AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
Hivi karibuni tumeshuhudia jinsi ufaulu wa kidato cha nne( csee 2011) ulivyokuwa duni, mbali na hapo tumekuwa tukishudia jinsi wanafunzi wanaorudia mitihani yao( prvt canddets) wanavyokandamizwa na baraza ktk usahishaji wa mitihani yao, kwa mfano unakuta kila mwaka hawa prvt canddets wanapata matokeo mabaya sana huku wakitozwa fedha nyingi kwenye usajili na si kwamba hawa pc hawana uwezo bali ni upuuziaji 2 wa baraza juu ya hili tatizo , ni vyema serkali, baraza waliangalie swala hili kwani prvet canddets huwa hawatendewi haki hata kidogo. Naomba kuwasilisha