figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
- Thread starter
- #41
Yan hata kabla sijamaliza kuisoma nikakugongea "LIKE" then nikamalizia kusoma.
Ukweli Mtupu na yamenitokea, ila mi huwa nakula kona nikiona mizinga mapema coz hapo hakuna mapenzi.
wao ndo wanafanya wavulana tuonekani hatujatulia, mtu unakuwa ushamsoma hajatulia lakini kwa kuwa unakuwa hujapata utakacho unatulia na kumtimizia atakacho. akishaingia ndani ya 18 unagonga na kusepa coz ushamsoma tabia. Mia