Waraka wa wanyakyusa (2010)

OK. Unadumisa mila ile watu nyingine kwisasindwa kutunsa? Fisuli rafiki. Fema kusema ayo, ila saingine sungumsia fafanusi ili na mamayoyoo pate kuyua wewe nasema nini. Hapana mbaya kusungumusia makonde na ile mingine jaluo na kichaga ya Marangu na Machame na Rombo ile kabila luga mingi mabali hapana elewana lakini yote Masawe na Swai. Kama wewe cheka hadololo kwisaongesa maisa dakilka bili.

Leka
 
Watanzania tumshukuru mungu kwa kutupatia Mwalimu Julius Nyerere aliyelazimisha KISWAHILI kitumike kama lugha ya taifa maana kama kila kabila lingewasilisha mambo kwa lugha yake nadhani ingekuwa hatari tupu.
 
wakuu nimekutana na draft hii ya waraka wa wanyakyusa kuelekea uchaguzi mkuu 2010, naomba fatsiri pls.


Mghonile bhandu bha kyala,
Ndagha fijoo nu ubhutolwe ubhwa kisu iki ikya Tanzania,

--kyala ikubhabhona bho mkwenda kitali, mwebhakisu.
--muli pasi kimaisha bho ulwa ndima sya paafula
--Imijhanga ukufuma kukisu kya india, ghili pamwanya fijho bho imikatapela
mwebhene kisu amatanga ghakubhoneka.
--Muli bhiii kumaso, mkufwana muli bhana bhamfuu.

nifisuri tumalisie kwa kiswahili.

--Nyumba sote sa Asajile mwaijumba (msajiri wa majumba) sote wanaishi
wajhanga toka india.
--Tunabaki tunakunywa kyai kya lukama kya moto nkikombe kya kyuma

kwa sababu ya KYAMA KYA MAPINDUSI (sisiem)

FIKI? MUKWA KUTWAGHA 2010.

KYALA NUNU , KYALA LUGHANO!! NDAGHA KYALA! AMENI.

- Great Thinker, agha mahala gha mwaro mwaro fijo, Bwa! ha! ha!

Respect.

- Naona ni mambo ya weekend haya!

FMEs!
 
Mbombo ngafu,sye ikisu kyonangike,
kwa kyela kununu,umwelu kungisi + unguliga gweni=Banyakyusa,pope linga kufuma kwa kyela au kutukuju au kwi Ileje twesa tulibanyakyusa
 
Dogo ulipotea sana ...ama ni mambo ya multiple IDs...karibu!



schedule ilikuwa tight mkuu si unajua 2010 inakaribia,sasa lazima tupite pite tukague wapi tukasimame tusiwaachie kina William na Mwakalinga
sasa nimerudi kaka
 
mbombo ngafu,sye ikisu kyonangike,
kwa kyela kununu,umwelu kungisi + unguliga gweni=banyakyusa,pope linga kufuma kwa kyela au kutukuju au kwi ileje twesa tulibanyakyusa

ba kwileje bakajabanyakyusa bandali!!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom