nkawa
Senior Member
- May 11, 2009
- 181
- 10
"Ametoa kwenye gazeti na kasema pia wiki ijao atatoa waraka kwa Seki. Kama kweli ana nia nzuri si ange watafuta privately awape ujumbe?"
Lakini ujumbe si umefika? kama wao wanavyotumia TBC1 kuwarushia watu makombora basi kwa style hiyo nao watajibiwa....
Maneno ya Busara Eric..Big up!!!!
Lakini ujumbe si umefika? kama wao wanavyotumia TBC1 kuwarushia watu makombora basi kwa style hiyo nao watajibiwa....
Maneno ya Busara Eric..Big up!!!!