DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,651
- 2,627
dadadadadeki nilikua maeneo hayo nafikiri nilipishana na kamanda anyway CCM ARUSHA WASAHAU KAMA KUNA HILI JIMBO TANZANIA
lema hayupo arusha...ila wanaosambaza wanafanya fresh
dadadadadeki nilikua maeneo hayo nafikiri nilipishana na kamanda anyway CCM ARUSHA WASAHAU KAMA KUNA HILI JIMBO TANZANIA
namba za lema 0764150747
Mkuu hata mimi nilishangaa sana kumuona Lema pale wakati najua yupo Mtwara..lakini yawezekana alitumia usafiri wa ndege..hata hivo hakukaa sana alionekana kua na haraka sana.
mkuu mimi mwenyewe nilimshuudia na nilishangaa sana uwepo wake pale wakati nafaham yupo kusini lakini yawezekana ali2mia usafiri wa ndege..!
godwinko, wewe ni mtu hatari kuliko hata shetwani mwenyewe, kama ningekuwa mod ungepigwa ban ya maisha. Sijui lengo lako lakini hutafanikwa, acha ujinga.Nadhan hiyo post kuhus lema kuhutubia mkutano huko kusini(ndanda masasi) ndio inawachanganya..kwenye hyo post ukisoma vizur imeandikwa kua alihutubia jana..najui nivigumu kuamini lakini nilimshuudia na wala sio habari ya kuadisiwa.
Mkuu inawezekana ukawa na nianjema lakini usipotoshe umma Lema uko kusini kwenye M4C hayuko Arusha na kwenye zile CD lema kama lema hauzi bali kuna watu wali record na wana uza kweli pale stand ndogo ya hiace na soko kuu huuzwa sana...kuhusiana na waraka wa Lema kusambazwa nani watu wameamua kuwasambazia wakazi wa arusha baada ya kuguswa na ujumbe uliotolewa na Lema...
Mkuu nilishangaa sana baada ya kuona thread hii wakati nilikuwa na uhakika lema yuko Kusini na baada ya huyu jaama kuni hakikishia Lema yuko Arusha nilimpigia simu akaniambia yuko Kusini sasa ni kabaki najiuliza lengo la mleta mada ni nini......godwinko, wewe ni mtu hatari kuliko hata shetwani mwenyewe, kama ningekuwa mod ungepigwa ban ya maisha. Sijui lengo lako lakini hutafanikwa, acha ujinga.
Mkuu nilishangaa sana baada ya kuona thread hii wakati nilikuwa na uhakika lema yuko Kusini na baada ya huyu jaama kuni hakikishia Lema yuko Arusha nilimpigia simu akaniambia yuko Kusini sasa ni kabaki najiuliza lengo la mleta mada ni nini......
ccm arusha ilizikwa makaburi ya ngarasero.jeneza lilojaa bendera za ccm lilikokotwa na punda kihongwe!