Waraka wa Waislam Kuelekea Uchaguzi

Huwezi kukubaliana na mimim kwa vile kama alivyosema Ibrahim Hussein wewe unapanda ngazi mimi ninashuka ngazi.
Unajuwa hiyo awamu yako ya kwanza ndiyo iliyoleta udini kwa kuleta upendeleo kwa dini moja, kwa kuvunja misingi ya dini nyengina (kwa kuondowa mahakama ya Kadhi) na kudidimiza mikoa iliyokuwa na Wafuasi wa dini fulani( Pwani, Kigoma. Mtwara, Lindi na mengineyo).

Isitoshe Katibu na taratibu zote za kuendesha Serikali zikawekwa kidini fulani (mapunziko Sunday, Friday ni siku ya kazi muhimu) na mambo chungu nzima.
Unachosema kuwa udini unaoletwa kwa awamu zinazoongozwa na watu wa dini nyengine si chengine bali ni harakati za kudai haki tuliyokuwa tukihubiriwa na Ki8ongozi wa awamu ya kwanza aliyekuwa mdini mkubwa wa vitendo huku akilainisha kwa maneno.
Waislamu na Wakirsto ni Watanzania na wote wana haki ya kuabudu kwa mujibu wa Katiba, sasa kwa mmoja iwe wa dini ya pili ndio ampangie kiasi cha kufanya ibada huoni kuwa huwa ni mushkeli. Elewa dini haifanywi nusunusu au kwa matakwa ya binaadamyu bali tunafuata tuliowekewa na imani zetu, sasa iwapo dini mo0ja haina uhuru wa kuabudu kwa mujibu wa imani yao na badala yake waabudu kwa Katiba iliyowekwa kwa shindikizo la dini nyengine, ujue upo mushkeli.
Mwisho babaangu, kama unavyowaona Walimu wanavyoichachafya Serikali kwa kudai haki yao hali hiyo haitakuwa tofauti kwa Waislamu katika kudai haki zao

Mi nakushangaa sana! Kwanza kabisa unaposema waislamu Tanzania hawana uhuru wa kuabudu una maana gani? Maana hii si kweli na hakuna haja ya kubishana kwa hili.

Pili unaposema, mahakama ya kadhi kuondolewa ndio kuleta udini mimi sikuelewi kwa sababu moja ambayo ni kama ifuatavyo: Je unajua kuwa wakatoliki na wao wana "canon law". Canon law ni sheria za kanisa katoliki. Na kanisa katoliki lina mahakama zake ambazo zinatoa hukumu kama vile ilivyo mahakama ya kadhi. Alichofanya serikali ya awamu ya kwanza ni kuiondoa kwa sababu Wakatoliki na wao wangetaka mahakama zao zifanye kazi. Wasabato, Waanglikani, Walutheri, wapagani hata wao wangedai zao. Sasa ili kuwa na mfumo wa haki ulio sawa kwa raia wote, ndio tulisema kuwa tufuate sheria za nchi. Ila kama mahakama hizo zitatumika zitumike tu kwa waumini wake na si kama sehemu ya mfumo wa serikali. Kwa kifupi ndio hivyo. Ukitaka nikupe darasa vizuri, nipo tayari kufanya hivyo. Muda ninao.

Halafu suala la Ijumaa na Jumapili, tulilikuta. Halikuwa la Nyerere wala la Waislamu, wala la Wakristu. Sasa mkisema Nyerere katika hili ni kama tu mnamwonea maana system karibu ya nchi zote za Afrika hiko hivyo ukitoa tu zile za kaskazini mwa Afrika. Fanya utafiti ili ulifahamu hili.

Suala la Waislamu kuonewa, mimi nalipinga mpaka kesho. Rais ni mwislamu, makamu wake ni mwislamu, rais wa zanzibar ni mwislamu, hata katibu wa chama tawala ni mwislamu, mabalozi wetu wengi nje ya nchi ni waislamu, sasa uonezi wa wakristu unatoka wapi? nauliza. Hivi mwislamu anaweza kumwonea mwislamu mwenzake? sasa rais ni mwislamu anaweza vipi kuwaonea waislamu? Nadhani rais amejitahidi kubalance tumwache afanye kazi yake.

Ukitoa mahakama ya kadhi (ambayo vile vile wakristu wana mahakama zao ila hawasemi tu) kuna uonezi gani? Mimi hoja ninazo ukitaka nikupe za kiutaalamu zinakuja.
 
Naam nashukuru kwa kunielewesha lakini tunachokizungumza hapa si Mwarabu au Mjerumani, tunazungumza harakati za maendeleo ya nchi chini ya nchi iliyo huru. Hivyo kwa kuwa sehemu fulani walikuwa nyuma kimaendeleo na serikali ikakaa kimya bila kuchukua jitihada ya kuondosha tofauti ndio unaona kuwa ni utawala bora wa kujisifia?
Hivyo utawalaumu vipi Shura ya Maimamu iwapo mawanzo yako ndio msingi wa utawala bora unaouona kuwa unafaa? Sasa nini utasifia kusema KUWA KIONGOZI WA NCHI SI MDINI WAKATI ANAKUWA NA MAWANZO KAMA YAKO KWA KUSEMA " tO HELL WITH THOSE WHO THOUGHT MOSQUES ARE MORE IMPORTANT THAN SCHOOLS"?
Ivyo kwanini Serikali inajitahidi kuelimisha wananchi wake kujitafutia elimu iwapo tunajuwa kuwa historia inatosha kuwa kigezo cha utawala bora? Inasikitisha kuhalalisha kuwekwa nyuma tabaka fulani kwa sababu ya historia iliyokuwa na upendeleo, na kusikia kauli kama yako ikihalalisha jambo hilo katika nchi kama ya Tanzania ni kichekesho kikubwa,kwani si tunalaumu udini?
Kuhusu suala la kuweka sawa matumizi ya rasimali ya Taifa kuwa ndio sababu ya kuondowa mahakama ya kadhi naona huko serious. Hivyo toka lini tukaweka usawa katika matumizi kama hayo? Unajifanya huelewi kiasi gani misamaha ya kodi inavyofaidiwa na watu wa dini moja kulinganisha na dini nyengine? Unasahau misaada na ruzuku zinazovunwa na dini moja kulingana na dini nyengine katika mambo ya Taasis za elimu?
Hapana ukweli ni mchungu lakini tofauti ya manufaa yanayovunwa na dini moja kuliko nyengine ni wazi na ni haki ya wengine kudai kuwa nao wanufaike katika nchi yao sawa na wengine na dini isiwe kigezo.
Mi nadhani anzisheni shule za elimu dunia na muache kulalamika. Kulalamika hakutawasaidia lolote. Sasa ni wakati muafaka wa kuanzisha shule za maana. Ila mkiingiza udini katika elimu dunia hakutawasaidia.
 
Mi nadhani anzisheni shule za elimu dunia na muache kulalamika. Kulalamika hakutawasaidia lolote. Sasa ni wakati muafaka wa kuanzisha shule za maana. Ila mkiingiza udini katika elimu dunia hakutawasaidia.

Hilo nichukulie kuwa ni ungamo kuwa niliyokueleza yamekutuwa?
Sasa nafikiri una haki ya kupewa kinachokustahiki! Hebu nieleze unafikiri tatizo la Waislamu wa Tanzania ni elimu dunia? Hebu nieleze hiyo elimu unayojivunia nayo umekusaidia nini au umetusaidia nini Watanzania? Kila siku zikicha ni nyie mnaoongoza kwa kujidai kuwa mna elimu mnainakamisha nchi kwa kuigawa vipande vipande kwa wageni.
Ukweli utabakia hata kama huupendi lakini elewa kuwa binaadamu haonewi maisha hutokea siku akageuza kibao,
 
Hilo nichukulie kuwa ni ungamo kuwa niliyokueleza yamekutuwa?
Sasa nafikiri una haki ya kupewa kinachokustahiki! Hebu nieleze unafikiri tatizo la Waislamu wa Tanzania ni elimu dunia? Hebu nieleze hiyo elimu unayojivunia nayo umekusaidia nini au umetusaidia nini Watanzania? Kila siku zikicha ni nyie mnaoongoza kwa kujidai kuwa mna elimu mnainakamisha nchi kwa kuigawa vipande vipande kwa wageni.
Ukweli utabakia hata kama huupendi lakini elewa kuwa binaadamu haonewi maisha hutokea siku akageuza kibao,
Mimi nimetoa ushauri tu kama pelekeni watoto shuleni. Kumbukeni kuwa kutokuwa na elimu dunia kwa waislamu wengi si tatizo la wakatoliki au wakristu. Ni tatizo lenu waislamu wenyewe. Sasa hilo ungamo unalolisema lipo wapi? Kama mnabisha acheni kupeleka watoto shule na mtaona matokeo yake.
 
Mimi nimetoa ushauri tu kama pelekeni watoto shuleni. Kumbukeni kuwa kutokuwa na elimu dunia kwa waislamu wengi si tatizo la wakatoliki au wakristu. Ni tatizo lenu waislamu wenyewe. Sasa hilo ungamo unalolisema lipo wapi? Kama mnabisha acheni kupeleka watoto shule na mtaona matokeo yake.
Acha stereotape wewe, wewe unaweza kuwafundisha waislamu umuhimu wa elimu..hapa tunaongelea "Politically Planned injustice towards one group of jamii for years" ambayo ndiyo imeleta imbalances unayoona sasa!
Huo Mwongozo ndio unataka hayo hayaangaliwe ili taifa listawi...wewe unaongelea blah blah oh waislamu hawajasoma..nimeshasikia sana hiyo ngojera kwa watu wasio na hoja...mwongozo unasema hatua kwa hatua (systemtic) politcal plan in favour of catholics (by st nyerere) ....acha porojo ndugu...mwongozo ni kwa faida ya jamii yenye kupenda haki..."Kama wewe unapenda kuona jamii fulani inapendelewa throughout basi ni mgonjwa..na hupendi amani.
 
Acha stereotape wewe, wewe unaweza kuwafundisha waislamu umuhimu wa elimu..hapa tunaongelea "Politically Planned injustice towards one group of jamii for years" ambayo ndiyo imeleta imbalances unayoona sasa!
Huo Mwongozo ndio unataka hayo hayaangaliwe ili taifa listawi...wewe unaongelea blah blah oh waislamu hawajasoma..nimeshasikia sana hiyo ngojera kwa watu wasio na hoja...mwongozo unasema hatua kwa hatua (systemtic) politcal plan in favour of catholics (by st nyerere) ....acha porojo ndugu...mwongozo ni kwa faida ya jamii yenye kupenda haki..."Kama wewe unapenda kuona jamii fulani inapendelewa throughout basi ni mgonjwa..na hupendi amani.

Hizi "stereotape" (sic) ndizo zilifanya ukaanza kuwashambulia wachagga jana? Yaani kumbe si tu kuwa una chuki dhidi ya wachagga na pia dhidi ya wakatoliki?

aghrrrr
 
Hiyo Mikoa uliyoitaja kimsingi Waislamu ndiyo walikuwa na wapo wengi hadi hivi leo. Na huko ndiko waarabu walianza na kuingia. Na kwa vile MADRASA NDIYO ILIKUWA MBELE kuliko "ILIMU" DUNIA, hali ndiyo imewafikisha hapo. Na kuondoa mahakama ya kadhi haiukuwa udini bali ilikuwa ni kuweka mzani sawa kwamba kusiwe na dini ambayo mahakama yake inatambuliwa na serikali na hii ni kwa msingi kuwa serikali haina dini. JAribu kuskani Tanzania nzima huku ukiangalia sehemu ambazo wamisionari walianza kuingi, wao walihakikisha kuwa kila walipo pana vitu vitatu muhimu kwa binadamu SHULE, HOSPITALI NA KANISA. THIS COMBINATION, YOU WILL NEVER FIND IT ANYWHERE MWARABU ALIPOANZA KUINGIA. (eti shule hospitali na msikiti.. NOOOOOOOOOOOO). Wao ilikuwa MSIKITI NA MADRASA NA BAO. Ndiyo maana ilikuwa ngumu sana kukuta bao linachezwa MOSHI, MBEYA, IRINGA, RUVUMA etc. Unless Muislamu ahamie huko. Nenda Zenji, Tanga, Pwani.........etc ni barrraaaaaaa
Acha uongo wee. Turejee baada ya uhuru. mikoa ilikuwa na maendeleo zaidi ilikuwa ni Dar ( kwa maana ya Dar na Pwani) , Moro, Tanga, Tabora,,ikifuatiwa na Bukoba na kilimanjaro.

Sasa vipi mikoa hiyo ididimie kiuchumi mara baada ya uhuru?

hapo ndipo utamjua Nyerere alikuwa anamwakilisha nani hapa nchini.
 
Hiyo Mikoa uliyoitaja kimsingi Waislamu ndiyo walikuwa na wapo wengi hadi hivi leo. Na huko ndiko waarabu walianza na kuingia. Na kwa vile MADRASA NDIYO ILIKUWA MBELE kuliko "ILIMU" DUNIA, hali ndiyo imewafikisha hapo. Na kuondoa mahakama ya kadhi haiukuwa udini bali ilikuwa ni kuweka mzani sawa kwamba kusiwe na dini ambayo mahakama yake inatambuliwa na serikali na hii ni kwa msingi kuwa serikali haina dini. JAribu kuskani Tanzania nzima huku ukiangalia sehemu ambazo wamisionari walianza kuingi, wao walihakikisha kuwa kila walipo pana vitu vitatu muhimu kwa binadamu SHULE, HOSPITALI NA KANISA. THIS COMBINATION, YOU WILL NEVER FIND IT ANYWHERE MWARABU ALIPOANZA KUINGIA. (eti shule hospitali na msikiti.. NOOOOOOOOOOOO). Wao ilikuwa MSIKITI NA MADRASA NA BAO. Ndiyo maana ilikuwa ngumu sana kukuta bao linachezwa MOSHI, MBEYA, IRINGA, RUVUMA etc. Unless Muislamu ahamie huko. Nenda Zenji, Tanga, Pwani.........etc ni barrraaaaaaa
Acha uongo wee. Turejee baada ya uhuru. mikoa ilikuwa na maendeleo zaidi ilikuwa ni Dar ( kwa maana ya Dar na Pwani) , Moro, Tanga, Tabora,,ikifuatiwa na Bukoba na kilimanjaro.

Sasa vipi mikoa hiyo ididimie kiuchumi mara baada ya uhuru?

hapo ndipo utamjua Nyerere alikuwa anamwakilisha nani hapa nchini.
 
Acha stereotape wewe, wewe unaweza kuwafundisha waislamu umuhimu wa elimu..hapa tunaongelea "Politically Planned injustice towards one group of jamii for years" ambayo ndiyo imeleta imbalances unayoona sasa!
Huo Mwongozo ndio unataka hayo hayaangaliwe ili taifa listawi...wewe unaongelea blah blah oh waislamu hawajasoma..nimeshasikia sana hiyo ngojera kwa watu wasio na hoja...mwongozo unasema hatua kwa hatua (systemtic) politcal plan in favour of catholics (by st nyerere) ....acha porojo ndugu...mwongozo ni kwa faida ya jamii yenye kupenda haki..."Kama wewe unapenda kuona jamii fulani inapendelewa throughout basi ni mgonjwa..na hupendi amani.

Asante mheshimiwa kwa matusi yako. Nimekusamehe kwa kuwa hujui usemalo. Kwanza kabisa nikusahihishe, sio "stereotape", nadhani ni "stereotype". Halafu sio "systemtic", nadhani ni "systematic". Halafu sio "politcal" nadhani ni "political". lol! Lugha za watu kama zinakushinda, tuwasiliane tu kwa kiswahili ambayo ni lugha yetu. Tutaelewana vizuri tu.

Mimi sina lengo la kuwafundisha waislamu umuhimu wa elimu. Naamini kabisa kuwa waislamu wana busara kama watu wengine. Nadhani kwa hili namalizia hapa, sitaki kubishana kwa maana huna hoja zaidi ya kuleta ubishi usio na "point"! Samahani kwa kutumia lugha yangu, maana lugha yangu ya kwanza ni Kiingereza, ingawa Kiswahili ni lugha yangu vile vile.

Haki hailetwi kwa matusi. Wakatoliki wala Wakristu wa Tanzania hawahusiki kabisa na (sijui nisemeje...), nadhani hawahusiki na shutuma zinazosemwa na waislamu kuhusu wengi wao kutokwenda shule. Elimu Tanzania ilikuwa ya UPE, na wote tuliambiwa tukasome. Mbona kina Salim Ahmed Salim na wenzie wamesoma?

Acha kashfa zisizo na msingi au mpango. Lete hoja za maana tujadili.
 
Acha uongo wee. Turejee baada ya uhuru. mikoa ilikuwa na maendeleo zaidi ilikuwa ni Dar ( kwa maana ya Dar na Pwani) , Moro, Tanga, Tabora,,ikifuatiwa na Bukoba na kilimanjaro.

Sasa vipi mikoa hiyo ididimie kiuchumi mara baada ya uhuru?

hapo ndipo utamjua Nyerere alikuwa anamwakilisha nani hapa nchini.
Suala si kufika level fulani, ukishafika unaweza ukabaki hapo...???? Kushindwa kubaki katika nafasi ya juu uliyoifikia siyo sababu ya kuwalaumu wanaokuzunguka.
 
Acha uongo wee. Turejee baada ya uhuru. mikoa ilikuwa na maendeleo zaidi ilikuwa ni Dar ( kwa maana ya Dar na Pwani) , Moro, Tanga, Tabora,,ikifuatiwa na Bukoba na kilimanjaro.

Sasa vipi mikoa hiyo ididimie kiuchumi mara baada ya uhuru?

hapo ndipo utamjua Nyerere alikuwa anamwakilisha nani hapa nchini.
Nadhani baada ya uhuru mikoa mingi ilikuwa nyuma sana. Nyuuuuma saaaaaaaaaaaana! Ilibidi kubalance maendeleo ndicho kilichofanyika. Na katika kubalance maendeleo, wengine wanapata na wengine wanakosa kwa faida ya taifa zima. Hili ndilo lillilofanyika wakati ule, hivyo suala la udini hapa halina uzito wowote: Mbona wasukuma wa shinyanga ambako madini ya dhahabu na almasi ndio yanakotoka bado ni mojawapo ya mikoa maskini kabisa Tanzania? Mbona wasukuma wengi ni Wakristu. Uchumi mkubwa wa Tanzania unatoka Shinyanga na Mwanza kwenye Dhahabu, ALMASI, samaki, mifugo na mazao ya biashara na kilimo cha kawaida. Sasa hapa udini uko wapi? Hata maji ya bomba wamepata juzijuzi tu. Je hili ulikuwa ukilifahamu?
 
Nadhani baada ya uhuru mikoa mingi ilikuwa nyuma sana. Nyuuuuma saaaaaaaaaaaana! Ilibidi kubalance maendeleo ndicho kilichofanyika. Na katika kubalance maendeleo, wengine wanapata na wengine wanakosa kwa faida ya taifa zima. Hili ndilo lillilofanyika wakati ule, hivyo suala la udini hapa halina uzito wowote: Mbona wasukuma wa shinyanga ambako madini ya dhahabu na almasi ndio yanakotoka bado ni mojawapo ya mikoa maskini kabisa Tanzania? Mbona wasukuma wengi ni Wakristu. Uchumi mkubwa wa Tanzania unatoka Shinyanga na Mwanza kwenye Dhahabu, ALMASI, samaki, mifugo na mazao ya biashara na kilimo cha kawaida. Sasa hapa udini uko wapi? Hata maji ya bomba wamepata juzijuzi tu. Je hili ulikuwa ukilifahamu?
Muzeya........ Hawa ndugu kila kitu wanakitazama kidini....... kwao anayeonewa hapa TZ ni Muislamu tu........
 
Muzeya........ Hawa ndugu kila kitu wanakitazama kidini....... kwao anayeonewa hapa TZ ni Muislamu tu........
Ndio maana tunasema elimu dunia itawasaidia kuchanganua mambo katika upeo usio wa kidini bila kupoteza imani na mapenzi ya dini yao. Hakuna mtu anayepinga uislamu. Mimi siupingi hata kidogo. Ila watu wajifunze kutofautisha dini na elimu dunia.
 
Kibogoyo said:
Ndio maana tunasema elimu dunia itawasaidia kuchanganua mambo katika upeo usio wa kidini bila kupoteza imani na mapenzi ya dini yao. Hakuna mtu anayepinga uislamu. Mimi siupingi hata kidogo. Ila watu wajifunze kutofautisha dini na elimu dunia.

Kibogoyo,

..wengi unaojadiliana nao hapa jamii forums wana elimu dunia nzuri tu.

..kama wameshindwa kutofautisha masuala ya kidini na kisiasa basi ujue kuna tatizo lingine lakini siyo kukosa elimu dunia.



..
 
hizi ndio fitna za kidini.

Inashangaza serikali inawezaje kuruhusu waraka hatari kama huu kusambazwa wazi kabisa bila kificho. Hivi hii nchi ina viongozi kweli?

hii ndio demokrasia; ulipotoka wa mara ya kwanza haukuonekana ni wa kidini, ila wengine wakitoa nyaraka zao ni za uchochezi/hatari.

Tuvumiliane tu, naamini tutafika huko tunakopelekwa

sasa hii shura mbona ipowazi kuwa wao wanaitetea cuf? Hawa ndio mnaoifanya cuf kuwa chama cha waislamu na ndo tatizo kubwa lililopo sasa,cuf imefulia kwa kukosa mwelekeo,mnapiga domo tuu wenzenu znz wanaumizwa,kisa mumekaa kidini dini,naapa cuf haitakaa ije kushika dola kwa kosa hili!!

sasa huo ni mtazamo wako; mbona hakuna hata sehemu imetajwa cuf??? Tatizo la watu wengi wanaamini waislamu hawawezi kusimama kama jamii ktk kujisemea mambo yao wanayohisi yanawakwaza kama jamii huru ya watanzania; nilazima utasikia wanatumiwa cuf, magaidi, maadui kutoka nje n.k.

Tutambue ni jamii huru, yenye fikra na mawazo huru na pia wapo huru kwa kila jambo bila kuvunja katiba na sheria za nchi.

Naamini huu waraka haujavunja sheria yoyote ya nchi hii ndio maana mpaka sasa upo mitaani unasambazwa kama kawaida (bila shaka na humu tunao na mmeweza kuusoma na kuuelewa(???)
 
Mods thread hii na zingine zinazofanana na hii za kugawanya watanzania ili watawaliwe vibaya hazikupaswa kuonekana kwenye jukwaa hili. Baada ya kupata mawazo mazuri ya kuwaunganisha watanzania kutoka katika hotuba za mwalimu hasa akikemea upuuzi na ujinga wa kufikiri mambo ya maslahi ya nchi kidinidini, ilipaswa msitishe thread hii, yaani ifungwe. Haina maslahi kwa nchi yetu. Hivi, thread ilipaswa kukoma tarehe 14.10.2009
 
Mods thread hii na zingine zinazofanana na hii za kugawanya watanzania ili watawaliwe vibaya hazikupaswa kuonekana kwenye jukwaa hili. Baada ya kupata mawazo mazuri ya kuwaunganisha watanzania kutoka katika hotuba za mwalimu hasa akikemea upuuzi na ujinga wa kufikiri mambo ya maslahi ya nchi kidinidini, ilipaswa msitishe thread hii, yaani ifungwe. Haina maslahi kwa nchi yetu. Hivi, thread ilipaswa kukoma tarehe 14.10.2009
Usipompa mtu uhuru wa kusema anachofikiri, basi he/she will put it in PRACTICE without saying a single word, na hiyo ndiyo mbaya kuliko.
 
Usipompa mtu uhuru wa kusema anachofikiri, basi he/she will put it in PRACTICE without saying a single word, na hiyo ndiyo mbaya kuliko.

Na kitu kikisemwa sana hata kama ni cha kijinga kinaweza kugeuka kuwa kama vile ni kweli. Kugawanya watanzania hakuna maslahi kwa nchi yetu.

Wahusika nawaombeni mpeleke hii thread kapuni ifungiwe. Mwisho wake ulikuwa tarehe 14.10.2009. Mods ujumbe umefika? naomba nijue kama unafanyiwa kazi
 
Back
Top Bottom