Sitaki malumbano. Endeleeni kuamini hivyo kama kufanya hivyo kuna tija kwenu!
Hili la kuamini tutaendelea kuamini kwa vile hakujathibitishwa vyenginevyo na kuhusu Tija naomba ufahamu kuwa kwetu hizo nyaraka zote hazina tija nasi. Siku Njema!
Sitaki malumbano. Endeleeni kuamini hivyo kama kufanya hivyo kuna tija kwenu!
Kwa maoni yako huu ni waraka feki, kwangu na kwa wengi huu ni waraka halali kabisa uliotolewa na kanisa katoliki. Kilichofanyika ni kutaka kufikiri eti waislam hawajaenda shule, nakutaka kuwapumbaza kwa kuanza kuugawa huo waraka misikitini. Na hapa ndio unajaribu kuhakikisha katika hoja zako na kusema waislam hawajaenda shule.Off point! Kwani huo waraka feki unaosambazwa umekutwa unasambazwa na Kanisa Katoliki (kama unavyofanywa ule halali/rasmi)? Kwa hiyo, kusema mkamatwa na ngozi ndiye mwizi ni 'out of context'. Kama ndio ujanja mnaoutumia kueneza chuki dhidi ya Kanisa Katoliki mnapoteza muda wenu bure. Watu wanawaangalia na kuwacheka!
Tendeni haki for once, please! Kama mnachukia mwakilishi wa Vatican kuwa hapa Tanzania ni kawaida yenu hakuna cha ajabu ila Serikali haijazuia dini yenu kuwa na mwakilishi hapa Tanzania na ikiwa hivyo hakuna mtu atakeyechukia kama mnavyofanya nyinyi.
Ila ujanjaujanja wa kutuingiza kwenye mfumo wa dini yenu, hilo hatukubali. Abuduni huko misikitini kama Wakristo wanavyofanya makanisani lakini kuingiza vitu vya ajabuajabu kwenye mfumo wa Mamlaka ya Nchi hilo halikubaliki. Maana mkishafaulu hayo mawili, OIC na Mahakama ya Kadhi kwa utaratibu mnaotaka, hamtaacha kuingiza sharia na mambo mengine amabayo bado mnadhani hayatekelezwi na Serikali ya Tanzania. Lazima mjue kwamba Serikali ya Tanzania siyo Serikali ya dini ya Kiislamu au Kikristo. Hivyo, hamwezi kulazimisha mfumo wa dini yenu uwe mfumo wa Serikali ya Tanzania.
Kwa maoni yako huu ni waraka feki, kwangu na kwa wengi huu ni waraka halali kabisa uliotolewa na kanisa katoliki. Kilichofanyika ni kutaka kufikiri eti waislam hawajaenda shule, nakutaka kuwapumbaza kwa kuanza kuugawa huo waraka misikitini. Na hapa ndio unajaribu kuhakikisha katika hoja zako na kusema waislam hawajaenda shule.
Amka na fuatilia statistik za sasa ili mje na mbinu za uhakika. Mpaka hapa mmeshindwa na hamtafanikiwa pengine huko kanisani.
Ninachopenda kuwaeleza na cha muhimu ni kwamba, nyie ndio mnaoipalilia CCM kuingia tena madarakani mwaka 2010. Hizo nyaraka zitawasuta wenyewe.
Nawe unayejiita msomi ni kipofu kabisa huoni kitu ndugu yangu Magobe.
Waislam bwana . Kulia lia kila kona ya Dunia yaani sijui wanataka nini .Wanaupiga ukristo lakini kila kukicha wanataka kwenda huko ambako mnawatukana .Sijaona hata mara moja mnajaza mweneuy balozi za Iran na wenzenu wengine lakini bado maneno mengi jamani . Wakatoliki wana uwezo wa kufikiri na kutenda hawawezi kuukataa waraka wao kama wamenadika . watakuwa wanaogopa nini ?
Waislam bwana . Kulia lia kila kona ya Dunia yaani sijui wanataka nini .Wanaupiga ukristo lakini kila kukicha wanataka kwenda huko ambako mnawatukana .Sijaona hata mara moja mnajaza mweneuy balozi za Iran na wenzenu wengine lakini bado maneno mengi jamani . Wakatoliki wana uwezo wa kufikiri na kutenda hawawezi kuukataa waraka wao kama wamenadika . watakuwa wanaogopa nini ?
Hebu elaborate kidogo comrade! Waraka upi ujadiliwe? ule original au ule feki?
Kwa bahati mbaya nhiudhuu za waraka hizi ni sawa.
Anybody seen a trush bin around here??JK hana sababu ya kuonewa huruma kwani yeye mwenyewe anajitosheleza kwa ukakamavu na uongozi thabiti,tatizo lenu mliomadogma mkipumbazwa tuu mmepambazishwa!Mtasema sana lakini ukweli utabaki palepale JK ndiye chaguo la watanzania wengi wenye kutaka amani na utulivu sasa kama nyie mnataka fujo(na tayari tunawajua kawaida yenu ni fujo hata mashuleni mlifahamika) ameni nchi na mwende kwa ndugu yenu M7 tuachieni nchi yetu
hahahaaaaa! crap crap!!!!Wakristo bana kulia kulia na kupenda kupendelewa utafikiri wanawake...kuingilia vitu visivyowahusu shame?
waislamu wanasema facts tu..kama kuna injustice tutasema tu maana nyie mliozoea kupendelewa hampendi kelele hizo...safi sana kama zinakukera maana ni afadhali ukereke...maana kupendelewa, kuiba, unafiki ni tabia mbaya..lazima tu-expose aibu kwa KANISA
Wakristo bana kulia kulia na kupenda kupendelewa utafikiri wanawake...kuingilia vitu visivyowahusu shame?
waislamu wanasema facts tu..kama kuna injustice tutasema tu maana nyie mliozoea kupendelewa hampendi kelele hizo...safi sana kama zinakukera maana ni afadhali ukereke...maana kupendelewa, kuiba, unafiki ni tabia mbaya..lazima tu-expose aibu kwa KANISA
Hizo 'facts tu' mnazosema ni za kubuni na Wakristo wanataka 'real facts' na siyo watu wabuni facts halafu zisihojiwe. Hatutaki mambo ya kubuni. Kama mnasema mna 'facts' then verify them na siyo tu kusema injustice na kupendelewa.
Hicho mnachosema kupendelewa kinatokana na tabia yenu ya kujibagua au kuwabagua Wakristo huku mkiwaita makafir na pia kubaki kwenu nyuma katika elimu. Si hata mnaona matokeo ya darasani kuanzia kuanzia shule za msingi hadi chuo kikuu?
Kwani wanaosahihisha mitihani huwa wanajua huyu ni Mkristo wampe maksi nzuri na huyu ni Mwislamu wampe mbaya (ingawa, of course, baadhi ya Waislamu wanafanya vizuri na baadhi ya Wakristo wanafanya vibaya)? Lakini tunachosema ni ile general performance na tabia ya kulalamikalalamika kwamba mnaonewa na hampewi nafasi/fursa sawa kama ilivyo kwa Wakristo. Hizi ni baadhi ya 'facts' za kubuni na ambazo hamwezi kuzithibitisha na tunazozipinga kwa nguvu zote.
Uwongo!
1. Waraka feki introduces new elements, for instance, asking Catholics to choose only Chadema against CCM and CUF. The Catholic Church is not affiliated to a particular political party, its adherents belong to different parties and others do not belong to any party. It is practically impossible to make members of different parties to start supporting Chadema only! If that were the case, it would have brought a great commotion in the Church!
2. In the original waraka, the author was CPT, while the fake one, there's no author.
3. The original waraka is meant for all Tanzanians (appeals to all Tanzanians) to reflect seriously on public interest issues and choose leaders on grounds of competence and uprightness and not religion, party politics or ethnicity. The fake one is divisive and is meant for maaskofu, mapadre and wachungaji. The latter group, though, never exists in the Catholic Church.
4. So, the subject matter of the the waraka is not the same as that of the original waraka. In otherwords, the content has been altered.
Wanataka kukimbia upuuzi wao, kanisa katoliki ndio limeandika huu waraka likazambaza kwa siri kuona joto linaendaje
Christian fundementalist at work! shame on them, wamezoea "Kupendelewa" hawataki justice lol
Ushahidi no1: Waraka wao wa mwanzo ulikuwa unawaomba wakristo wakatae mahakama ya kadhi..na huo wa sasa unasema the same thing kwahiyo in purpose waraka wa zamani na wa sasa ni kitu kilele na source yake ni moja.
Ushahidi no 2: waraka wa mwanzo ulikuwa unawaomba wakristo wachague viongozi waliolelewa kikristo kwa vyovyote vile maana yake wachague viongozi wakrito, kwakuwa JK (CCM) na Lipumba (CUF) potential presidential candidates ni waislamu ndio maana wanataka wakristo wawachague chadema ambao kuna Mbowe mkristo au Slaa (askofu)
Purpose ya waraka wa mwanzo na purpose ya waraka huu wa sasa ni moja inabaki kuwa kweli wameamua kutafuta namna ya kutokea shame on them.. kukana ni danganya toto...mhalifu gani alishakubali kosa lake...
Oh Gosh JK has nothimg to do with ill intention of catholic church-their move is just plain childish and dumb thats is true
Thats why we have to expose their stupidity
JK kama hawamtaki go to election si unatumia waraka stupid!
Mimi naona unalalamika tu huna hoja, kweli catholic church ni tatizo duniani inabaidi tuanze kuliangaza wanabomoa
Crap! huo ujinga wako wa kwamba waislamu hawajasoma tumeshausikia sana ni ujinga wa kuhalalisha "Injustice" na kuendekeza upuuzi
After all, tunaongelea waraka wa kibaguzi unaotoka kanisani kwa wakristo wasioipendea mema nchini unaanza mambo ya kusoma kutosoma aghh!
Scrap! Again!, hakuna tofauti ya kimadhumuni kati ya waraka wa mwanzo na ule wa sasa! kama kuna tofauti ilete hapa tujadili
Hakuna ulichoandika cha kusoma zaidi ya streotype..na offpoint..tunaongelea waraka wewe unataka ku-divert tuongelee ubaguzi..wapi na wapi? mimi sina huo ujinga wewe wala sibabaishiwi na upuuzi huo unaouongea..kusoma nimesoma na kazi ninayo ndugu.
Waraka huu umetolewa na kanisa katoliki, na hawawezi kujiandika majina wala kuutoa kanisani kwasababu wanajua ni uhalifu nani kakwambia mhalifu anapenda kujitaja..aibu..
Wakristo bana kulia kulia na kupenda kupendelewa utafikiri wanawake...kuingilia vitu visivyowahusu shame?
waislamu wanasema facts tu..kama kuna injustice tutasema tu maana nyie mliozoea kupendelewa hampendi kelele hizo...safi sana kama zinakukera maana ni afadhali ukereke...maana kupendelewa, kuiba, unafiki ni tabia mbaya..lazima tu-expose aibu kwa KANISA
Uwongo: (item by Item) "waraka wa kwanza na waraka wa sasa madhumuni yao ni moja"
1. Waraka wa kwanza uliwaomba wakatoliki wamchague mtu aliyelelewa kikristo kwa vyovyote hawezi muislam kwakuwa waislamu wanalelewa kiislam ok. na waraka huo utafundishwa kwenye jumuia zenu za kikristo na viongozi wa kikristo kwa vyovyote huko muislamu hawezi kufika. kwakuwa ccm na cuf wagombea wao ni waislamu na chadema kunaye askofu ndio maana mkawasisitizia wacahgue chadema shame!
2. Kuwa au kutokuwa na author hiyo siyo issue lakini madhumini yenu ni hayo hayo "hidden agenda" kwakuwa wakristo wanaongoza kwa hypocracy utegemee nini?
3. The original was never meant to all people but to All christians
4. Content was never altered...mfano rais lazima awe mkristo (alelewe kikristo), issue mahakama ya kadhi, issue ya church influence etc are the same.
In essence waraka ni wenu lakini kwa aibu mmeanza kulialia kama mademu.
Mwisho, mbona hawa viongozi wa kikatoliki siwaelewi? maana walisema JK chaguo la Mungu, kwa nini wamemgeuka tena leo? ina maana Mungu anabadilika??
Lini na Wapi? Unaweza ukaweka Nukuu? Ukishindwa Kuweka nukuu uko tayari kuomba Radhi? Usipoomba Radhi tukuweke kundi gani au tukuite nani?
I
!naonekana unapenda kuombwa radhi, unapenda kuweka watu kwenye makundi na unapenda kuwaita majina utakayo,hata mimi unaweza kufanya hivyo kama kwako hiyo ni adhabu nzuri
Wape nimeomba kuombwa Radhi? Nimekuweka kundi gani? Toa ushahidi ni nani nimemuweka katika kundi gani
kabla sijakupa jibu lako nataka kujua wewe ni mkatoliki? mbona wa kwetu umekuja kwa kasi hivyo wakati maswali haya yamemlenga mtu na kwa kusudi maalumu?
Nimekuuliza swali bila kuhitaji kujua dhehebu lako sasa ya nini kujua langu?
Msimamo wako ni nini? kanisa katoliki kusema JK chaguo la Mungu ni vibaya au vizuri? au hutaki kuamini kuwa walishawahi kusema, au sijaelewa kabla ya kunipa dhabu zako ni vizuri ukawa muwazi,
Toa ushahidi wa Nukuu, nikija hapa nikasema Waberoya alisema Ndege ya Uchumi ni Chaguo la Mungu bila kutoa Ushahidi au Nukuu nitakuwa muongo
kumbuka maswali haya yalilenga kwa Tumaini, sasa kwa sababu umelidandia naomba uwe muwazi, maana kwa haraka naona uko upande wangu, ila hujajua saikolojia yangu!!
Mkuu huwa nakuwaga upande wako kwa mambo mengi hasa yale unayoongea kwa ushahidi lakini si haya ya kusema bila ushahidi
Mkuu Eng. Waberoya