carmel
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 2,836
- 262
ila kama hawa waislam walikuwa wanaupinga waraka katoliki wao wanasababu gani kutoa nao waraka, kazi sana
SIMPLY BECAUSE...............If you cant beat them, join them!!!!!!!
ila kama hawa waislam walikuwa wanaupinga waraka katoliki wao wanasababu gani kutoa nao waraka, kazi sana
Eti kuwa Kanisa lisidharau yanayosemwa (yanayoshauriwa) na watu juu ya waraka huo. Ndugu yangu hizo ndio comments unazoziita kuwa ni tamko la serikali? Nionavyo mimi ni kuwa amekubaliana na waraka na anataka kanisa lisipuuze maoni ya watu, Hilo ni karipio kama la Marmo?
Eti kuwa Kanisa lisidharau yanayosemwa (yanayoshauriwa) na watu juu ya waraka huo. Ndugu yangu hizo ndio comments unazoziita kuwa ni tamko la serikali? Nionavyo mimi ni kuwa amekubaliana na waraka na anataka kanisa lisipuuze maoni ya watu, Hilo ni karipio kama la Marmo?
Sitta vipi na huu umeshausoma! vipi unawaambiaje wabunge waislamu unaunga mkono MWONGOZO? kama ulivyounga mkono WARAKA?
kiongozi unatakiwa uwe na subira na usiwe na jazba kuoongoza si mchezo bwana uongozi ni Dhamana Nasikia Na Budhits Nao Jumatatu Wanazinduwa Wao Itakuwa Kama Wanamuziki Na Wacheza Cinema Kila kukicha Wana Launch Kama Tuko Hollywood
serikali inakimbia kinvuli chake,kweli uchaguzi ujao utakuwa wa ukweli zaidi. kila mtu atoe mwingozo lengo ni moja kupata watu waadilifu katika uongozi wa nchi, na mabudha na wahindu nao tusijeshangaa wametoa wa kwao.!
Mambo ya dini kuchanganywa na mambo ya kiserikali sio mambo ya mzaha. President should act NOW! Ni kichekesho kuona rais katika yale mazishi ya Askofu Mayalla anapewa lecture na Cardinal Pengo.
Tumefika vipi hapa?!!!!!!!
[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif][SIZE=+1]Of all the tyrannies that afflict mankind, tyranny in religion is the worst. Every other species of tyranny is limited to the world we live in, but this attempts a stride beyond the grave and seeks to pursue us into eternity.[/SIZE][/FONT]
[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif][SIZE=+1] [SIZE=-1] -- Thomas Paine, as quoted by Joseph Lewis in Inspiration and Wisdom from the Writings of Thomas Paine[/SIZE][/SIZE][/FONT]
Mambo ya dini kuchanganywa na mambo ya kiserikali sio mambo ya mzaha. President should act NOW! Ni kichekesho kuona rais katika yale mazishi ya Askofu Mayalla anapewa lecture na Cardinal Pengo.
Tumefika vipi hapa?!!!!!!!
[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif][SIZE=+1]Of all the tyrannies that afflict mankind, tyranny in religion is the worst. Every other species of tyranny is limited to the world we live in, but this attempts a stride beyond the grave and seeks to pursue us into eternity.[/SIZE][/FONT]
[SIZE=+1][FONT=Arial, Helvetica, sans-serif][SIZE=-1]-- Thomas Paine, as quoted by Joseph Lewis in Inspiration and Wisdom from the Writings of Thomas Paine[/SIZE][/FONT][/SIZE]
Watanzania kwa kupenda siasa na kuongea maneno mengi vitendo sifuri ndio wenyewe.
Kwanini hawa watu wa dini hawatoi waraka juu ya kilimo bora na namna ya kumsaidia mwumini aweze kujitegemea? Kwanini hawatoi waraka juu ya elimu bora kwa vijana wetu na namna ya kuzisadia shule za vijana wetu ziweze kuwa nzuri?
Wache wote watoe lakini ni kama tunapoteza muda kujadiliana mambo ambayo yanaeleweka na kilichobaki ni sisi kwenye majumba yetu na kwenye jamii yetu kuyatekeleza.
Hivi kuna mtu ambaye hajui madhara ya ufisadi mpaka ahitaji waraka kuyaelewa? Kwanini basi hatufanyi kitu pamoja na kujua ubaya wake?
Mtu mwenye njaa atachukua pesa kutoka kwa fisadi hata akijua kufanya hivyo ni vibaya.
Juhudi ifanyike kuwafanya watu waweze kujitegemea; hilo ndilo muhimu kuliko mengine yote. Kuna mwana JF aliandika hapa kwamba mwenye njaa hawezi kuwa na mawazo huru. Mimi nakubaliana naye.
Tukiondoa umaskini uliokithiri na tukiwasaidia vijana wetu kupata elimu bora, hao mafisadi hawatakuwa na muda mwingi wa kutunyanyasa.
Jamani kuna mtu ana copy tuanze kuusoma kabla wachambuaji hawajatufanya tuwe biased.
Sijui kimesemwa nini hapo. Sasa ukichanganya na mavurundo ya wasemaji wetu kinachotoka hapo ni sumu ya panya. Philip Marmo walivyomripoti huwezi jua reaction yake juu ya Waraka wa Wakatoliki ni nini.He said they had decided to launch it after the Government failed to take action following the release of the Catholic Church's pastoral letter on civic rights.
-------------------
However, the clergyman explained that their preparations started long before the Catholics issued their pastoral letter and was, therefore, not necessarily a reaction to it.
Sioni Waziri aliposema - kama gazeti lilivyomsemea bila nukuu- kwamba Waraka wa Katoliki umesabisha malumbano, ni mbaya. Sijui kasema au hakusema. Msimamo wa serikali unabaki uko hewani hewani, baadhi yetu wananchi hatuelewi kinachoendelea, kila tafsiri na uhoro tunaosoma magazetini cha mbele, Kikwete nchi inamuelemea, solutions zake za kwenye vikao vya chama zina backfire, vipeperushi vimesambaa mpaka UN, watoto wanakufa mabwenini kwa mishumaa, wasafiri wanauawa na majambazi, na madereva wanaolisha rushwa mapolisi, mishahara ya Wakubwa inaongezwa, maskini wanazidi kuwa kapuku, vurugu tupu. Hiyo 2015 ije haraka aende zake Mkuranga au akapewe season tickets na Hashimu kabla hajatuletea machafuko na mtandao wake.He cited the Catholic Church document, which he said had sparked heated exchanges among politicians, professionals and even ordinary citizens.
-----------------------------
"We believe that groups, which have been preparing directives as we approach the elections do so with good intentions of offering civic education. We don't expect them to dwell on politics and direct people on who to vote for, as this would be contrary to the Constitution,"
kesho watakuja walutheri, kisha wasababato, kisha waanglican na walokole n.k
lazima nchi ichukue hatua kinyume chake itakuwa balaa
Muslims cautioned over document on elections
By Paul Dotto, Dar and Patty Magubira, Mwanza
- Minister says guidelines to be released on Friday should not cause disharmony
The Government yesterday cautioned Muslim leaders against issuing a document similar to the controversial Catholic booklet containing guidelines for voters on how to choose leaders in next year's General Election.
The State Minister in the Prime Minister's Office (Policy, Co-ordination and parliamentary Affairs), Mr Philip Marmo, advised the religious leaders to avoid anything that could create disharmony in the country. He cited the Catholic Church document, which he said had sparked heated exchanges among politicians, professionals and even ordinary citizens.
But speaking in Mwanza during a requiem Mass for Bishop Anthony Mayalla, which was also attended by President Jakaya Kikwete (see separate story Page 3), top Catholic Church leader Polycarp Cardinal Pengo told the Government not to meddle in religious affairs by censoring evangelical circulars.
Wakuu,
Ni wazi kabisa nchi hii inaelekea pabaya, kadiri muda wa uchaguzi unavyozidi kusogea ndio maji yatakavyozidi kuchemka patakuwa hapatoshi/hapakaliki hapa!.
Counter Strategy ya serikali iliyopo madarakani ni ipi?, kuna uwezekano mkubwa sana kwa serikali ama baadhi ya mafisadi walojivisha ngozi ya kondoo kutumia mwanya huu wa mkanganyiko wa kidini kujinufaisha kisiasa katika uchaguzi ujao naomba tuweni macho!
Tuombe sana,
Amani.
Nadhani kitu muhimu siyo kuzindua waraka. Ilitakiwa tu tuone ama kuunga mkono waraka wa Wakatoliki, kuuboresha ama kuupuuza. Lakini sasa ninachoona ni kama mashindano. Kitu ambacho ni 'offpoint'.
Jana nilipita Kariakoo na pale wanaposubiria magari ya kwenda Mbagala kama kawaida jioni huwa kuna mjadala dhidi ya Ukristo au Kanisa Katoliki. Niliukuta na kwa kawaida unapata washabiki wengi hasa wenye vibandiko. Kitu nilichosikia ni pamoja na kwamba Ukristo unapendelewa hapa Tz kuliko Uislamu: Balazi wa Vatican, tax free, upendeleo wa ajira etc.
Watoa mada wakawa wanasema kwenye Uislamu wanafundishwa "Kama mtu hakunyanyasi na wewe usimnyanyase. Lakini akikunyanyasa na wewe inabidi umnyanyase kwa njia yoyote ile hata kama ni ya kumwaga damu. Na haya ni mafundisho ya Qur'an siyo jambo la hiari ya mtu."
Niliposikia hivyo, nikasema naogopa sana msimamo wa namna hiyo na dini kama hiyo naiogopa kama ukoma. Wakasema habari ndiyo hiyo! Halafu alipita mwumini mmoja amevaa kanzu nyeupe na amefuga ndevu ndefu sana na akasema: "hayo mnayoonge subirini Ijumaa. Kuna waraka mchungu sana unakuja!" Na mwingine akadokeza: "Sisi tunahamasishana kutomchagua kafir yeyote..." Niliona kama huo mjadala haunifai, nikajiondokea zangu!