Uliza_Bei
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 3,216
- 988
Najaribu kufikiri vichwa vya habari 2014 baada ya Jaji Warioba kumaliza kazi yake kwa mafanikio makubwa na kuhakikisha kipengele cha kuruhusu mgombea binafsi katika chaguzi zetu zote. My take: tutaweza kupata wagombea makini wasiokubaliana na sera za vyama vilivyopo