mtaandika mengi haya bado hayatoshi,anayeweza kuhukumu ni mungu tu na si vinginevyo.nachukia mijitu inayokalia na kukomalia kanumba alikua mzinzi.mnajuaje alizini na yule lulu wakati hata set aliambiwa wajiandae watoke.kanumba alisema yuko single mnajuaje ndo walikua anaanza kurusha nyavu mtoto akaonyesha ucharuko.tusubiri anaehukumu afanye kazi yake sio kuropoka yawatu wakati mifuko yetu imeoza.
R.I.P the great
R.I.P the great