Kevo
JF-Expert Member
- Jun 12, 2008
- 1,333
- 52
Kevo,
Napenda wambia Ikulu is an institution ambayo ina watu waano wajibika kwa kumshauri Rais na kama hawafuatilia mambo ya wananchi wao kiunda na kumpa report mbovo basi hapo rais wetu ana kazi ya ziada ya kuwa na kitengo chake cha siri cha kumhabarisha direct maana kuna mijitu mingine humo sijui kama kweli yana uchungu na nchi yetu hii au wako tu basi siku iwe imepita
Naona The Citizen ya Leo wanaliendeleza libeneke la kauli za Dk Salim na Warioba kwa Kusema Jk Should be held responsible for govt weaknesses