Mr. Tanganyika
Member
- Nov 13, 2010
- 91
- 7
Baadhi ya warembo wa bongo huamua kuachana na wapenzi wao mara tu wanapopata umaarufu. Baada ya hapo huanza kujilengesha kwa watu maarufu na wazungu ambao nao wana mademu lukuki. Ndio maana kila siku unasikia skendo. Lakini 'big up' kwa warembo wenye misimamo ambao wamedumu na wapenzi wao kwa shida na raha