Waraka wa I.G.P kwa Askari wote Tz

ni vizuri tungewekewa huo waraka tungechangia vzr!! mtoa mada jitahidi kuupata ili u defend thread yako hatupingi ila ushahidi muhimu ukweli wa kosa haupatikani kwa mkosaji hivyo police ukiwauliza huwezi pata ukweli kamili coz wamefundishwa usiri na wamehapa kutotota siri kwa mtu asiyehusika.
 
Muulize IGP ile barua aliyoanidikiwa na askari wa morogoro ikwawekwa humu jf kuhusu askari wanaoshiriki ujambazi ameifanyioa kazi?
 
Nimesoma mawazo ya wachangia mada lkn mm nauliza; kua hata inapotokea kua na general order, hivi hili hupunguza utashi wa akili yako???
1. Linawashusha morali kwasababu mwisho wa siku c aliyetoa order bali aliyetekeleza hilo kwa vitendo.
2. Kuna layer nyembamba sana inayotenganisha akili na upumbavu ktk ubongo wa binadamu. Unapofikia hatua ya kumuua binadamu mwenzio tena asiye na hatia kwa kutii g/order ww hufai kbs kuwa askari.
3. Jingine ni ufinyu wa fikra za mapolis, hivi huyu alitekeleza mauaji haya anaamini kbs kua marehemu hana ndg askari?? Je watoto wa marehemu hawata apa kulipiza? Km ndivyo jamaa na rafiki zake pia? Km hana je walioumia kwa alilolotenda hawatakuwepo! Huku uraiani wapo wanaweza tumia bunduki zaidi zao, ila wao hawajui. Anapovua hizo jezi zake haoni kn analingana kbs na walio ktk jamii???
Hata mm nalazimika kuamini kbs kua waraka huo wa kuwatia moyo hao vijana wao ni kuwaambia Ueni Zaidi.
Mm naamini kua kila kitu kinamwisho, ni vyema kuanza fikiria kua ipo
Siku atasimama yeye km yeye na atalipa kwa alilolofanya.
 
Eeh ..Jf members don"t forget we need Police ... ! They should be there if you LIKE or NOT

Labda kuongoza magari barabarani,
Maana Hata ukiwaita Kwenye tukio la ujambazi hawaji ng'o, Mpaka wana nchi wauwe jambazi basi wao watakuja kubeba mwili wa huo jambazi baada ya masaa Sita.
 
Kwa South Africa au kinyumbani ni iNingizimu Afrika, maana ya jina lako(username) ni unspeakable joy...furaha ipitilizayo, au happiness.....Anyway umesema ukweli kuhusu polisi.
 
Tatizo na police wetu shule zao ndogo, they lack reasoning capacity. I am sure hakuna kipengele kinacho mlazimisha police kuua kwa maslahi ya wanasiasa..!
 
Kuna umuhimu geshi ra porishi likajisafisha kwa kiasi kikubwa kwa wananchi ili lirudishe imani kama enzi za Nyerere.
Mahita kwa kiasi kikubwa amelichafua jeshi hili. Ili kukabiliana na changamoto hizi za ukosefu wa imani kwa wananchi, hawana budi kushughulika na uozo wao wenyewe ndani. Waondoe majambazi yaliyomo ndani kwanza kabla ya kuja kwa wananchi la sivyo wananchi hawataliamini kamwe.
Leo hii majambazi yanakamatwa baada ya siku kadhaa yapo mtaani yakiendelea na ubazazi. Kuna imani kweli hapo?
Hata wananchi kujitokeza kuwafichua majambazi mitaani inakua haiwezekani.
 
kamuhada ni poyoyo wa sheria na utumishi ! hatari sana kwa maendeleo ya taifa hili !

Lakini chanzo cha yote ni huyu mwema , Hajawahi kuwa makini tangu baada ya mkasa wa vifo vya Mahabusu mkoani Mbeya
 
Jana I.G.P S.Mwema alisambaza waraka kwa ma-RPC wote Tz nzima kuwataka waitishe "MABARAZA YA ASKARI" ktk mikoa yote,lengo likiwa ni kutathimini mwenendo wa Jesh la polisi dhidi ya raia. Katika Mabaraza hayo Askari walipewa nafasi kujadili,kutoa mawazo na kupendekeza nini kifanyike baada ya Jesh kupoteza imani kwa raia na jamii. Katika waraka huo wa siri I.G.P aliwataka makamanda wawatie moyo vijana wasikate tamaa,kwan kwa tukio la Iringa imeonekana askari wote wamerudi nyuma na kupunguza hari ya kazi,hii imefanya viongozi wa juu kupata hofu ya utayali wa askari ktk kulitumikia jeshi... Katika maoni,askar wengi wamependkeza RPC Iringa aunganishwe ktk kesi,kwani kumwacha Cleophas Simon peke yake n uonevu,pia wameomba serikali iwakemee viongozi wa CCM wanaoshndkza polisi kuwatandka vyama vya upinzani..ktk kikao cha mkoa wa Iringa askari wengi wameonekana kukata tamaa na kutaka kuacha kazi...hali ya askari wa chini wanaotumika ktk Operation za riots imeshuka sana kwa kutishika na tukio la Iringa. Vijana wengi wameonekana kuchukizwa na hali ya kulazimishwa kutumia nguvu kwa maslahi ya kisiasa,kwa kugundua hilo makamanda wamewatia moyo vijana wengi kuwa wasikate tamaa,kwani swala la Iringa n sehemu ya ajali za kazini ambazo wao kama askari wanatakiwa wakabiliane nazo! Kiukweli vijana wengi wamekata tamaa baada ya kuona panapotokea tatizo ni askari wa vyeo vya chini ndo wanatolewa kafara bila kufuata uwajibikaji wa pamoja na Seniority ya jeshi la polisi ambapo mdogo hafanyi kitu bila mkubwa kutoa amri.

Jeshi la polisi limepoteza heshima, kinachotakiwa hivi sasa ni kulivunja. Tuwe na makamanda wa polisi ambao wanawajibika kwa mikoa waliyopo, i.e. huwezi kuwa na uwajibikaji kutoka Dar wakati huyo kiongozi aliyepo Dar hajui mazingara ya mkoa husika. Haya mambo ya kulimbikiza madaraka yote Dar ndiyo yanatumaliza na yamepitwa na wakati, Jeshi la polisi livunjwe kama vile ilivyotokea mwaka 1963/4. Uwajibikaji uwe mikoani.
 
Awaulize Polisi au awaulize ma RPC? hapa nilipo mimi nipo na Polisi ni rafiki yangu na na yeye ni Polisi wa Mahakamani na huwa havai uniform, ni kwamba jana Polisi wote walipewa amri ya kuvaa uniform kwa ajili ya kukabili maandamano ya waislamu lakini rafiki yangu alivyofika pale Central Polisi alisingizia amefiwa na akaruhusiwa kwenda kuzika lakini ilikuwa ni fix yeye hayko tayari kutumika kwenye ujinga.

Back to topic ni vizuri kama una hizo Information ungetuwekea huo waraka hapa lakini usiseme waulize Polisi, maana hao Polisi baadhi yao ambao ni wema tuko nao na kama kuna hilo wanalifahamu mimi ningekuwa nimelijuwa. Ila sijakupinga.

Mkuu mwambie huyo askari amshauri bosi wake kuwa kama wanataka nchi hii ichukuliwe na waingereza kwa mara ya pili basi waanze kukimbizana na hao waislamu. Siku zote waislam wanaaka wapigwe ili wpate pa kusemea na kuanzisha fujo kubwa kwa kufadhiliwea na waarabu wenye hela za mafuta ambazo hazina kazi. bora waendelee kuwapiga CHADEMA ila hao waislam mziki wake wala hausubiri kikao cha kamati kuu.
Trelaa lao kwa sasa wnataka kumuchinja shehe mkuu wao. kazi hii ya waislam ni pana mno
 
Mi nilidhani huo waraka ni wa IGP kuachia ngazi kumbe bado anaendelea na jukumu lake la kuwachinja raia alioapa kuwalinda?

Nchi hii kweli ni ya kusadikika na kushangaa shangaa
 
Mkuu mwambie huyo askari amshauri bosi wake kuwa kama wanataka nchi hii ichukuliwe na waingereza kwa mara ya pili basi waanze kukimbizana na hao waislamu. Siku zote waislam wanaaka wapigwe ili wpate pa kusemea na kuanzisha fujo kubwa kwa kufadhiliwea na waarabu wenye hela za mafuta ambazo hazina kazi. bora waendelee kuwapiga CHADEMA ila hao waislam mziki wake wala hausubiri kikao cha kamati kuu.
Trelaa lao kwa sasa wnataka kumuchinja shehe mkuu wao. kazi hii ya waislam ni pana mno

mkuu hapo kwenye red umefanya nimecheka sana,kama hiyo ni Trelaa,je,picha kamili itakuwaje??Hatari
 
kamuhanda si wakushitakiwa hata kidogo anastahili kunyongwa hadharani au kukatwa shingo kwa kisu butu ili asikie maumivu
 
Awaulize Polisi au awaulize ma RPC? hapa nilipo mimi nipo na Polisi ni rafiki yangu na na yeye ni Polisi wa Mahakamani na huwa havai uniform, ni kwamba jana Polisi wote walipewa amri ya kuvaa uniform kwa ajili ya kukabili maandamano ya waislamu lakini rafiki yangu alivyofika pale Central Polisi alisingizia amefiwa na akaruhusiwa kwenda kuzika lakini ilikuwa ni fix yeye hayko tayari kutumika kwenye ujinga.

Back to topic ni vizuri kama una hizo Information ungetuwekea huo waraka hapa lakini usiseme waulize Polisi, maana hao Polisi baadhi yao ambao ni wema tuko nao na kama kuna hilo wanalifahamu mimi ningekuwa nimelijuwa. Ila sijakupinga.
huyo polisi uliyekuwa naye ni kamanda.?
 
jana i.g.p s.mwema alisambaza waraka kwa ma-rpc wote tz nzima kuwataka waitishe "mabaraza ya askari" ktk mikoa yote,lengo likiwa ni kutathimini mwenendo wa jesh la polisi dhidi ya raia. Katika mabaraza hayo askari walipewa nafasi kujadili,kutoa mawazo na kupendekeza nini kifanyike baada ya jesh kupoteza imani kwa raia na jamii. Katika waraka huo wa siri i.g.p aliwataka makamanda wawatie moyo vijana wasikate tamaa,kwan kwa tukio la iringa imeonekana askari wote wamerudi nyuma na kupunguza hari ya kazi,hii imefanya viongozi wa juu kupata hofu ya utayali wa askari ktk kulitumikia jeshi... Katika maoni,askar wengi wamependkeza rpc iringa aunganishwe ktk kesi,kwani kumwacha cleophas simon peke yake n uonevu,pia wameomba serikali iwakemee viongozi wa ccm wanaoshndkza polisi kuwatandka vyama vya upinzani..ktk kikao cha mkoa wa iringa askari wengi wameonekana kukata tamaa na kutaka kuacha kazi...hali ya askari wa chini wanaotumika ktk operation za riots imeshuka sana kwa kutishika na tukio la iringa. Vijana wengi wameonekana kuchukizwa na hali ya kulazimishwa kutumia nguvu kwa maslahi ya kisiasa,kwa kugundua hilo makamanda wamewatia moyo vijana wengi kuwa wasikate tamaa,kwani swala la iringa n sehemu ya ajali za kazini ambazo wao kama askari wanatakiwa wakabiliane nazo! Kiukweli vijana wengi wamekata tamaa baada ya kuona panapotokea tatizo ni askari wa vyeo vya chini ndo wanatolewa kafara bila kufuata uwajibikaji wa pamoja na seniority ya jeshi la polisi ambapo mdogo hafanyi kitu bila mkubwa kutoa amri.


stori ya kutunga utaiona tu inawekewa mbwembweee nyingii kwa maslahii fulani... Jana walaka utoke jana vikao vifanyika jana kila kitu kifanyike ??????????????????.. Kajipange upya
 
Back
Top Bottom