Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
- Thread starter
- #41
Watu wa arusha mmeunasa lakini?
Watu wa arusha mmeunasa lakini?
View attachment 50402
My Take: Natumaini katika mtanange huu wa demokrasia ni fikra tu ndio zinazogombaniwa; nani na chama gani kinawakilisha fikra mpya hilo ndilo swali litakalojibiwa Jumapili.
Mzee Mwkjj, I believe talking or discussing issues and doing or implementing them are two different things. Barua imesema vizuri lakini nafikiri inaweza kuwa tofauti sana na ama matokeo ya uchaguzi yenyewe ama atakayofanya mwandishi iwapo atashinda. All are illusions; and illusions are sweet to hear in our ears at particular occassions.
Watu wa arusha mmeunasa lakini?
Unajua hakuna kitu chenye nguvu sana kama maneno? don't underestimate the power of words... waliosema 'the pen is mightier than the sword' hawakuwa wanatia chumvi.