mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,842
- 8,231
Tutumu tutumu mwe!
From Left ni Barbara Amina Hassan wa Clouds FM and her friend...
Tutumu tutumu mwe!
From Left ni Barbara Amina Hassan wa Clouds FM and her friend...
nimeacha aisee
nilianza ku feel out of place..
ukishafikisha 30..concerts za bongo fleva
zinaanza kukuboa....
unakuta watoto wa shule wengi....
siku hizi mimi ni mduara tu.....na dansi..
hiyo louis vuiton ya kutoka china
zipo kariakoo kibao.mpaka viatu vyake.....
siku moja nilienda diamond jubilee kulikuwa na concerts ya bongo fleva....
nilijuta.....
karibu ukumbi wote wamejaa watu kutoka mikoani..
utasema nilikuwa nje ya dar....
siendi tena now.
siku hizi watu wanatoka vijijini wanajua kuvaa vi top na tight jeans kabisa...
unakutana nao mjini wanakuuliza muhimbili ipo wapi unashangaa
Bongo kuna Totoz si muchezo mlioko Ughaibuni mpoooo??
Hapana tafadhali,haivutiiHapo vipi?
Hivi maana halisi ya kuvaa nguo ni ipi jamani,maana nijuavyo ni kusitiri mwili lkn pia upendeze,mbona sijaona aliependeza au ni macho yangu:glasses-nerdy:huyu akikakaa si ndio balaa
Nyamayao sikujua kama kuna watu bado wanavaa machupi ya rangi hiyo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!lady bwana ucnichekeshe mie, yaani hakuna kitu nachukia kama machupi ya rangi rangi.
Duh....hivi vinguo vingine dada zetu muwe makini,maanake hata ukicheka tu mambo yaweza kuwa hadharani.