Kama kaupata Slaa umekuwaje waraka wa siri?
Kwani chama kuwa na mawasiliano na wanachama au viongozi wao kuwa chama chao kinapigania katiba mpya iwe na hiki au kile ni siri?
Kweli huyu dokta hana mshiko.
mzee kweli ni mnafiki , chekeleeni2 kauli zake na uzushi wake ipo cku nchi hii itakuwa damu.
Dr.Slaa Akiwa kwenye ziara ya Kujenga Chama shy amesema Kamati kuu ya ccm,imetuma waraka maalum kwa wakuu wa wilaya na mikoa yote nchini kuhusu katiba mpya wakielekeza juu ya yale mahitaji,na mambo mbalimbali ambayo wanahitaji kwenye katiba yao,waraka huo unaonyesha mahitaji mbalimabali ya ccm na lazima yasimamiwe kama ilivyoonyeshwa !!!!!!!!
Dr.SLaa Amesema kuwa waraka huo unamaslahi binafsi na unaweza kuhatarisha hali ya amani na utulivu hapa nchini.
Wana Jf Je ! Tunatengeneza katiba yenye maslahi ya ccm ama ya watanzania wote !!!!!!!!!!!!
Sorce:ITV HABARI SAA MBILI USIKU
nenda kwenye ofisi za chadema mkuu.
usimwage mchele kwenye kuku wengi.Mkuu OKW BOBAN SUNZU, Mimi nipo Makao ya CHADEMA. Taarifa zote za vikao vya ndani ya CCM kuanzia vikao vya Sekretarieti, CC, NEC hadi Mkutano Mkuu huwa tunaletewa na baadhi yao wenye nia njema na Taifa letu. Na kuna kipindi walikuwa wanatuletea hadi Muhtasari wa Kikao, ajenda na copy of signed list of attendance. Yani ukiwa CHADEMA Makao Makuu ni kama upo Makao Makuu ya CCM. Siri zao zote tunazipata.
Dr.Slaa Akiwa kwenye ziara ya Kujenga Chama shy amesema Kamati kuu ya ccm,imetuma waraka maalum kwa wakuu wa wilaya na mikoa yote nchini kuhusu katiba mpya wakielekeza juu ya yale mahitaji,na mambo mbalimbali ambayo wanahitaji kwenye katiba yao,waraka huo unaonyesha mahitaji mbalimabali ya ccm na lazima yasimamiwe kama ilivyoonyeshwa !!!!!!!!
Dr.SLaa Amesema kuwa waraka huo unamaslahi binafsi na unaweza kuhatarisha hali ya amani na utulivu hapa nchini.
Wana Jf Je ! Tunatengeneza katiba yenye maslahi ya ccm ama ya watanzania wote !!!!!!!!!!!!
Sorce:ITV HABARI SAA MBILI USIKU
mzee kweli ni mnafiki , chekeleeni2 kauli zake na uzushi wake ipo cku nchi hii itakuwa damu.
Yani sasa hivi kila kinachofanywa na CCM iwe mchana au usiku lazima taarifa lazima ifike hapa Kinondoni Mtaa wa Ufipa! Na wanaoleta habari ni wao wenyewe!
Mbona tunaminyana bure wakuu JF ni jukwaa huru uwekeni basi humu tuone huo waraka wa siri.
Wakuu wa Mikoa na Wilaya wanafanya kazi za CCM na si za Serikali!mbona hata chadema imetoa waraka kwa wabunge wote kutoa elimu ya mambo yanayotakiwa kuwepo mfano mwezi february mbunge viti maalum chadema mkoa wa singida dada yake tundu lisu aliendesha kikao cha semina hotel ya aqua kuanzia saa 3 asubuhi na kuwapa wajumbe 5000 ya nauli kila mjumbe! dr slaa ccm wanahaki yakuwa na mkakati kama ninyi chadema mnavyo fanya!
Nina ushahidi wa kutosha kuhusu wabunge wa 1977(CCM) wanataka kuhamia CDM na madiwani kibao kila siku wananipigia huku majuu nitawatajieni wote.
CCM pwaa 2015!!CDM with M4C in total power!
huyu Dr slaa kwa kuspine mambo hajambo, siasa lazima uwe spinner? utaratibu wa kutafuta katiba mpya uko wazi, kamati ina watu ambao wanajulikana uwezo wao na kutoshawishika kutumika.
sasa hayo mengine yatawezwaje kufanywa?
muhimu wananchi wende wakatoe mawazo yao kwa uwazi na ukweli na kamati itasikiliza na kuyafile kwa hatua ya mbele.
tuache kuwatisha wananchi