mtambo wa mwigulu alonunua yerusalemu umeanza kazi zake.
baba yangu alinitumia sms yenye ujumbe huu,kiukweli ni mdini sana nikamwambia nakushukuru kwa kunipeleka shule nielimike
kwa ueleewa mdogo tu ni mbinu ya magamba unaytumiwa na magamba. kwa kuhofia MVC sidanganyiiki
TCRA wanataka ujumbe uweje ndio wafuatilie?
Classmate (Benson Singo Kigaila) hakika juhudi zako zinaonekana ndani ya CDM. Ongeza bidii kaka, CCM wanasahau ya kuwa.....mlango mmoja ufungwapo mwingine unafunguka.....
mwanzoni walisema ni riziwani kikwete au kuna mitambo mingi tu?
Mtambo wa mwigulu alonunua yerusalemu umeanza kazi zake.
Ha ha ha haaaaa umeandika nn sasa hapa mkuu? sio kweli kuwa 97% ya viongozi wa dini moja ? na hili lajulikana hata kwa viongozi wa cdm na ndio maana wakaamua kuwachanganya wakina prof safari ili ku dilute hicho kitu , ila ilikuwa ni kama kutumbukiza tone kwenye bahariAkili ni tatizo kwako wewe unayefikiria kwa kutumia kiuno.