscribers, directors and first shareholders of CCM Trust Company Limited.

A letter of consent said to have been signed by former CCM Secretary-General, Phillip Mangula, was submitted to BRELA to authorise the use of the ruling party’s name.

Several senior CCM leaders, some of them preferring not to be named, say they are not aware of the existence of CCM Trust Company Limited and its involvement in the gold refinery.

Our investigations further revealed that the ruling party’s Central Committee had not even been informed about the existence of such a company.

Apart from being listed as shareholders of CCM Trust Company Ltd, the former PM and Mr Mushi already own other shares in the gold refinery through Umoja Entertainment and YM Holding Company respectively.

The BoT has been heavily funding the privately-owned gold refinery, an undertaking described by legal analysts as illegal.

The BoT has a 20 per cent stake in the gold refinery located at Vingunguti area in Dar es Salaam, with other shareholders being Mwananchi Trust Company (45 per cent), the National Development Corporation (15 per cent) and Chimera Company Limited (20 per cent).

ThisDay
 
Mtanzania,
Mkuu nadhani wewe unashindwa kutufahamu tunaposimama sisi..
Kwanza kuna tofauti kubwa sana unapozungumzia Mashirika haya na msimamo wangu ktk maswala yote haya. Kama unakumbuka nimewahi kusema Mkapa alikuwa kiongozi mzuri sana ilipofikia maswala ya kupanga MALENGO na mara nyingi nilimpa support isipokuwa tatizo langu kubwa na Mkapa ni Utekelezaji wa miradi hiyo.. Badala ya kuijenga itupe maendeleo yeye alikuwa na plan zake kutufilisi...

Sasa ukitazama maelezo yangu hapo juu utaelewa kwamba Malengo ya kuanzishwa kwa Mwananchi ndiyo ninayoyakubali na nitaendelea kupendekeza yafikiwe kwani ni muhimu sana..Yes tuna matatizo ya viongozi lakini swla la viongozi na Mafisadi lisitumike kama sababu ya kuondoa umuhimu wa mradi husika. Hali kadhalika maswala ya ATC, NBC, IPTL, Tanesco, Meremeta, na kadhalika yote haya yameathirika kutokana na Utekelezaji mbaya wa Ubinafsishaji na sio mfumo wa Ubinafsishaji.. meaning hatuwezi kuondoa Ubinafsishaji kwa sababu zilizotafuatia ktk utekelezaji wa mfumo isipokuwa tunatakiwa kuzama ndani zaidi kufahamu makosa tuliyoyafanya iwe in crime, regulation, Azimio au kiutaalam tupate kujirekebisha..

Kama alivyosema Dr. Slaa hapo juu tunataka kufahamu ukweli wa Mwananchi Gold...Lakini hatuwezi kuondoa malengo yetu ktk usafishaji wa dhahabu..Kitu kikubwa kwangu ni statement ya Warioba alipodai kwamba Mwananchi Gold ni shirika la serikali, hapo tu inatosha kabisa kwangu mimi kuweka mkono wangu na kuwa concerned na kama umesoma vizuri maelezo yangu toka mwanzo nimesema yaonyesha wazi kuwa Warioba ni samaki mdogo, ni Bangusilo ambaye baadhi ya watu wanataka kumtumia kuficha ukweli mzima wa Ufisadi uliotokea toka kuanzishwa kwa Mwananchi Gold au unaoendelea kufanyika. Mafisadi ni watu mkuu wangu sio shrika hili..nielewe hapo! kumbuka tena ile sinema ya Untouchables waliweza vipi kuwafikisha mahakamani vigogo wahusika.

Mkuu wangu Warioba sio mwanasiasa tena ila ni mtaalam mwanasheria, na ndio sababu katumiwa na wanasiasa kuficha makucha yao...Umetaka ya CEO wa Mwananchi Gold umeambiwa unakuja tena na swali jingine badala ya kujiuliza how come kiongozi wa juu BoT awe tena CEO wa shirika huru na ruksa hii imetoka wapi...
Mkapa na mawaziri wake walifungua rasmi mradi huo ambao tumeona toka February 2005 walikuwa ktk mbio za kuchukua mikopo na mchezo ukafikia fainali December 2005 kabla tu ya Kikwete kushika madaraka...

Dr. Slaa,
Mheshimiwa nilikwisha kusoma huko nyuma lakini nachozungumzia mimi sio swala la mtu binafsi kama Mbunge kuwakilisha hoja Bungeni isipokuwa maombi ya kuundwa kwa kamati maalum ambayo itawaita hawa wahusika tukitumia maelezo ya Warioba ambaye amedai kuwa Mwananchi ni shirika la serikali..Hivyo ikiwa ni shirika la serikali nadhani kuna kila sababu kisheria kwa mbunge yoyote kutaka kamati teule iundwe kuchunguza kilichotokea/kinachoendelea kama mlivyofanya ktk hoja za Richmond na EPA..
Sidhani kama ni kuwatendea haki wananchi tunapoishia kwamba fulani alifanya hiki wakati bado tunaliwa badala ya kutafuta uwezekano kisheria kuwasimamisha wahusika wote mbele ya sheria.Mkuu, siku zote nimekuwa nakupongeza kwa ujasiri wako na maelezo yangu hapa JF ni ktk kujernga fikra au mbinu mpya za kutuwezesha kupata ukweli zaidi kuliko kutegemea au kulaumu kwa nini Warioba katupa nusu nusu..Kumbuka ktk swala la Richmond hatukuwa na taarifa za awali kuhusika kwa Lowassa hadi pale mlipozama zaidi na tukawaona wengine wengi tu jinsi walivyohusika.
 
Mtanzania,
Mkuu nadhani wewe unashindwa kutufahamu tunaposimama sisi..
Kwanza kuna tofauti kubwa sana unapozungumzia Mashirika haya na msimamo wangu ktk maswala yote haya. Kama unakumbuka nimewahi kusema Mkapa alikuwa kiongozi mzuri sana ilipofikia maswala ya kupanga MALENGO na mara nyingi nilimpa support isipokuwa tatizo langu kubwa na Mkapa ni Utekelezaji wa miradi hiyo.. Badala ya kuijenga itupe maendeleo yeye alikuwa na plan zake kutufilisi...

Sasa ukitazama maelezo yangu hapo juu utaelewa kwamba Malengo ya kuanzishwa kwa Mwananchi ndiyo ninayoyakubali na nitaendelea kupendekeza yafikiwe kwani ni muhimu sana..Yes tuna matatizo ya viongozi lakini swla la viongozi na Mafisadi lisitumike kama sababu ya kuondoa umuhimu wa mradi husika. Hali kadhalika maswala ya ATC, NBC, IPTL, Tanesco, Meremeta, na kadhalika yote haya yameathirika kutokana na Utekelezaji mbaya wa Ubinafsishaji na sio mfumo wa Ubinafsishaji.. meaning hatuwezi kuondoa Ubinafsishaji kwa sababu zilizotafuatia ktk utekelezaji wa mfumo isipokuwa tunatakiwa kuzama ndani zaidi kufahamu makosa tuliyoyafanya iwe in crime, regulation, Azimio au kiutaalam tupate kujirekebisha..

Kama alivyosema Dr. Slaa hapo juu tunataka kufahamu ukweli wa Mwananchi Gold...Lakini hatuwezi kuondoa malengo yetu ktk usafishaji wa dhahabu..Kitu kikubwa kwangu ni statement ya Warioba alipodai kwamba Mwananchi Gold ni shirika la serikali, hapo tu inatosha kabisa kwangu mimi kuweka mkono wangu na kuwa concerned na kama umesoma vizuri maelezo yangu toka mwanzo nimesema yaonyesha wazi kuwa Warioba ni samaki mdogo, ni Bangusilo ambaye baadhi ya watu wanataka kumtumia kuficha ukweli mzima wa Ufisadi uliotokea toka kuanzishwa kwa Mwananchi Gold au unaoendelea kufanyika. Mafisadi ni watu mkuu wangu sio shrika hili..nielewe hapo! kumbuka tena ile sinema ya Untouchables waliweza vipi kuwafikisha mahakamani vigogo wahusika.

Mkuu wangu Warioba sio mwanasiasa tena ila ni mtaalam mwanasheria, na ndio sababu katumiwa na wanasiasa kuficha makucha yao...Umetaka ya CEO wa Mwananchi Gold umeambiwa unakuja tena na swali jingine badala ya kujiuliza how come kiongozi wa juu BoT awe tena CEO wa shirika huru na ruksa hii imetoka wapi...
Mkapa na mawaziri wake walifungua rasmi mradi huo ambao tumeona toka February 2005 walikuwa ktk mbio za kuchukua mikopo na mchezo ukafikia fainali December 2005 kabla tu ya Kikwete kushika madaraka...

Dr. Slaa,
Mheshimiwa nilikwisha kusoma huko nyuma lakini nachozungumzia mimi sio swala la mtu binafsi kama Mbunge kuwakilisha hoja Bungeni isipokuwa maombi ya kuundwa kwa kamati maalum ambayo itawaita hawa wahusika tukitumia maelezo ya Warioba ambaye amedai kuwa Mwananchi ni shirika la serikali..Hivyo ikiwa ni shirika la serikali nadhani kuna kila sababu kisheria kwa mbunge yoyote kutaka kamati teule iundwe kuchunguza kilichotokea/kinachoendelea kama mlivyofanya ktk hoja za Richmond na EPA..
Sidhani kama ni kuwatendea haki wananchi tunapoishia kwamba fulani alifanya hiki wakati bado tunaliwa badala ya kutafuta uwezekano kisheria kuwasimamisha wahusika wote mbele ya sheria.Mkuu, siku zote nimekuwa nakupongeza kwa ujasiri wako na maelezo yangu hapa JF ni ktk kujernga fikra au mbinu mpya za kutuwezesha kupata ukweli zaidi kuliko kutegemea au kulaumu kwa nini Warioba katupa nusu nusu..Kumbuka ktk swala la Richmond hatukuwa na taarifa za awali kuhusika kwa Lowassa hadi pale mlipozama zaidi na tukawaona wengine wengi tu jinsi walivyohusika.

Mkandara:

Huwezi kumfundisha mamba aruke kama njiwa. Hawa watu hawawezi kujifunza kutokana na makosa yao kwa sababu wanatumia vivuli vya sheria kufanya makosa yao.

Cha muhimu kuwa ni Transparent tu. Vifanyike vitu kwa kufanyika uhakiki wa bunge, wananchi au vyombo vitavyo-monitor shughuli za serikali.

Mimi kama mtanzania ambaye nafatilia sana habari za nchi kwa undani, ndio sasa kwa kupitia JF najua kuwa watanzania tuna hisa katika Mwananchi Gold. Na kuna uwezekano mkubwa kuna wabunge wengi tu ambao hawajuhi kuwa serikali ina hisa kwenye Mwananchi Gold.
 
There has been confusion over the status of a mystery company using the name of the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) that is tied up to the gold refinery.

The involvement of the Central Bank in the privately owned project does not only end in bankrolling its operations.

The BoT also seconded one of its senior officers, Mr Isaac Manyalla, to run the gold refinery as its managing director.

Top CCM leaders say they are not aware about the existence of the company that owns a substantial amount of shares in the project.

Hapa kuna mkono wa CCM kama ulivyo kwenye makampuni yote ya kifisadi yalivyotumiwa na CCM kufilisi hazina za taifa na baadaye CCM hiyo hiyo kujaribu kuikana. Kosa kubwa wengi wetu tunalolifanya ni kushindwa kuihusisha CCM na ufisadi mkubwa unaofanywa nchini chini ya usimamizi na uongozi wa serikali ya CCM.

Kwamba CCM ni safi ila viongozi wake wachache ndio wanaoichafua ni dhana ambayo italigharimu sana hili taifa na kulitia hasara kubwa. Hakuna ufisadi unaofanywa nchini bila baraka za uongozi wa CCM na kujaribu kutetea ukweli huu ni ujinga - na ujinga gharama yake ni kubwa. Warioba katumiwa kama akina Jeetu Patel na sasa lazima atoswe.

Swala ni kuwa atakubali na yeye atoswe kirahisi rahisi hivyo ? Sidhani na hapa ndipo pandora box itakapofunguliwa akiamua kupambana na kuvua glovu kuzichapa. Nachelea kusema wanaoishi kwenye glass houses hawatakuwa na ubavu huo wa kupambana naye - wenye ubavu ni wazalendo wenyewe na silaha yao kubwa ni kura.
 
Last edited:
........yaaani serikali iliyopo madarakani imechafuka mpaka basi.........dah na sasa tunaona wastaafu.........ndio balaaa........sijui huyu malaika atatokea wapi kuikomboa hii nchi.............of all the people.......Warioba!...........
 
Mtanzania,
Mkuu nadhani wewe unashindwa kutufahamu tunaposimama sisi..
Kwanza kuna tofauti kubwa sana unapozungumzia Mashirika haya na msimamo wangu ktk maswala yote haya. Kama unakumbuka nimewahi kusema Mkapa alikuwa kiongozi mzuri sana ilipofikia maswala ya kupanga MALENGO na mara nyingi nilimpa support isipokuwa tatizo langu kubwa na Mkapa ni Utekelezaji wa miradi hiyo.. Badala ya kuijenga itupe maendeleo yeye alikuwa na plan zake kutufilisi...

Sasa ukitazama maelezo yangu hapo juu utaelewa kwamba Malengo ya kuanzishwa kwa Mwananchi ndiyo ninayoyakubali na nitaendelea kupendekeza yafikiwe kwani ni muhimu sana..Yes tuna matatizo ya viongozi lakini swla la viongozi na Mafisadi lisitumike kama sababu ya kuondoa umuhimu wa mradi husika. Hali kadhalika maswala ya ATC, NBC, IPTL, Tanesco, Meremeta, na kadhalika yote haya yameathirika kutokana na Utekelezaji mbaya wa Ubinafsishaji na sio mfumo wa Ubinafsishaji.. meaning hatuwezi kuondoa Ubinafsishaji kwa sababu zilizotafuatia ktk utekelezaji wa mfumo isipokuwa tunatakiwa kuzama ndani zaidi kufahamu makosa tuliyoyafanya iwe in crime, regulation, Azimio au kiutaalam tupate kujirekebisha..

Kama alivyosema Dr. Slaa hapo juu tunataka kufahamu ukweli wa Mwananchi Gold...Lakini hatuwezi kuondoa malengo yetu ktk usafishaji wa dhahabu..Kitu kikubwa kwangu ni statement ya Warioba alipodai kwamba Mwananchi Gold ni shirika la serikali, hapo tu inatosha kabisa kwangu mimi kuweka mkono wangu na kuwa concerned na kama umesoma vizuri maelezo yangu toka mwanzo nimesema yaonyesha wazi kuwa Warioba ni samaki mdogo, ni Bangusilo ambaye baadhi ya watu wanataka kumtumia kuficha ukweli mzima wa Ufisadi uliotokea toka kuanzishwa kwa Mwananchi Gold au unaoendelea kufanyika. Mafisadi ni watu mkuu wangu sio shrika hili..nielewe hapo! kumbuka tena ile sinema ya Untouchables waliweza vipi kuwafikisha mahakamani vigogo wahusika.

Mkuu wangu Warioba sio mwanasiasa tena ila ni mtaalam mwanasheria, na ndio sababu katumiwa na wanasiasa kuficha makucha yao...Umetaka ya CEO wa Mwananchi Gold umeambiwa unakuja tena na swali jingine badala ya kujiuliza how come kiongozi wa juu BoT awe tena CEO wa shirika huru na ruksa hii imetoka wapi...
Mkapa na mawaziri wake walifungua rasmi mradi huo ambao tumeona toka February 2005 walikuwa ktk mbio za kuchukua mikopo na mchezo ukafikia fainali December 2005 kabla tu ya Kikwete kushika madaraka...

Dr. Slaa,
Mheshimiwa nilikwisha kusoma huko nyuma lakini nachozungumzia mimi sio swala la mtu binafsi kama Mbunge kuwakilisha hoja Bungeni isipokuwa maombi ya kuundwa kwa kamati maalum ambayo itawaita hawa wahusika tukitumia maelezo ya Warioba ambaye amedai kuwa Mwananchi ni shirika la serikali..Hivyo ikiwa ni shirika la serikali nadhani kuna kila sababu kisheria kwa mbunge yoyote kutaka kamati teule iundwe kuchunguza kilichotokea/kinachoendelea kama mlivyofanya ktk hoja za Richmond na EPA..
Sidhani kama ni kuwatendea haki wananchi tunapoishia kwamba fulani alifanya hiki wakati bado tunaliwa badala ya kutafuta uwezekano kisheria kuwasimamisha wahusika wote mbele ya sheria.Mkuu, siku zote nimekuwa nakupongeza kwa ujasiri wako na maelezo yangu hapa JF ni ktk kujernga fikra au mbinu mpya za kutuwezesha kupata ukweli zaidi kuliko kutegemea au kulaumu kwa nini Warioba katupa nusu nusu..Kumbuka ktk swala la Richmond hatukuwa na taarifa za awali kuhusika kwa Lowassa hadi pale mlipozama zaidi na tukawaona wengine wengi tu jinsi walivyohusika.
Mkandara,
Nimekuelewa. Lakini kwa mfumo wa Bunge tulilonalo na kulindana kwingi ni kazi kubwa sana kufikia hatua unayoifikiria ya Kuunda Kamati Teule. Siku tutakapokuwa tumeacha kulindana, kuacha dhana ya "vyama vyetu" katika maswala ya kitaifa na kufikiri kama "Bunge" siku hiyo hiyo nia inawezekana na majibu mengi yatapatikana. Kwa sasa jitihada nyingi sana zinafanyika, lakini zinaishia hewani kutokana na mazingira yaliyoko. Tuendelee kusukuma, tutafika tu. Tusikate tamaa katika kulinda maslahi ya Taifa.
 
Madini yanachimbwa kwa sehemu kubwa kanda ya ziwa, unakuja jenga kiwanda Dar? Why?

Mkuu Mtanzania,

Mbona hayo mambo tumeyazoea .... hukumbuki kiwanda cha kuchonga almasi kilijengwa Iringa, wakati almasi ikipatikana Mwadui, Shinyanga tu??!!

That's what you get when you trust politicians to run business entities .... eti Rais "anateua" managing director au director general wa air tanzania, tanesco etc. .... and you expect that company to prosper ... kalaga baho!
 
Mh. Dr. Slaa,
Mkuu nimekusoma lakini naomba sana tukitumie kijiwei hiki kupata ufumbuzi ama njia nyinginezo ambazo zinaweza kutumika..
Nakumbuka wakati wa skata la EPA ulishindwa kuliwasilisha Bunge hivyo ukakusanya data zako kivyo vyako ukazivujisha hadi maji yakafika huko bungeni..
Mimi ningeomba ktk uzalendo wako hivi huwezi kumfuata wewe mwenyewe warioba ukakaa naye na kukusanya yanayoweza kupatika kisha ukafuatilia kwa wengine na kuunganisha ya hayo machache ulokuwa nayo ukamwaga manyanga..
Mkuu, hakika sioni kiongozi nchini zaidi yako na kundi lako wenye nia ya haki na nchi yetu.
Kutegemea Warioba amwage vitu vyote hadharani nadhani tutakuwa sisi wenyewe tunashindwa kuelewa nafasi yake..Binafsi siamini kabisa kwamba Warioba ni fisadi isipokuwa nafanya kazi na Mafisadi...

Ogah,
Mkuu, hata Wapalestina wameajiriwa na Wayahudi tena wengine ktk vyombo vya serikali ya Israel lakini haina maana hawa watu wamepoteza Uzalendo wao...
 
Date::2/14/2009
DPP achambua jalada la Mwananchi Gold
Na Ramadhan Semtawa
Mwananchi


WAKATI kukiwa na ‘mapumziko' ya vigogo kuburuzwa mahakamani kwa tuhuma za ufisadi, Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP), Elieza Feleshi, amesema mezani kwake lipo jalada la Kampuni ya Mwananchi Gold linafanyiwa uchambuzi wa kina wa kisheria.

Kauli ya Feleshi imekuja wakati mmoja wa wanaohusishwa na kampuni hiyo, Waziri Mkuu Mstaafu, Jaji Joseph Warioba, ameshajitokeza na kutoa kauli ya kujihami kuwa hakuna ufisadi na kila kitu kiko wazi kuhusu kampuni hiyo lakini kama serikali inakusudia kumshitaki kama anavyosikia, iharakishe mashitaka dhidi yake.

Ingawa hadi sasa serikali haijataja jina la Warioba, yeye anasema amekuwa akisikia kutoka kwa watu anaowaamini kuwa atashitakiwa kwa kuhusika na kampuni hiyo.

Akizungumza na Mwananchi Jumapili ofisini kwake jijini Dar es Salaam wiki hii, Feleshi alisema jalada hilo lilikuwa limerudishwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kupata maelezo zaidi na kwamba, hivi sasa limerejeshwa katika ofisi yake mapema mwaka huu kwa uchambuzi wa kina wa kisheria.

"Jalada la Mwananchi Gold ndiyo liko kwangu, awali lilikuwa Takukuru, lakini limerejeshwa tena hapa kwa mara ya pili, "alisema Feleshi na kuongeza: "Kinachofanyika sasa ni Legal analysis, haya mambo si ya kukurupuka tu."

Alipoulizwa ni lini hasa inatarajiwa jalada hilo kukamilika, Feleshi alijibu: "Inategemea, sisi tuna taratibu zetu, jalada kwa kawaida linapaswa kukaa wiki mbili."

"Lakini, kuna mengine yanaweza kukaa mwezi, hata siku 60 kutegemea uzito wa jalada lenyewe na mambo ya kisheria yanayohitajika," aliongeza.

Kuhusu jalada la kampuni ya Deep Green ambayo kama ilivyo Mwananchi Gold inadaiwa kuchota fedha kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT), alisema halipo mezani kwake.

"Deep Green? Sijaliona jalada kama hilo ni vema ukawasiliana na Takukuru labda wao wanaweza kuwa nalo," alisema na kuongeza:

"Kama wao (Takukuru), wamekwambia kuna jalada hilo kwangu, ni vema ukawauliza vizuri, ninachokwambia kwangu hakuna kitu kama hicho."

Sakata la Mwananchi Gold ambalo linakihusisha Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Jaji Warioba, limekuwa moja ya mada nzito nchini, katika vita dhidi ya ufisadi inayoendelea.

Akizungumza hivi karibuni kuhusu alivyoshiriki katika kuanzisha kampuni hiyo, Warioba alisema Kampuni ya uwakili ya Nyalali, Warioba & Mahalu, Law Associates, ambayo yeye ni mmoja wa mawakili wanaoimiliki, iliombwa na serikali kutoa huduma ya kisheria kusaidia kuundwa kwake.


Alisema, kampuni yake ilifanya kazi hiyo kama ilivyoombwa na serikali na kuiwezesha kununua kiwanja cha ekari 30, kilichopo eneo la Vingunguti, jijini Dar es Salaam ambako kulifungwa mashine za kusafishia dhahabu na ilizinduliwa rasmi na Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa, Desemba Mosi mwaka 2005.

Jaji Warioba alisema, kampuni hiyo ilianza kufanya kazi kwa kununua dhahabu kutoka kwa wachimbaji wadogo wa wilayani Geita, lakini baadaye alishangazwa na uamuzi wa serikali wa kukataa kuendeleza mradi huo uliokuwa na tija kwa taifa.

Kwa upande wake Kampuni ya Deep Green Finance Ltd ilianzishwa Machi 18, 2004 kwa mujibu wa taarifa za Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (Brela), wakurugenzi wa Deep Green Finance walikuwa ni Mark Ross Weston wa New Zealand; Anton Taljaard wa Afrika Kusini; na Rudolph van Schalkwyk pia wa Afrika Kusini.

Wote watatu ni wakazi wa Afrika Kusini na wanaelekea kuwa ni maafisa au wafanyakazi wa Nedbank Ltd ya Afrika Kusini. Kufuatana na taarifa za BRELA, wanahisa wa Deep Green Finance ni mawakili, Protase R.G. Ishengoma na Stella Ndikimi wa IMMMA Advocates; Nedbank Ltd., Nedbank Africa Investments Ltd na SBM Nedcor Holdings Ltd.

Taarifa za kibenki zilizopo zinaonyesha kwamba Mei Mosi 2004, Deep Green Finance ilifungua Akaunti Na. 011103024840 katika tawi la Corporate la Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), Dar es Salaam siku ambayo ilikuwa ya mapumziko.

Hata hivyo kwa kipindi kifupi cha miezi minne kati ya Agosti 1 na Desemba 2005 kampuni hii ilipokea jumla ya Sh10,484,005,815.39 kutoka Wizara ya Fedha na/au BoT bila kuonyesha wazi ni biashara gani Kampuni hii imefanya na Wizara ya Fedha au BoT.

 
Last edited:
Mkandara,
Nimekuelewa. Lakini kwa mfumo wa Bunge tulilonalo na kulindana kwingi ni kazi kubwa sana kufikia hatua unayoifikiria ya Kuunda Kamati Teule. Siku tutakapokuwa tumeacha kulindana, kuacha dhana ya "vyama vyetu" katika maswala ya kitaifa na kufikiri kama "Bunge" siku hiyo hiyo nia inawezekana na majibu mengi yatapatikana. Kwa sasa jitihada nyingi sana zinafanyika, lakini zinaishia hewani kutokana na mazingira yaliyoko. Tuendelee kusukuma, tutafika tu. Tusikate tamaa katika kulinda maslahi ya Taifa.

Ufipa wanajuta kukutupa nje ya siasa.
 
Back
Top Bottom