nimecheeeeeeeeka,cha utundu wewe ndo mana huoi!
Jameni Jameni mnaniharibia CV yangu kwa Koku....bht binti yako alinimwaga kisa alipoona nina VISA Card badala ya MASTER Cardwewe muharibifu sana ndo maana nilikunyima binti yangu......waayii!!!
hawa wa hivi hawanibabaishi,na mwanangu kila siku namtahadharisha nadhara ya hii mitandao.Haka kajamaa naona kafataki sana eti kanataka akumuadd FB Koku, Baba Koku ukimkutanisha Koku na hako kajamaa basi form 5 Koku anaweza asiende
Wala, hujakosea mwaya,Hapa ni kufunga na kusali ili kuyashinda yote nguvu ya giza.
Inabidi amsihi Koku akumbuke kusali na kusoma biblia.
huyo TF dawa yake iko jikoni,we mwache,kwanza hayo ma dobberman nyumbani kwangu atasogea?
Khaaaaa!!! Julieth hadi wewe...msinifanyie hivyo jamani Koku wa watu atagoma kwenda Form 5 shauri zenu...:lol:Haka kajamaa naona kafataki sana eti kanataka akumuadd FB Koku, Baba Koku ukimkutanisha Koku na hako kajamaa basi form 5 Koku anaweza asiende
Hajakujulia tu,huyo TF dawa yake iko jikoni,we mwache,kwanza hayo ma dobberman nyumbani kwangu atasogea?
hawa wa hivi hawanibabaishi,na mwanangu kila siku namtahadharisha nadhara ya hii mitandao.
Khaaaaa!!! Julieth hadi wewe...msinifanyie hivyo jamani Koku wa watu atagoma kwenda Form 5 shauri zenu...:lol:
Haka kajamaa naona kafataki sana eti kanataka akumuadd FB Koku, Baba Koku ukimkutanisha Koku na hako kajamaa basi form 5 Koku anaweza asiende
take your time Kongosho.Naomba kuombewa, yaani mie kitu kikishakuwa kirefu siwezi, hata siku ya kufa ukishaniwekea kwenye marefu wala siiitafuti.
Bora namba aisee, hazisumbui kabisa.
Asante, ngoja niprint ntasoma nikiwa kwenye dabodeka home.
Khaaaaa!!! Julieth hadi wewe...msinifanyie hivyo jamani Koku wa watu atagoma kwenda Form 5 shauri zenu...:lol:
wanangu kila siku nawaimbia mauzi wanayonipa wajue na wao wakikua watoto wao watawafanyia hayo hayo.He he he, christiano Ronaldo, anafanya tukio ambapo hamtegemei hata kama ni kufunga timu yake mradi kapachika bao.
Ha ha ha, vijana wa mjini nawapenda, hamwishi kunipa raha mie
Mageti mengi, ukuta mrefuuu na walinzi juu, kajamaa kalala ndani kwako mwenyewe na binti wako mwenyewe. Kweli wazazi tutajibeba na hii dot com
bamwambie,halafu ana approach 45 mke hana,kazi macho mia mia shingo feni,hovyooooooo!
Jameni Jameni mnaniharibia CV yangu kwa Koku....bht binti yako alinimwaga kisa alipoona nina VISA Card badala ya MASTER Card
Bujibuji,hivi lile jambia langu nililisahau kwako jana? embu niletee fasta kuna katoto ka jirani hapa sikaelewielewi aisee.