Waraka wa Wapagani - Draft

Zakumi

JF-Expert Member
Sep 24, 2008
5,063
2,471
Wengine sisi ni wapagani. Na kama inavyoonyesha kuwa interest groups mbalimbali zinajaribu kwa namna moja au nyingine kuandika jinsi ya kuongoza watu kwenye uchaguzi wa 2010.

Ningeomba wale ambao hawana uwakilishi wa kidini au kwa wale wenye kutaka kutimiza wajibu wa kiraia bila kutumia makundi ya kidini tuandae draft na baadaye tutoe waraka wetu.

Wenu Za10 MwanaMavungi.
 
Hahahahahahaha,

Za10,

Wapagani bongo wanazidi 10% (all the animist and traditional religion upholders, tree worshipers etc)

You almost got me started. Ila tatizo you are close but personally am not a pagan, more of an atheist, the two are not the same.

Lakini kwa kuwa umealika wasio na uwakilishi wa kidini, nitaitikia wito wako vilivyo.

Ila tusilaumiane tu.
 
Wengine sisi ni wapagani. Na kama inavyoonyesha kuwa interest groups mbalimbali zinajaribu kwa namna moja au nyingine kuandika jinsi ya kuongoza watu kwenye uchaguzi wa 2010.

Ningeomba wale ambao hawana uwakilishi wa kidini au kwa wale wenye kutaka kutimiza wajibu wa kiraia bila kutumia makundi ya kidini tuandae draft na baadaye tutoe waraka wetu.

Wenu Za10 MwanaMavungi.


Sasa mbona mpagani mkubwa Kingunge yupo mstari wa mbele kupinga "waraka?".

Mnahitaji muwekwe chumba kimoja msemezane....
 
Hahahahahahaha,

Za10,

Wapagani bongo wanazidi 10% (all the animist and traditional religion upholders, tree worshipers etc)

You almost got me started. Ila tatizo you are close but personally am not a pagan, more of an atheist, the two are not the same.

Lakini kwa kuwa umealika wasio na uwakilishi wa kidini, nitaitikia wito wako vilivyo.

Ila tusilaumiane tu.

Correction...a while back ulisema ww ni pagani...huamini dini yeyote naona leo umejing'ata ulimi....
 
LOL!

Tatizo sio upagani au la, tatizo ni kuwa nchi kama ya Tanzania unashindwa kuelewa hata kama hizo dini zingine zipo, Churches and mosques are more like social clubs!

Ndio maana ukifanya utafiti wa hizo nyaraka zo utajikuta wanaojiita wakristo na waislamu hawajasoma na wala HWANA MPANGO WA KUSOMA, BONGO TAMBARARE, KANISA NA MISIKITINI WATU WANAENDA KWA KUOGOPA WAZAZI AU JAMII INAYOWAZUNGUKA!

Huo waraka wa wakatoliki ni wa wakatoliki na sio wa wawakristo wooote, hawajaanza KKKT, walokole, wasabato, huko kw waislamu hawajaanza huyu wa shia huyu wa shai!!!!!
 
Wengine sisi ni wapagani. Na kama inavyoonyesha kuwa interest groups mbalimbali zinajaribu kwa namna moja au nyingine kuandika jinsi ya kuongoza watu kwenye uchaguzi wa 2010.

Ningeomba wale ambao hawana uwakilishi wa kidini au kwa wale wenye kutaka kutimiza wajibu wa kiraia bila kutumia makundi ya kidini tuandae draft na baadaye tutoe waraka wetu.

Wenu Za10 MwanaMavungi.

Mimi nikiwa mpagani mwandamizi naunga mkono.Napendekeza machache ya kuweka humo.

Napendekeza kuwa tutoe waraka wa kipagani wa kuwaomba wananchi wawachague watu wasiokuwa na dini uchaguzi ujao.

Tuwaeleze kuwa ,kwa kuwa Serikali haina dini mtu asiye na dini ndiye anafaa zaidi kuchaguliwa kuongoza serikali isiyo na dini.Wenye dini hawawezi kuongoza serikali isiyo na dini sababu fikra zao zimekaa kidini dini ndiyo maana wana muda wa kupoteza kwa kujadili mambo ya kadhi na nyaraka za katoliki badala ya kujikita kutafuta mbinu za kujikwamua kutoka katika umaskini.Tungekuwa na viongozi na wabunge wasio na kidini dini kama mambo ya kadhi ,hijabu mashuleni,nyaraka za katoliki n.k yasingethubutu kukanyaga serikalini ,kwenye ilani za chama wala bungeni kuzua mjadala.

Tuwashawishi kuwa wakichagua wapagani watakuwa na uhuru wa kuabudu watakavyo na kutoa nyaraka watakavyo bila serikali kuwaingilia wala kuwaomba wajisajili au kupeleka hotuba au nyaraka zao serikalini kwani dini na siasa vitatenganishwa na hata kuapa mtu hatatumia biblia au kuruani.Dini zitawekwa mbali kabisa na serikali.Viongozi wa dini hawataalikwa kwenye shughuli za kiserikali na viongozi wa serikali hawataalikwa kwenye shughuli za kidini.

Katika waraka huo inabidi tutamke wazi kuwa Kingunge Ngombale Mwilu hatumtambui kuwa ni mpagani kwa sababu hakukemea hoja za kidini zilipoingia kwenye ilani ya CCM,Serikalini na bungeni .

Wapagani hoyeeeee.


















 
sasa wapagani hawana kitabu wataongea nini wao naona wabakie kimya kwani wakristo wanacho kitabu biblia na waislam nao wana Quran sasa wapangani wana nini
 
Hahahahahahaha,

Za10,

Wapagani bongo wanazidi 10% (all the animist and traditional religion upholders, tree worshipers etc)

You almost got me started. Ila tatizo you are close but personally am not a pagan, more of an atheist, the two are not the same.

Lakini kwa kuwa umealika wasio na uwakilishi wa kidini, nitaitikia wito wako vilivyo.

Ila tusilaumiane tu.

Ni kweli mkuu kwasababu atheist tofauti na wapagani hawabelieve either in God or even miungu kama miti milima ama hata mizimu.Uhuru wa kutoa maoni under free speach unampa Za10 nafasi ya kuleta hoja hii,hatahivyo tunakuwa bias kama badala ya kufuata katiba na principles za uadilifu wa uongozi tunaweka issue za kutugawanya mbele,nchi haiongozwi na koran ama bible,ni katiba iliyowekwa ambayo imeridhiwa na wananchi na ambayo ndio muongozo wa nchi. Waraka uliotolewa na catholics ni guding principles tu wakati huu ambapo ufisadi ni kama fashion na mafisadi ndo wenye nguvu, sema tu siasa za divisions zinapenyezwa kwa maslahi ya itikadi flani ama hata binafsi tu kwa kutumia migongo ya imani nk. Ufisadi hauangalii wewe ni dini gani,jinsia gani ama kabila gani etc,ni tabia ambayo ni kama section ya dini nyingine ya tofauti kwasababu walio mafisadi ni wa dini tofauti ila they share something in common,lakini sio principle za uadilifu.Na kwa hivyo basi nampa zakumi changamoto na yeye aseme kuwa wapagani hawawezi kuwa mafisadi na ni kwa misingi ipi hiyo hawawezi kuwa mafisadi.Kingunge ni mpagani,lakini anatetea mafisadi,so instituon ya catholics imetoa changamoto na wanaojibu either wanawachukia wakatoliki,ama ni mafisadi na wanatetea zaidi maslahi ya chama na mafisadi wakiwemo na bila ya wao kuonyesha kuchukizwa ama hata kuchukua hatu...Wakatoliki wametoa hoja ambazo zinatakiwa zifuatwe na viongozi bila kujali dini kwani waliyoyasema hayana uhusiano na kutaka biblia ama dini yao ifuatwe ama hata muongozo wa kidini kwene Taifa,kama vile ufisadi unavyowaunganisha watu wa dini tofauti,kwanini uadilifu usiwaunganishe viongozi ambao ni wazalendo wanaoweka maslahi ya Taifa mbele?
Tonga message hii pia iko aimed to answer or comment ur posting,we should judge the content and not veerering towards religious conflicts kwani ufisadi hauna dini,hilo liko wazi.
 
Last edited:
Hahahahahahaha,

Za10,

Wapagani bongo wanazidi 10% (all the animist and traditional religion upholders, tree worshipers etc)

You almost got me started. Ila tatizo you are close but personally am not a pagan, more of an atheist, the two are not the same.

Lakini kwa kuwa umealika wasio na uwakilishi wa kidini, nitaitikia wito wako vilivyo.

Ila tusilaumiane tu.

BluRay:

Lugha yetu bado unaupungufu wa misamiati kuelezea makundi mengine na ndio maana usipokuwa mkristo au mwislamu unaweza kuitwa pagani au kafiri. Lakini Tanzania kuna bahai, hindu, Zorostrian, imani za kikabila, spiritual..............

Hivyo point kubwa ni kuandika waraka kwa kutumia uraia na haki za kiraia na historia ya nchi.
 
Sasa mbona mpagani mkubwa Kingunge yupo mstari wa mbele kupinga "waraka?".

Mnahitaji muwekwe chumba kimoja msemezane....

Mfano huu ni sawa na kusema kuwa wakatoliki wote wamekubaliana na waraka wa wakatoliki.
 
LOL!

Tatizo sio upagani au la, tatizo ni kuwa nchi kama ya Tanzania unashindwa kuelewa hata kama hizo dini zingine zipo, Churches and mosques are more like social clubs!

Ndio maana ukifanya utafiti wa hizo nyaraka zo utajikuta wanaojiita wakristo na waislamu hawajasoma na wala HWANA MPANGO WA KUSOMA, BONGO TAMBARARE, KANISA NA MISIKITINI WATU WANAENDA KWA KUOGOPA WAZAZI AU JAMII INAYOWAZUNGUKA!

Huo waraka wa wakatoliki ni wa wakatoliki na sio wa wawakristo wooote, hawajaanza KKKT, walokole, wasabato, huko kw waislamu hawajaanza huyu wa shia huyu wa shai!!!!!

Waberoya:

Unajua nchi yetu ni nchi ambayo imejengwa kwa utamaduni wa oral traditions. Ni miaka ya hivi karibuni literacy traditions zimeanza kuingia. Hivyo katika maisha yetu makubaliano au mazungumzo ya mdomoni yana nguvu sana kuliko mambo yaliko kwenye makaratasi.
 
sasa wapagani hawana kitabu wataongea nini wao naona wabakie kimya kwani wakristo wanacho kitabu biblia na waislam nao wana Quran sasa wapangani wana nini

sio lazima kuwa na kitabu,watakopi na kupesti[kama wengine wanavyofanya] na labda kubadili baadhi ya maneno yaendane na upagani
 
Sasa mbona mpagani mkubwa Kingunge yupo mstari wa mbele kupinga "waraka?".

Mnahitaji muwekwe chumba kimoja msemezane....

Kingunge anapinga waraka sababu yeyete ni mpagani, na muda si mrefu atakuja na waraka wake binafsi kuwakilisha wapagani na wale wasiofungamana na dini... lol
 
Tunangojea waraka wa MAFISADI tuone wametayarisha pesa kiasi gani kununulia kura 2010
 
Wengine sisi ni wapagani. Na kama inavyoonyesha kuwa interest groups mbalimbali zinajaribu kwa namna moja au nyingine kuandika jinsi ya kuongoza watu kwenye uchaguzi wa 2010.

Ningeomba wale ambao hawana uwakilishi wa kidini au kwa wale wenye kutaka kutimiza wajibu wa kiraia bila kutumia makundi ya kidini tuandae draft na baadaye tutoe waraka wetu.

Wenu Za10 MwanaMavungi.

Nadhani hii itakua hatua nzuri na waprotestanti,wasabato,walokole nao watoe mwongozo.Pia sio vibaya wavuvi,wakulima,wafugaji,machinga, wanamuziki na makundi mengine kwenye jamii nao wakatoa vipaumbele vyao.
 
Lakini na mimi kama mwana JF nitoe mawazo yangu, nafikiri watanzania tusiogope kuona yale yanayokwenda kutokea katika nchi muda si mrefu,(kupatikana kwa UKOMBOZI au UHURU), ingawa nasikitika kusema kuwa lazima tutapitia wakati mugumu kidogo, na pengine wako ambao wanaweza poteza maisha kama ambavyo tayari tulivyokwisha poteza baadhi ya ndugu zetu waliosimama kwa ujasiri kutetea maslahi ya watanzania sina haja ya kuwataja maana badhi yao tunawakumbuka. Ila damu zao zitaendelea kuwapa ujasiri watu wengine kupinga ufisadi au fikra za kidini kama ambavyo serikali hii ya kikwete ilivyojitahidi kupalilia haya mambo.

Ni historia pekee ndio itatufanya aidha tupate ukombozi kwa amani au kwa gharama ya juu(watu kupoteza maisha), Amerika ina misingi yake hivyo hatuwezi kujilinganisha nayo na pia South Afrika nao wanahistoria yao na tunapoona leo hii wanafurahia matunda kuna gharama iliyowahi kulipwa huko nyuma.

Viongozi wetu wa sasa katika serikali hii, nawashukuru sana maana kwa upofu walionao, ndio utakuwa mwanzo wa Tanzania, au Tanganyika mpya kwa yale waliopalilia na sasa yamekomaa. Mimi naona hayo yote yanayotokea katika nchi yetu, zikiwemo nyalaka za wakatoliki au waislamu, au na mambo mengine mengi tu ambayo yametokea katika nchi yetu na tutashuudia mengi yakitokea ni harakati za ukombozi. Ila naomba niweke angalizo kwa wanaotetea dini zao, Mungu hana dini, watu wote wana thamani mbele zake, tena kifo cha mwenye dhambi Mungu hafurahii kabisa, lakini kama mtapenda kuendeleza mijadala ya dini, na nyie pie mjue mnafanya gharama ya kupata uhuru kuzidi kuwa kubwa kwa yale yatakayo tokea hapo mbele. Siwalaumu lakini, ingawa mnachochea mafuta na kuongeza ukali na ugumu wa njia tutakayoipitia na mwisho wa yote, watanzania walio wengi watashinda vita hii.
 
Kila watu watoe waraka wao,mabaa medi,vyangudoa,mashangingi ya mjini,wasanii wa bongo flavour,watangazaji wa vipindi vya taarab,mateja,wapiga debe,n.k
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom