KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
Waraka umetolewa kisiasa zaidi!
Acheni ushabiki wa kitoto tambwe pamoja na mapungufu yake mengi tu kwa hili namuunga mkono,ameongea mambo ya msingi sana ambayo yanahitaji tafakuri pana sana kabla ya kuleta ushabiki,kwanini chadema walikiuka amri ya jeshi la polisi wakati mara zote jeshi hilo hilo walipokwenda kuliomba ruhusu limekua likiwapa?