Zakumi
JF-Expert Member
- Sep 24, 2008
- 5,063
- 2,471
Wengine sisi ni wapagani. Na kama inavyoonyesha kuwa interest groups mbalimbali zinajaribu kwa namna moja au nyingine kuandika jinsi ya kuongoza watu kwenye uchaguzi wa 2010.
Ningeomba wale ambao hawana uwakilishi wa kidini au kwa wale wenye kutaka kutimiza wajibu wa kiraia bila kutumia makundi ya kidini tuandae draft na baadaye tutoe waraka wetu.
Wenu Za10 MwanaMavungi.
Ningeomba wale ambao hawana uwakilishi wa kidini au kwa wale wenye kutaka kutimiza wajibu wa kiraia bila kutumia makundi ya kidini tuandae draft na baadaye tutoe waraka wetu.
Wenu Za10 MwanaMavungi.