Waraka wasambazwa kuitafuna CCM 2010, kanisa Katoliki laukana

Unataka watamke na kuukataa mara ngapi ? Wao wamesema waraka wao wa mwanzo umesimama na ndiyo waraka pekee . Mbona hamuuleti hapa tuanmgalie kuanzia majina na sahihi ? Maana ukiwa hapa kila kitu kitaonekana waandishe waweke ngoma hapa badala ya kuandika habri tupu . Kanisa Katoliki hawawezi kukimbia maandiko yao hawana uoga huo. Kama huamini ngojea rungu la Pengo maana amekaa anautafuta ukweli then utamsikia

Iwapo walitaka huo Waraka usitufikie sisi mimi na wewe bali ni kwa viongozi wao tu unategemea wataukubali ?au yuko alie na akili mtindio wa kuandika jina lake, lengo la siri linabaki siri na hawa watu wameshawahi kufikiana muafaka na serikali juu ya mstakabali ya jamii jee walishatangaza?
 
Ushahidi no1: Waraka wao wa mwanzo ulikuwa unawaomba wakristo wakatae mahakama ya kadhi..na huo wa sasa unasema the same thing kwahiyo in purpose waraka wa zamani na wa sasa ni kitu kilele na source yake ni moja.

Ushahidi no 2: waraka wa mwanzo ulikuwa unawaomba wakristo wachague viongozi waliolelewa kikristo kwa vyovyote vile maana yake wachague viongozi wakrito, kwakuwa JK (CCM) na Lipumba (CUF) potential presidential candidates ni waislamu ndio maana wanataka wakristo wawachague chadema ambao kuna Mbowe mkristo au Slaa (askofu)

Purpose ya waraka wa mwanzo na purpose ya waraka huu wa sasa ni moja inabaki kuwa kweli wameamua kutafuta namna ya kutokea shame on them.. kukana ni danganya toto...mhalifu gani alishakubali kosa lake...

Kumabe Tumain anao huo waraka mpya. Si uumbandike hapa kila mtu ausome!!!
 
Lugha ya huo waraka ina 'harufu' ya wafitini wa Kanisa Katoliki. Sijawahi kuona Kanisa Katoliki likiandika waraka unaosambazwa kwa maaksofu, mapadre na wachungaji na usio na jina la mwandishi wala publisher. Ni lini Kanisa Katoliki likawa na wachungaji? Ni akina nani hawa? Na mwandishi ni nani: maaskofu, mapadre au wachungaji?

Ila tukinusanusa tutakuja kugundua kwamba walioutunga ni wale wanaousambaza pia!

Sawa naiwe hivyo. Jee yaliyoandikwa kwenye waraka mnayapinga au mnahisi ni ukweli wa mambo. Inawezekana ikawa wenye misimamo mikali ndani ya kanisa wakawa ndio wahusika. Kwanini hili hamlifikirii badala yake mnarukia CCM?
 
Ushahidi no1: Waraka wao wa mwanzo ulikuwa unawaomba wakristo wakatae mahakama ya kadhi..na huo wa sasa unasema the same thing kwahiyo in purpose waraka wa zamani na wa sasa ni kitu kilele na source yake ni moja.

Ushahidi no 2: waraka wa mwanzo ulikuwa unawaomba wakristo wachague viongozi waliolelewa kikristo kwa vyovyote vile maana yake wachague viongozi wakrito, kwakuwa JK (CCM) na Lipumba (CUF) potential presidential candidates ni waislamu ndio maana wanataka wakristo wawachague chadema ambao kuna Mbowe mkristo au Slaa (askofu)

Purpose ya waraka wa mwanzo na purpose ya waraka huu wa sasa ni moja inabaki kuwa kweli wameamua kutafuta namna ya kutokea shame on them.. kukana ni danganya toto...mhalifu gani alishakubali kosa lake...

YAANI KWA AKILI ZAKO UNAONA HUO NDO USHAHIDI............... KUFANANA KWA CONTENT ZA WARAKA SI USHAHIDI WA KUTUWEZESHA KUAMINI UNACHOTAKA TUAMINI ................. hiyo source ni kwa kuitamka mdomoni mwako....???? Without signatures...NO ............I will never believe. Ushahidi lazima uwe beyond reasonable doubts......... otherwise benefit of doubt will be used
 
Kanisa katoliki linakata hilo lakini tujalie iwe kweli wamefanya hivyo, basi wanajisumbuwa tu na kupoteza wakati wao wa kwenda kuwahubiria waumini wao pia wakumbuke kuwa hata kama watafika na Bible zao pale nje ya vituo vya kupiga kura huku wakihubiri basi CCM itashinda kwa kishindo kuliko hata ushindi uliopita .wakatoliki waache kujidanganya inapofika maslahi ya CCM.
 
Hujui usemelo. Rudi nyuma na usome hoja za wenzako pale nilipoandika kuwa waraka ule ungawiwa makanisani.

Majibu yao yalikuwa kama ifuatavyo: Waraka unawahusu wote na unagawiwa pahala popote makanisani, misikitini hata vijijini. Pia unauzwa katika maduka ya vitabu.

Sasa unaona unavyojipinga. Unajua wakatoliki mna kauli tofauti kwa swala moja, hapo ndio taabu ilipo. Kwa maneno rahisi ni sawa na kuwaita wanafiki, samahani siwatusi bali sina neno jingine la kuwapichika.

Mimi naamini kuwa warakahuo umeandfikwa na kanisa katoliki na nyingi nyingine zitafuata kama sehemu ya kampeni. Tatizo , mnadhani kuwa nchi sasa hivi imetekwa na waisalam, kitu ambacho sio.

Tafuta takwimu uone wabunge bara kati ya waislam na wakristo ni uwiano gani. Sijakueleza juu ya wafanyakazi wa serikali hapo utacheka kama unasura ya kinyama na utalia kama una sura ya kibinaadam.

Waraka usio na 'authorship' (kama huu tunaouongelea wenye kurasa 3) na haujulikani unatoka wapi hauwezi kugawiwa katika makanisa ya Katoliki wala kuuzwa kwenye 'bookshops' zao. Vyote vinavyogawiwa au kuuzwa kwenye hili Kanisa (linaloshtumiwa kuwa ndilo limeuandika) huwa vinajulikana vimeandikwa na nani na ujumbe wake ni upi.

Nenda pale Paulines Media Bookshop (kwenye jengo la iliyokuwa Shule ya Sekondari ya Forodhani, just opposite to St Joseph's Cathedral - ndipo ilipohamia St Joseph's Bookshop kutoka ilipokuwa zamani) utapata vitabu (vyenye majina ya watunzi), magazeti (yenye majina ya watunzi) na nyaraka mbalimbali (zenye majina ya watunzi). Hutakuta anonymous letter au book in circulation.

Waraka unaogawiwa makanisani au kuuzwa kwenye bookshops za Kanisa Katoliki ni ule uliotoka mwanzoni (vijitabu - ILANI au Mpango wa Kichungaji... etc) na umesainiwa na Bishop Luzoka, mwenyekiti wa Tume ya Haki na Amani ya TEC.

Kwa hiyo, acha uongo wako! Kuhusu uwiano unaousema, hautegemei na dini bali kama mtu amesoma na ana ujuzi unaotakiwa kwa kazi fulani au la. Kazini kwetu kuna idadi ndogo sana ya wafanyakazi ambao ni Waislamu licha ya kuwa 'owner' wa kampuni ni Mwislamu.

Je, unataka kusema Wakristo walienda kwa huyo 'owner' wakamwambia asiwaajiri Waislamu bali awe anawaajiri waumini wa madhehebu mengine tu? Shida yenu ni kwamba huwa mnajibagua wenyewe na baadaye mnaanza kulalamika kwamba mnabaguliwa. Cha kufanya: someni na siyo tu kusoma madrassa. Nasema nendeni shule ili muwe na ushindani sawa na Watz wengine.

Mara kadhaa nimekuwa nikijadiliana na watu na kuniambia ni wasomi na ukiwauliza wamesoma wapi au chuo gani wanasema wamemaliza chuo cha madrassa. Kuna siku nilitembelewa na rafiki yangu mmoja kutoka Uingereza na alikuja jirani yangu pia ambaye ni Mwislamu.

Katika kujitambulisha na mazungumzo yetu, huyo Mwislamu alimwambia huyo mtishi kuwa amemaliza chuo na jamaa (mtishi) akawa na imani kuwa ana elimu ya chuo kikuu. Basi yule mtishi akaanza kushusha hoja kuhusu elimu ya chuo kikuu na changamoto zake. Huyo jirani alipoona hana hoja ya kuchangia kwa vile hajui huko kuna changamoto ziti ndipo akasema lakini yeye hajasoma zaidi ya madrassa.

Maana kila alipokuwa akiulizwa, mfano, ufundihaji wa somo fulani unafanywaje kwenye chuo alichosoma akawa anajikanyagakanyaga tu. Nilitaka kuvunja mbavu ila ikabidi tubadilishe topic na kuleta discussion kuhusu hali ya watu wa kawaida! Pia ilibidi tubadili lugha na msamiati. Upo hapo?

Hitimisho: Sijawahi kuona sehemu za kazi mtu anabaguliwa kwa vile ni Mwislamu ingawa inawezekana Waislamu wanaweza kuwabagua waumini wa dini zingine. Kuhusu idadi ya wabunge wapi ni wengi na wapi ni wachache sijui. Na sijui pia kama wingi wao au uchache wao unatokana na kuwa katika dini fulani zaidi ya uwezo wao na kupendwa na watu wao wanaowachgua.

Nadhani mnahitaji kuondokana na 'inferiority complex' na 'unthinking prejudice'. I've a lot to share in this line but let me stop here.
 
Sawa naiwe hivyo. Jee yaliyoandikwa kwenye waraka mnayapinga au mnahisi ni ukweli wa mambo. Inawezekana ikawa wenye misimamo mikali ndani ya kanisa wakawa ndio wahusika. Kwanini hili hamlifikirii badala yake mnarukia CCM?

Kuliko kujadili 'speculations', waraka wa Wakatoliki (ambao ni rasmi na ulishawekwa hapa JF siku za nyuma) hautaji vyama ambavyo vinawafaa au haviwafai Watz. Unawataka tu Watz kutumia haki yao ya kupiga kura vizuri kwa kuwachagua viongozi waadilifu na wenye uwezo bila kufuata itikadi za kichama wala kidini.

Waraka wa sasa, ambao unasambazwa kiaina unasema CCM na CUF ni vyama hatari isipokuwa Chadema. Kanisa Katoliki haliwezi kuwachagulia watu au waumini wake chama cha siasa kwani kila mwumini ana uhuru wa kuamini chama chake!

Pia waraka rasmi wa Kanisa Katoliki haukusema OIC au Mahakama ya Kadhi kwamba visianzishwe hapa Tz bali umesema Mamlaka ya Nchi isijihusishe na uanzishwaji wa taasisi za kidini (mfano Mahakama ya Kadhi au kujiunga na OIC) kama ilivyoainishwa kwenye Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Wanaopotosha maudhui wa waraka rasmi (ule wa mwanzo) uliotoka tangu Januari mwaka huu (2009) na kuweka huu (wenye kurasa 3 na usiojulikana umetungwa na nani na umechapishwa wapi) ndio wenye nia mbaya na hasa wanapoangalia tu baadhi ya maneno yaliyotumiwa kwenye huo waraka.

Kama Watanzania tutaendelea kuendekeza habari zisizo rasmi na kuzijadili kama rasmi then siyo tofauti na wapika majungu, wapiga soga na wambeya. Inabidi tukue, tuondokane na mawazo mgando kama haya!
 
Kuliko kujadili 'speculations', waraka wa Wakatoliki (ambao ni rasmi na ulishawekwa hapa JF siku za nyuma) hautaji vyama ambavyo vinawafaa au haviwafai Watz. Unawataka tu Watz kutumia haki yao ya kupiga kura vizuri kwa kuwachagua viongozi waadilifu na wenye uwezo bila kufuata itikadi za kichama wala kidini.

Waraka wa sasa, ambao unasambazwa kiaina unasema CCM na CUF ni vyama hatari isipokuwa Chadema. Kanisa Katoliki haliwezi kuwachagulia watu au waumini wake chama cha siasa kwani kila mwumini ana uhuru wa kuamini chama chake!

Pia waraka rasmi wa Kanisa Katoliki haukusema OIC au Mahakama ya Kadhi kwamba visianzishwe hapa Tz bali umesema Mamlaka ya Nchi isijihusishe na uanzishwaji wa taasisi za kidini (mfano Mahakama ya Kadhi au kujiunga na OIC) kama ilivyoainishwa kwenye Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Wanaopotosha maudhui wa waraka rasmi (ule wa mwanzo) uliotoka tangu Januari mwaka huu (2009) na kuweka huu (wenye kurasa 3 na usiojulikana umetungwa na nani na umechapishwa wapi) ndio wenye nia mbaya na hasa wanapoangalia tu baadhi ya maneno yaliyotumiwa kwenye huo waraka.

Kama Watanzania tutaendelea kuendekeza habari zisizo rasmi na kuzijadili kama rasmi then siyo tofauti na wapika majungu, wapiga soga na wambeya. Inabidi tukue, tuondokane na mawazo mgando kama haya!


Wajibu wa kuthibitisha kuwa huo waraka si wao ni Kanisa lenyewe na wala sio kuanza kusukumia wengine bila ya kuwa na ushahidi. Kufanya hivyo itakuwa sawa na unalolikataa la speculation!
Waraka original unaousema nafikiri unaenda kinyume na haki za mwananchi kuabudu kwani si tuna taratibu zetu za kiutawala katika kuzungumzia mambo yanayowahusu waumini wote? Sasa anapotokea mmoja akaiambia serikali kuwa wanayotaka waumini wa dini nyengine wasifanyiwe wakati tukijuwa kuwa maamuzi yote yanafanywa kwa kufuata utaratibu huo si uchonganishi wa kidini?
Kitendo hicho cha Kanisa ndio chimbuko la huu waraka wa pili kwani kinachozungumzwa nao ni muendelezo wa uchonganishi ule ule wa kidini.
Kanisa haliwezi kuepuka na lawama na waraka huu kwavile si wao walilolianza hili la kujipa madaraka ya kuingilia Demokrasia kwani kuishinikiza Serikali kwa kupitia mlango wa nyuma Dhidi ya kikundi chengine si chengine bali ni uchochezi. NATOWA CHALLENGE KWA KANISA KUSEMA KUWA YALIYOTAJWA NDANI YA WARAKA (suala la Kadhi na OIC ni haki ya Waislamu wa Tanzania)
 
Wajibu wa kuthibitisha kuwa huo waraka si wao ni Kanisa lenyewe na wala sio kuanza kusukumia wengine bila ya kuwa na ushahidi. Kufanya hivyo itakuwa sawa na unalolikataa la speculation!
Waraka original unaousema nafikiri unaenda kinyume na haki za mwananchi kuabudu kwani si tuna taratibu zetu za kiutawala katika kuzungumzia mambo yanayowahusu waumini wote? Sasa anapotokea mmoja akaiambia serikali kuwa wanayotaka waumini wa dini nyengine wasifanyiwe wakati tukijuwa kuwa maamuzi yote yanafanywa kwa kufuata utaratibu huo si uchonganishi wa kidini?
Kitendo hicho cha Kanisa ndio chimbuko la huu waraka wa pili kwani kinachozungumzwa nao ni muendelezo wa uchonganishi ule ule wa kidini.
Kanisa haliwezi kuepuka na lawama na waraka huu kwavile si wao walilolianza hili la kujipa madaraka ya kuingilia Demokrasia kwani kuishinikiza Serikali kwa kupitia mlango wa nyuma Dhidi ya kikundi chengine si chengine bali ni uchochezi. NATOWA CHALLENGE KWA KANISA KUSEMA KUWA YALIYOTAJWA NDANI YA WARAKA (suala la Kadhi na OIC ni haki ya Waislamu wa Tanzania)

1. Kwa sheria za hapa Tanzania 'he, who alleges must prove'. Kwa hiyo, ni jukumu la watoa shtuma ku'prove' kwamba waraka unaosambazwa bila kuwa na jina au majina ya waandishi ni wa Kanisa Katoliki.

2. Waraka wa Kanisa Katoliki (ule rasmi/halali) umewafungua Watz wengi macho kwa sababu mambo fulanifulani ya kidini yalikuwa yanatumia udhaifu wa baadhi ya viongozi wetu Serikalini kujipenyeza na kama si Kanisa Katoliki pengine Katiba yetu ingekuwa imeshavunjwa na tungejikuta tuko kwenye ‘dilemma' ya uhuru wa kuabudu.

Usichojua wewe mwenyewe ni kwamba Kanisa Katoliki linatetea uhuru wako ili usiingiliwe na Serikali au wewe mwenyewe kuiingilia Serikali unapotekeleza uhuru wako wa kuabudu. Sasa huku kuleta mwanga kwa Watz ni ‘obvious' baadhi ya watu wenye hila lazima waje juu na ndicho kinachotokea.

3. Hivyo, ni juu yenu ku‘prove' kwamba waraka ulioandikwa bila jina la mwandishi ni wa Kanisa Katoliki. Halafu mkisha ‘prove' hayo ni jukumu sasa la Kanisa Katoliki kutoa maelezo – kukubaliana na ushahidi huo au Kanisa kama lina ushahidi tofauti wa kuonesha kuwa linasingiziwa basi kuutoa. Lakini unayodai siyo sheria za Tanzania zinavyotaka. Au wewe na wenzako mnatumia sheria za nchi gani?

4. OIC na Mahakama ya Kadhi ni haki ya Wasilamu. Hata mimi nakubaliana na hilo. Swali: nani kawakataza kujiunga na OIC na kuanzisha Mahakama ya Kadhi kama Wasilamu? Waislamu jiungeni na OIC na anzisheni Mahakama ya Kadhi wenyewe mwone kama kuna mtu yeyote atakayehoji kitu!

Lakini mkitaka eti Serikali (ambayo ni ya Watz wote na si ya Wasilamu pekee) iingizwe mkenge kwenye mambo ambayo yanakiuka Katiba ya nchi, hapo hakuna atakayekubali! Katiba inatoa uhuru wa kila dini au dhehebu la dini halali (lililokubaliwa hata nchini) kufanya mambo yao wao wenyewe bila Serikali kujiingiza katika muundo na utekelezaji wake.

Ila hizo taasisi za kidini zikishaundwa na kama zinachangia kutoa huduma za kijamii na kuleta maendeleo ya watu na nchi, Serikali inabidi izijengee mazingira mazuri ili ziendelee kutoa hizo huduma. Hapa ni tofauti na kujiingiza katika uundaji na uendeshaji wake.
 
1. Kwa sheria za hapa Tanzania ‘he, who alleges must prove’. Kwa hiyo, ni jukumu la watoa shtuma ku’prove’ kwamba waraka unaosambazwa bila kuwa na jina au majina ya waandishi ni wa Kanisa Katoliki.

2. Waraka wa Kanisa Katoliki (ule rasmi/halali) umewafungua Watz wengi macho kwa sababu mambo fulanifulani ya kidini yalikuwa yanatumia udhaifu wa baadhi ya viongozi wetu Serikalini kujipenyeza na kama si Kanisa Katoliki pengine Katiba yetu ingekuwa imeshavunjwa na tungejikuta tuko kwenye ‘dilemma’ ya uhuru wa kuabudu.

Usichojua wewe mwenyewe ni kwamba Kanisa Katoliki linatetea uhuru wako ili usiingiliwe na Serikali au wewe mwenyewe kuiingilia Serikali unapotekeleza uhuru wako wa kuabudu. Sasa huku kuleta mwanga kwa Watz ni ‘obvious’ baadhi ya watu wenye hila lazima waje juu na ndicho kinachotokea.

3. Hivyo, ni juu yenu ku‘prove’ kwamba waraka ulioandikwa bila jina la mwandishi ni wa Kanisa Katoliki. Halafu mkisha ‘prove’ hayo ni jukumu sasa la Kanisa Katoliki kutoa maelezo – kukubaliana na ushahidi huo au Kanisa kama lina ushahidi tofauti wa kuonesha kuwa linasingiziwa basi kuutoa. Lakini unayodai siyo sheria za Tanzania zinavyotaka. Au wewe na wenzako mnatumia sheria za nchi gani?

4. OIC na Mahakama ya Kadhi ni haki ya Wasilamu. Hata mimi nakubaliana na hilo. Swali: nani kawakataza kujiunga na OIC na kuanzisha Mahakama ya Kadhi kama Wasilamu? Waislamu jiungeni na OIC na anzisheni Mahakama ya Kadhi wenyewe mwone kama kuna mtu yeyote atakayehoji kitu!

Lakini mkitaka eti Serikali (ambayo ni ya Watz wote na si ya Wasilamu pekee) iingizwe mkenge kwenye mambo ambayo yanakiuka Katiba ya nchi, hapo hakuna atakayekubali! Katiba inatoa uhuru wa kila dini au dhehebu la dini halali (lililokubaliwa hata nchini) kufanya mambo yao wao wenyewe bila Serikali kujiingiza katika muundo na utekelezaji wake.

Ila hizo taasisi za kidini zikishaundwa na kama zinachangia kutoa huduma za kijamii na kuleta maendeleo ya watu na nchi, Serikali inabidi izijengee mazingira mazuri ili ziendelee kutoa hizo huduma. Hapa ni tofauti na kujiingiza katika uundaji na uendeshaji wake.

Mkamatwa na ngozi ndie mwizi, na huo waraka utabaki kuwa wenu kanisa hadi pale mtapotowa ushahidi kuwa si wenu na kwa namna mnavyojionyesha mnapoguswa huu waraka ni wenu au niwa watu wenu.
Walichofanya Kanisa kwa waraka wa mwanzo haikuwa kitu chengine isipokuwa ni fitina za kidini. Hivyo ndani ya Serikali ni nani wanaoiongoza serikali kama si Wakroto sasa unapowachonganisha waumini dhidi ya Serikali hii unaita jambo jema? Sishangai kwanini mnaandika waraka huu na kuamuwa kutojitaja kwa vile mlichokifanya kililaaniwa na hata Wakristo wenzenu wenye kuangalia mbali. Hii inayoendelee si chengine bali ni matokeo ya zile chokochok zenu.

Unaposema kuwa mlichofanya mnafanya kwa ajili ya uhuru wangu, uko serious au la? Ikiwa msingi wa kuabudu kwangu unakukejeli hivyo una wema gani kwangu ? usijidanganye mlichofanya ni kuleta sumu za kidini bila sababu kwani maamuzi yote ya kijamii yanataratibu zake nanyi mlikiuka kwa faida yenu. Hivyo kilicho bora kwangu utakijuwa wewe usiependa niwe huru?
Kweli unajuwa kuwa tuna haki ya kujiunga na OIC na kuwa na mahakama ya kadhi? Haki haiwi kipande bali inakuwa nzima na taratibu zake. OIC inatakiwa ujiunge nchi na nchi ni nchi na wananchi ni wananchi. Usifikiri kuwa kila kinachoamuliwa ndio kinakubalika na wote au kinapendwa na wote hivyo wananchi bado wataendelea kuabudu dini zao mbali ya uamuzi wowote wa Serikali. Hivyo tukijiunga na OIC ndio itakuwa kufutwa dini nyengine zaidi ya uislamu au tukiingia OIC wananchi wa dini nyengine hawatoendelea na maisha? Unafikiri Waislamu wanapendelea Tanzania kuwa na uhusiano wa Kibalozi na Vatican,? Wanaelewa kuwa huo ni uamuzi wenye manufaa kwa watu wa dini nyengine na wana haki ya kuamuwa nani wa kushirikiana nao. Waacheni Waislamu wajiunge ili kuthibitisha kuwa kila mtu ana nafasi sawa kuabudu.
Unazungumzia Katiba? Jee Katiba inasema kuwa Kanisa litowe waraka wa uchochezi? Eti unajisifu kuwa mnaiokowa Serikali, serikali haina vyombo vyake vya kusimamia hayo? Au Katiba si maandiko ya makubaliano ndani ya jamii na mnapoona kuna haja ya marekebisho linafanyika hilo? Kwani mnaogopa nini suala hili kuzungumzwa kwenye vikao vinavyohusika hata mkimbilie kufikiri kuwa Katiba itavunjwa? Kama Katiba ndio kila kitu yaani haibadiliki mbona hiyo Mahakama ya Kadhi ilikuwepo ndani ya Katiba? Wakati ule nguvu ya mtu mmoja iliweza kubadilisha katiba ishindiwe nini sasa iwapo karibu nusu ya Watanzania wanataka iwe hivyo? Unajuwa ni hoja finyu sana hii ya Katiba na inakuja hivyio kwa sababu hamna sababu za maana za kuwakatalia wenzenu haki yao ya kuzaliwa.
Nilikuwa nikiamini kuwa labda wenye msimamo mkali ndio wahusika wa waraka huu lakini baada ya utetezi kama huu wako, sijui kama Kanisa halihusiki moja kwa moja iosipokuwa safari hii kukimbiza lawama basi usiwe na saini wala mtayarishani la msingi ni kuwa ujumbe umefika au sivyo?
 
YAANI KWA AKILI ZAKO UNAONA HUO NDO USHAHIDI............... KUFANANA KWA CONTENT ZA WARAKA SI USHAHIDI WA KUTUWEZESHA KUAMINI UNACHOTAKA TUAMINI ................. hiyo source ni kwa kuitamka mdomoni mwako....???? Without signatures...NO ............I will never believe. Ushahidi lazima uwe beyond reasonable doubts......... otherwise benefit of doubt will be used

Nimeonyesha ushahidi wa madhumuni ya waraka wa kwanza na huu wa pili as long as lengo lao ni moja then deductive thinking inaweza kukupa kwamba waliotoa ni walewale

Unapiga kelele jibu hoja..je kuna tofauti gani ya waraka wa sasa na ule wa mwanzo kimadhumuni? kama hamna huo ni ushahidi kamili...
 
Waraka usio na 'authorship' (kama huu tunaouongelea wenye kurasa 3) na haujulikani unatoka wapi hauwezi kugawiwa katika makanisa ya Katoliki wala kuuzwa kwenye 'bookshops' zao. Vyote vinavyogawiwa au kuuzwa kwenye hili Kanisa (linaloshtumiwa kuwa ndilo limeuandika) huwa vinajulikana vimeandikwa na nani na ujumbe wake ni upi.

Nenda pale Paulines Media Bookshop (kwenye jengo la iliyokuwa Shule ya Sekondari ya Forodhani, just opposite to St Joseph's Cathedral - ndipo ilipohamia St Joseph's Bookshop kutoka ilipokuwa zamani) utapata vitabu (vyenye majina ya watunzi), magazeti (yenye majina ya watunzi) na nyaraka mbalimbali (zenye majina ya watunzi). Hutakuta anonymous letter au book in circulation.

Waraka unaogawiwa makanisani au kuuzwa kwenye bookshops za Kanisa Katoliki ni ule uliotoka mwanzoni (vijitabu - ILANI au Mpango wa Kichungaji... etc) na umesainiwa na Bishop Luzoka, mwenyekiti wa Tume ya Haki na Amani ya TEC.

Kwa hiyo, acha uongo wako! Kuhusu uwiano unaousema, hautegemei na dini bali kama mtu amesoma na ana ujuzi unaotakiwa kwa kazi fulani au la. Kazini kwetu kuna idadi ndogo sana ya wafanyakazi ambao ni Waislamu licha ya kuwa 'owner' wa kampuni ni Mwislamu.

Je, unataka kusema Wakristo walienda kwa huyo 'owner' wakamwambia asiwaajiri Waislamu bali awe anawaajiri waumini wa madhehebu mengine tu? Shida yenu ni kwamba huwa mnajibagua wenyewe na baadaye mnaanza kulalamika kwamba mnabaguliwa. Cha kufanya: someni na siyo tu kusoma madrassa. Nasema nendeni shule ili muwe na ushindani sawa na Watz wengine.

Mara kadhaa nimekuwa nikijadiliana na watu na kuniambia ni wasomi na ukiwauliza wamesoma wapi au chuo gani wanasema wamemaliza chuo cha madrassa. Kuna siku nilitembelewa na rafiki yangu mmoja kutoka Uingereza na alikuja jirani yangu pia ambaye ni Mwislamu.

Katika kujitambulisha na mazungumzo yetu, huyo Mwislamu alimwambia huyo mtishi kuwa amemaliza chuo na jamaa (mtishi) akawa na imani kuwa ana elimu ya chuo kikuu. Basi yule mtishi akaanza kushusha hoja kuhusu elimu ya chuo kikuu na changamoto zake. Huyo jirani alipoona hana hoja ya kuchangia kwa vile hajui huko kuna changamoto ziti ndipo akasema lakini yeye hajasoma zaidi ya madrassa.

Maana kila alipokuwa akiulizwa, mfano, ufundihaji wa somo fulani unafanywaje kwenye chuo alichosoma akawa anajikanyagakanyaga tu. Nilitaka kuvunja mbavu ila ikabidi tubadilishe topic na kuleta discussion kuhusu hali ya watu wa kawaida! Pia ilibidi tubadili lugha na msamiati. Upo hapo?

Hitimisho: Sijawahi kuona sehemu za kazi mtu anabaguliwa kwa vile ni Mwislamu ingawa inawezekana Waislamu wanaweza kuwabagua waumini wa dini zingine. Kuhusu idadi ya wabunge wapi ni wengi na wapi ni wachache sijui. Na sijui pia kama wingi wao au uchache wao unatokana na kuwa katika dini fulani zaidi ya uwezo wao na kupendwa na watu wao wanaowachgua.

Nadhani mnahitaji kuondokana na 'inferiority complex' na 'unthinking prejudice'. I've a lot to share in this line but let me stop here.
Crap! huo ujinga wako wa kwamba waislamu hawajasoma tumeshausikia sana ni ujinga wa kuhalalisha "Injustice" na kuendekeza upuuzi

After all, tunaongelea waraka wa kibaguzi unaotoka kanisani kwa wakristo wasioipendea mema nchini unaanza mambo ya kusoma kutosoma aghh!
 
Mkamatwa na ngozi ndie mwizi, na huo waraka utabaki kuwa wenu kanisa hadi pale mtapotowa ushahidi kuwa si wenu na kwa namna mnavyojionyesha mnapoguswa huu waraka ni wenu au niwa watu wenu.
Walichofanya Kanisa kwa waraka wa mwanzo haikuwa kitu chengine isipokuwa ni fitina za kidini. Hivyo ndani ya Serikali ni nani wanaoiongoza serikali kama si Wakroto sasa unapowachonganisha waumini dhidi ya Serikali hii unaita jambo jema? Sishangai kwanini mnaandika waraka huu na kuamuwa kutojitaja kwa vile mlichokifanya kililaaniwa na hata Wakristo wenzenu wenye kuangalia mbali. Hii inayoendelee si chengine bali ni matokeo ya zile chokochok zenu.

Unaposema kuwa mlichofanya mnafanya kwa ajili ya uhuru wangu, uko serious au la? Ikiwa msingi wa kuabudu kwangu unakukejeli hivyo una wema gani kwangu ? usijidanganye mlichofanya ni kuleta sumu za kidini bila sababu kwani maamuzi yote ya kijamii yanataratibu zake nanyi mlikiuka kwa faida yenu. Hivyo kilicho bora kwangu utakijuwa wewe usiependa niwe huru?
Kweli unajuwa kuwa tuna haki ya kujiunga na OIC na kuwa na mahakama ya kadhi? Haki haiwi kipande bali inakuwa nzima na taratibu zake. OIC inatakiwa ujiunge nchi na nchi ni nchi na wananchi ni wananchi. Usifikiri kuwa kila kinachoamuliwa ndio kinakubalika na wote au kinapendwa na wote hivyo wananchi bado wataendelea kuabudu dini zao mbali ya uamuzi wowote wa Serikali. Hivyo tukijiunga na OIC ndio itakuwa kufutwa dini nyengine zaidi ya uislamu au tukiingia OIC wananchi wa dini nyengine hawatoendelea na maisha? Unafikiri Waislamu wanapendelea Tanzania kuwa na uhusiano wa Kibalozi na Vatican,? Wanaelewa kuwa huo ni uamuzi wenye manufaa kwa watu wa dini nyengine na wana haki ya kuamuwa nani wa kushirikiana nao. Waacheni Waislamu wajiunge ili kuthibitisha kuwa kila mtu ana nafasi sawa kuabudu.
Unazungumzia Katiba? Jee Katiba inasema kuwa Kanisa litowe waraka wa uchochezi? Eti unajisifu kuwa mnaiokowa Serikali, serikali haina vyombo vyake vya kusimamia hayo? Au Katiba si maandiko ya makubaliano ndani ya jamii na mnapoona kuna haja ya marekebisho linafanyika hilo? Kwani mnaogopa nini suala hili kuzungumzwa kwenye vikao vinavyohusika hata mkimbilie kufikiri kuwa Katiba itavunjwa? Kama Katiba ndio kila kitu yaani haibadiliki mbona hiyo Mahakama ya Kadhi ilikuwepo ndani ya Katiba? Wakati ule nguvu ya mtu mmoja iliweza kubadilisha katiba ishindiwe nini sasa iwapo karibu nusu ya Watanzania wanataka iwe hivyo? Unajuwa ni hoja finyu sana hii ya Katiba na inakuja hivyio kwa sababu hamna sababu za maana za kuwakatalia wenzenu haki yao ya kuzaliwa.
Nilikuwa nikiamini kuwa labda wenye msimamo mkali ndio wahusika wa waraka huu lakini baada ya utetezi kama huu wako, sijui kama Kanisa halihusiki moja kwa moja iosipokuwa safari hii kukimbiza lawama basi usiwe na saini wala mtayarishani la msingi ni kuwa ujumbe umefika au sivyo?

Off point! Kwani huo waraka feki unaosambazwa umekutwa unasambazwa na Kanisa Katoliki (kama unavyofanywa ule halali/rasmi)? Kwa hiyo, kusema mkamatwa na ngozi ndiye mwizi ni 'out of context'. Kama ndio ujanja mnaoutumia kueneza chuki dhidi ya Kanisa Katoliki mnapoteza muda wenu bure. Watu wanawaangalia na kuwacheka!

Tendeni haki for once, please! Kama mnachukia mwakilishi wa Vatican kuwa hapa Tanzania ni kawaida yenu hakuna cha ajabu ila Serikali haijazuia dini yenu kuwa na mwakilishi hapa Tanzania na ikiwa hivyo hakuna mtu atakeyechukia kama mnavyofanya nyinyi.

Ila ujanjaujanja wa kutuingiza kwenye mfumo wa dini yenu, hilo hatukubali. Abuduni huko misikitini kama Wakristo wanavyofanya makanisani lakini kuingiza vitu vya ajabuajabu kwenye mfumo wa Mamlaka ya Nchi hilo halikubaliki. Maana mkishafaulu hayo mawili, OIC na Mahakama ya Kadhi kwa utaratibu mnaotaka, hamtaacha kuingiza sharia na mambo mengine amabayo bado mnadhani hayatekelezwi na Serikali ya Tanzania. Lazima mjue kwamba Serikali ya Tanzania siyo Serikali ya dini ya Kiislamu au Kikristo. Hivyo, hamwezi kulazimisha mfumo wa dini yenu uwe mfumo wa Serikali ya Tanzania.
 
Crap! huo ujinga wako wa kwamba waislamu hawajasoma tumeshausikia sana ni ujinga wa kuhalalisha "Injustice" na kuendekeza upuuzi

After all, tunaongelea waraka wa kibaguzi unaotoka kanisani kwa wakristo wasioipendea mema nchini unaanza mambo ya kusoma kutosoma aghh!

Ujinga ni kutokubali ukweli. Facts ziko wazi. Na wajinga zaidi ni wale wakiona tu kitu kimeandikwa kama huo 'waraka feki' na kuanza kutoa hukumu bila ushahidi. Kwani kufanya hivyo, ndiyo usomi huo? Si ujinga na upuuzi tu? Soma nilichoandika na kielewe na utaona kuwa aliyemjinga zaidi ni yule anayelalamikalalamika kuwa anatengwa kwa vile yeye ni wa dini fulani wakati tatizo ni shule! Hata wenzako walio makini wanakubalina na hilo.
 
Ujinga ni kutokubali ukweli. Facts ziko wazi. Na wajinga zaidi ni wale wakiona tu kitu kimeandikwa kama huo 'waraka feki' na kuanza kutoa hukumu bila ushahidi. Kwani kufanya hivyo, ndiyo usomi huo? Si ujinga na upuuzi tu? Soma nilichoandika na kielewe na utaona kuwa aliyemjinga zaidi ni yule anayelalamikalalamika kuwa anatengwa kwa vile yeye ni wa dini fulani wakati tatizo ni shule! Hata wenzako walio makini wanakubalina na hilo.
Scrap! Again!, hakuna tofauti ya kimadhumuni kati ya waraka wa mwanzo na ule wa sasa! kama kuna tofauti ilete hapa tujadili

Hakuna ulichoandika cha kusoma zaidi ya streotype..na offpoint..tunaongelea waraka wewe unataka ku-divert tuongelee ubaguzi..wapi na wapi? mimi sina huo ujinga wewe wala sibabaishiwi na upuuzi huo unaouongea..kusoma nimesoma na kazi ninayo ndugu.

Waraka huu umetolewa na kanisa katoliki, na hawawezi kujiandika majina wala kuutoa kanisani kwasababu wanajua ni uhalifu nani kakwambia mhalifu anapenda kujitaja..aibu..
 
Off point! Kwani huo waraka feki unaosambazwa umekutwa unasambazwa na Kanisa Katoliki (kama unavyofanywa ule halali/rasmi)? Kwa hiyo, kusema mkamatwa na ngozi ndiye mwizi ni 'out of context'. Kama ndio ujanja mnaoutumia kueneza chuki dhidi ya Kanisa Katoliki mnapoteza muda wenu bure. Watu wanawaangalia na kuwacheka!

Tendeni haki for once, please! Kama mnachukia mwakilishi wa Vatican kuwa hapa Tanzania ni kawaida yenu hakuna cha ajabu ila Serikali haijazuia dini yenu kuwa na mwakilishi hapa Tanzania na ikiwa hivyo hakuna mtu atakeyechukia kama mnavyofanya nyinyi.

Ila ujanjaujanja wa kutuingiza kwenye mfumo wa dini yenu, hilo hatukubali. Abuduni huko misikitini kama Wakristo wanavyofanya makanisani lakini kuingiza vitu vya ajabuajabu kwenye mfumo wa Mamlaka ya Nchi hilo halikubaliki. Maana mkishafaulu hayo mawili, OIC na Mahakama ya Kadhi kwa utaratibu mnaotaka, hamtaacha kuingiza sharia na mambo mengine amabayo bado mnadhani hayatekelezwi na Serikali ya Tanzania. Lazima mjue kwamba Serikali ya Tanzania siyo Serikali ya dini ya Kiislamu au Kikristo. Hivyo, hamwezi kulazimisha mfumo wa dini yenu uwe mfumo wa Serikali ya Tanzania.


The point is waraka mpaka sasa tunajuwa kuwa ni wa Kanisa! Sawa nyie hamtaki chuki za kidini zinazosambazwa na huo unaouita feki ( na kwa maoni yako ni sie tunao usambaza). Jambo dogo tu yakanusheni maudhui ya waraka huu feki na sio kupiga blah blah! Unakanusha kitu sio chako lakini kilichomo ndio kile kile ulichokiandika wewe sasa uwo uchonganishi unakuja wapi iwapo unakubaliana na kilicho ndani ya waraka?
Aliekwambia tunachukia nani? Kupendelea kitu haina maana kuwa lazima ukichukie. Halafu unachukulia easy eti tuiambie serikali, sisi hatuna haja ya kukichukia kitu tusichokila kikatudhuru. Kuwapo kwa Vatican kunawasaidia nyinyi wala hakutuathiri sisi lakini nyie kuwepo kwa vitu vya Kiislamu kwa ajili ya Waislamu mnaishurutisha Serikali, hivyo tukipata sisi nyie ndio mtakuwa mnakosa kitu?
Hapo mwanzo kwavile ulivyokuwa ukijilabu nilifikiri kuwa huo usomi wako ni wa akili kumbe ni ule mfumo tuliouzoea wa kuiba mitihani. Hivyo tukiingia OIC au kuwa na mahakama ya kadhi ndio nyie ukiristo wenu utasimama? Kumbe ipo kazi!
 
The point is waraka mpaka sasa tunajuwa kuwa ni wa Kanisa! Sawa nyie hamtaki chuki za kidini zinazosambazwa na huo unaouita feki ( na kwa maoni yako ni sie tunao usambaza). Jambo dogo tu yakanusheni maudhui ya waraka huu feki na sio kupiga blah blah! Unakanusha kitu sio chako lakini kilichomo ndio kile kile ulichokiandika wewe sasa uwo uchonganishi unakuja wapi iwapo unakubaliana na kilicho ndani ya waraka?
Aliekwambia tunachukia nani? Kupendelea kitu haina maana kuwa lazima ukichukie. Halafu unachukulia easy eti tuiambie serikali, sisi hatuna haja ya kukichukia kitu tusichokila kikatudhuru. Kuwapo kwa Vatican kunawasaidia nyinyi wala hakutuathiri sisi lakini nyie kuwepo kwa vitu vya Kiislamu kwa ajili ya Waislamu mnaishurutisha Serikali, hivyo tukipata sisi nyie ndio mtakuwa mnakosa kitu?
Hapo mwanzo kwavile ulivyokuwa ukijilabu nilifikiri kuwa huo usomi wako ni wa akili kumbe ni ule mfumo tuliouzoea wa kuiba mitihani. Hivyo tukiingia OIC au kuwa na mahakama ya kadhi ndio nyie ukiristo wenu utasimama? Kumbe ipo kazi!

Sitaki malumbano. Endeleeni kuamini hivyo kama kufanya hivyo kuna tija kwenu!
 
Scrap! Again!, hakuna tofauti ya kimadhumuni kati ya waraka wa mwanzo na ule wa sasa! kama kuna tofauti ilete hapa tujadili

Hakuna ulichoandika cha kusoma zaidi ya streotype..na offpoint..tunaongelea waraka wewe unataka ku-divert tuongelee ubaguzi..wapi na wapi? mimi sina huo ujinga wewe wala sibabaishiwi na upuuzi huo unaouongea..kusoma nimesoma na kazi ninayo ndugu.

Waraka huu umetolewa na kanisa katoliki, na hawawezi kujiandika majina wala kuutoa kanisani kwasababu wanajua ni uhalifu nani kakwambia mhalifu anapenda kujitaja..aibu..

Kwani mbishi atashindwa kitu? Sawa endeleeni kuamini hivyo!
 
JF huwa tunaweka waraka nzito nzito je huu feki mbona hauletwi ? Kanisa katoliki never fear anyona kiasi kwamba waukatae waraka wao weneywe . Wamesha sema waraka wao upo na si huu unao tolewa misikitini now what else guys do you want ?hebu tuujadili waraka kama waraka na wapuuzi wadini waache waendelee kuamini yao.
 
JF huwa tunaweka waraka nzito nzito je huu feki mbona hauletwi ? Kanisa katoliki never fear anyona kiasi kwamba waukatae waraka wao weneywe . Wamesha sema waraka wao upo na si huu unao tolewa misikitini now what else guys do you want ?hebu tuujadili waraka kama waraka na wapuuzi wadini waache waendelee kuamini yao.

Hebu elaborate kidogo comrade! Waraka upi ujadiliwe? ule original au ule feki?
Kwa bahati mbaya nhiudhuu za waraka hizi ni sawa.
 
Back
Top Bottom