Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,519
Umewajua lakini. . . . ?
Bado aisee. Hebu toa comprehensive and thorough description basi...
Umewajua lakini. . . . ?
Bado aisee. Hebu toa comprehensive and thorough description basi...
Orait. . . .
. . Wanakula ugali kwa uma ili wasichafue mikono.
. . Wanakunywa bia kwa mrija wasivuruge lipgloss.
. . Hawaoshi vyombo/hawafui kwa woga wa kucha zao walizobandika kubanduka.
. .Wanaogopa mvua/jua kwasababu makeup zitayeyuka.
. .Wanaogopa kuzaa kwasababu wanaume watawakimbia wakiwa kina "mama fulani".
. . Mabingwa wa kuiga.Kwanzia mavazi, namna ya kuongea mpaka kutembea.
. . Wategemezi wazuri. . .
. . Wanapenda kuonekana/julikana kwamba ni zaidi ya walivyo (wanavyoishi).
Etc. . . .
Asante.
Sasa naomba na mifano.
Hahahhaha, mi siwajui bana.Nimechagua tu vitu ambavyo baadhi ya watu hua wanafanya.
Ngoja wataalam waje.
Hmm haya bana. Naona umenipiga chenga ya mwili.
Wanakula ugali kwa uma. . . .
Bia kwa mrija!
Hahahaha, si wakienda vijijini?Hahahahahah lol! Wanaujua ugali kweli hawa!? wao ni chips mayai tu....Ugali huwaumiza tumbo
Kakondoo nidai zawadi ya Xmass!
Alafu mafuriko yamekukosa naona, mama mchungaji amefurahi.
Kumbe umeyakimbia kabisa?heheh asante sana na ya new year nakudai pia! Mafuriko yamenikosa kwakweli nashukuru, ila bado nahitaji sala zako mama mchungaji ili niweze kufika salama hii safari yangu ya leo!!
Hahahaha, si wakienda vijijini?
Alafu we BAK kwakua unawajua embu tupe wasifu wao kidogo.
Asante.
Sasa naomba na mifano.
lol.....mambo yako yaleeeeee.mie sioni wewe tatizo lako nini? wewe unatoa pesa wao wanakupa k...gud business!!!
Hahahahahah lol! Wanaujua ugali kweli hawa!? wao ni chips mayai tu....Ugali huwaumiza tumbo
mie sioni wewe tatizo lako nini? wewe unatoa pesa wao wanakupa k...gud business!!!
Hihihiiiiiiiiiiii......:lol::lol::lol:.....Halafu kashasema masista duuu...wat do u expect??!! Hizo ndio features za sistaduu...Kama umempenda kwa dhati huyo mdada na ana mapungufu fulan si una mweleza jamaani...ili ajue wewe unapenda nini??!!..ukilalama JF na kuwaponda humu haitasaidia wewe kupata msichana mwenye mambo unayoyapenda..
kweli kabisa..
Ndo gharama zao hao we unafikiri iphone/blackberry/Lui V/Gucci,ila chamsingi akitaka hela unampa na wewe unakula Kitumbua,mkono kwa mkono