Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,591
- 1,599
asavali wewe umekuja kivingine. maana wengine wanaua tu! ila kuna rafiki yangu kaamua kuoa mwingne baada ya kushindwa kuishi na mrangi..kumbe ni balaa!
Waliojaliwa kuwa wazuri huwa wazuri sana pia waliojaliwa wowowo basi huwa ni za kukata na shoka. Ni wacheshi sana na pia kwa kiasi kikubwa wamestaarabika pia ni wapole.
Last edited by a moderator: