BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,007
....Mkuu Mkandara hata vyama vikongwe duniani kama Democrats na Republicans vina mapungufu mengi tu ndani ya vyama vyao. Kule Republicans mapungufu hayo yakasababisha kuzaliwa kwa Tea Party. Pamoja na hayo mapungufu shughuli muhimu za vyama hivyo hazisimamishwi ili kuyafanyia kazi mapungufu hayo.
Mie puyngufu kubwa nililokuwa nikiliona ambalo lingweza kabisa kunyima CDN nafasi ya kuchukua dola ni lile la kutokwenda kujitangaza vijijini ambako ndio asilimia kubwa ya Watanzania wanaishi. Hili sasa linafanyika tena kwa juhudi kubwa sana. Kwa hiyo hayo mengine yanaweza kushughulikiwa taratibu huku shughuli nyingine mihimu za CDM zikiendelea.
Unasema magamba wameongoza katika mageuzi ya kiuchumi. Mie sioni mageuzi yoyote kwenye uchumi wetu zaidi ya uchumu huo kuendelekea kupokwa na mafisadi ndani ya Serikali na wale wanaojifanya ni wawekezaji.
Kuhusu umiliki wa vyombo vya habari si kweli kwamba vyombo vyote vinamilikwa na magamba. Na hili linathibitishwa na mambo mengi ya kuhusiana na ufisadi ambayo tumeyafahamu kupitia vyombo huru vya habari kama vile Mwanahalisi, Mwananchi, This Day (sasa halipo tena) Tanzania Daima na hata baadhi ya TV stations ambazo bado ziko nyuma ukilinganisha na magazeti. Kama utakumbuka gazeti la Mwanahalisi hivi karibuni lilifungiwa kwa kuandika ukweli kuhusiana na kutekwa kwa Dr Ulimboka.
Magamba hawana uchumi mkubwa wowote. Pamoja na kulipwa mabilioni ya ruzuku kila mwaka bado wanakupua mabilioni chungu nzima kutoka hazina ili kugharamia shughuli mbali mbali za magamba ikiwemo kampeni za uchaguzi. Katika uchaguzi wa 2010 walikupua mabilioni ili kugharamia kampeni zao. Katika uchaguzi wa 2005 walitumia EPA, Meremeta na Kagoda kukupua nambilioni ya pesa za Watanzania na kuzijaza katika bank accoints zao nchi za nje na pia kulipia gharama za kampeni.
Hilo la katiba kuipa nguvu CCM wala silishangai ndio maana walipinga sana kuandikwa katiba mpya ambayo itapunguza kwa kiasi kikubwa nguvu walizonazo sasa kupitia katiba iliyojaa viraka.
Mbinu za CDM labda ni kweli haziko consistent. Hili linaweza kuwa linasabishwa na vikwazo mbali mbali vinavyofanywa na magamba wakishirikiana na vyombo vya dola, Msajili wa vyama na pia Tume ya uchaguzi.
Civil society ni kweli bado dhaifu na hili pia linasababishwa na magamba kwa kuogopa kwamba hizi zikiimarika basi madhambi yao ndio yatazidi kuanikwa hadharani na hivyo kushindwa kutimiza ndoto zao za kuitawala Tanzania milele.
Kwa kumalizia napendi nirudie tena Viongozi wa juu wa CDM wanastahili pongezi kubwa sana kwa mafanikio waliyopata mpaka sasa. Hivyo inabidi tuungane nao katika jitihada za kuhakikisha kwamba 2015 CDM wanachukua dola. Hakuna ubaya wowote kukosoa mapungufu yaliyomo ndani ya CDM lakini wakati huo huo tusisahau kupongeza pale ambapo panastahili kupongezwa.
Siku na kazi njema Mkuu.
Mie puyngufu kubwa nililokuwa nikiliona ambalo lingweza kabisa kunyima CDN nafasi ya kuchukua dola ni lile la kutokwenda kujitangaza vijijini ambako ndio asilimia kubwa ya Watanzania wanaishi. Hili sasa linafanyika tena kwa juhudi kubwa sana. Kwa hiyo hayo mengine yanaweza kushughulikiwa taratibu huku shughuli nyingine mihimu za CDM zikiendelea.
Unasema magamba wameongoza katika mageuzi ya kiuchumi. Mie sioni mageuzi yoyote kwenye uchumi wetu zaidi ya uchumu huo kuendelekea kupokwa na mafisadi ndani ya Serikali na wale wanaojifanya ni wawekezaji.
Kuhusu umiliki wa vyombo vya habari si kweli kwamba vyombo vyote vinamilikwa na magamba. Na hili linathibitishwa na mambo mengi ya kuhusiana na ufisadi ambayo tumeyafahamu kupitia vyombo huru vya habari kama vile Mwanahalisi, Mwananchi, This Day (sasa halipo tena) Tanzania Daima na hata baadhi ya TV stations ambazo bado ziko nyuma ukilinganisha na magazeti. Kama utakumbuka gazeti la Mwanahalisi hivi karibuni lilifungiwa kwa kuandika ukweli kuhusiana na kutekwa kwa Dr Ulimboka.
Magamba hawana uchumi mkubwa wowote. Pamoja na kulipwa mabilioni ya ruzuku kila mwaka bado wanakupua mabilioni chungu nzima kutoka hazina ili kugharamia shughuli mbali mbali za magamba ikiwemo kampeni za uchaguzi. Katika uchaguzi wa 2010 walikupua mabilioni ili kugharamia kampeni zao. Katika uchaguzi wa 2005 walitumia EPA, Meremeta na Kagoda kukupua nambilioni ya pesa za Watanzania na kuzijaza katika bank accoints zao nchi za nje na pia kulipia gharama za kampeni.
Hilo la katiba kuipa nguvu CCM wala silishangai ndio maana walipinga sana kuandikwa katiba mpya ambayo itapunguza kwa kiasi kikubwa nguvu walizonazo sasa kupitia katiba iliyojaa viraka.
Mbinu za CDM labda ni kweli haziko consistent. Hili linaweza kuwa linasabishwa na vikwazo mbali mbali vinavyofanywa na magamba wakishirikiana na vyombo vya dola, Msajili wa vyama na pia Tume ya uchaguzi.
Civil society ni kweli bado dhaifu na hili pia linasababishwa na magamba kwa kuogopa kwamba hizi zikiimarika basi madhambi yao ndio yatazidi kuanikwa hadharani na hivyo kushindwa kutimiza ndoto zao za kuitawala Tanzania milele.
Kwa kumalizia napendi nirudie tena Viongozi wa juu wa CDM wanastahili pongezi kubwa sana kwa mafanikio waliyopata mpaka sasa. Hivyo inabidi tuungane nao katika jitihada za kuhakikisha kwamba 2015 CDM wanachukua dola. Hakuna ubaya wowote kukosoa mapungufu yaliyomo ndani ya CDM lakini wakati huo huo tusisahau kupongeza pale ambapo panastahili kupongezwa.
Siku na kazi njema Mkuu.
BAK, nakubalina na wewe sana tu lakiji mwenyewe umekiri kuwepo kwa mapungufu. lakini sijakuona ukiya orodhesha. Halafu kulingana na Mchambuzi hizi ndio ngome yao, nakuomba uninyeshe ni wapi tumeweza kubomoa..
- CCM ndio iliyoongoza mageuzi ya kiuchumi (political reforms) Tanzania;
- Umiliki na Udhibiti wa Vyombo Vya habari;
- Uchumi Mkubwa Wa CCM;
- Ujamaa Bado ni Relevant (unaendana) na Maisha ya Wengi Vijijini;
- CCM imejenga Coalition na Taasisi zote nchini zenye nguvu kiuchumi, kijamii na kijeshi;
- Katiba ya Sasa ya nchi inaipa CCM nguvu kubwa kisiasa;
- Mbinu za upinzani zinazotumiwa na Chadema Hazipo Consistent na Coherent;
- Tanzania inakabiliwa na Udhaifu mkubwa wa Civil Society; na
- Political Culture ya Tanzania ina matatizo..
Last edited by a moderator: