Waraka maalum kwenda kwa waziri wa mambo ya ndani kuelezea ukabila uliokithiri idara ya uhamiaji

Hili si jambo la kupuuzwa. Kuna kitu muhimu cha kufuatiliwa. haiwezekani kabila moja liwe na watu 70 katika Idara moja-tena makao makuu pekee.
sasa kama waliacha mabo ya kuchunga ng'ombe na kwenda shule ulitegemea nini!...hata kama ni probabilit random selection lazima wachaga wazidi angalia kama itaitwa kazi kuapply wachaga wangapi watajitokeza kwenye kazi za maana angalia ukitafuta walinzi na bar med wangapi wa kabila lako ulinganishe na wachaga tehe
 
kwani kusoma wamesoma wachaga tu?
siku hizi kila kabila wanasoma, hebu ufanywe utafiti, kuna maafisa wengi tuu. wana masters degree,
lakini kwa sababu hawana magodfathers wameishia kusaga kaptula katika vituo visivyoeleweka huko maporini,
na miaka inaenda wanazeekea huko mashenzini,
sasa tunataka ufanyike uchunguzi na watu wote waliokaa ktk kituo kimoja kwa muda mrefu basi nao wahamishwe,
ili nao matunda ya uhuru wayafaidi na sio kuendesha idara kiukoo tu,
 
Huu ni uzushi tu...hi mijamaa ya kichaga bwana inasoma we nenda vyuoni tu humo alafu angalia wachaga jinsi walivyowengi wanapiga shule balaa tofauti na makabila mengine nenda mashuleni humo na vyuoni tafuta mluguru,mdigo,mnyamwezi,mzaramo,------ na mengineyo kama utapata hata kumi ila wachaga tu ni wengi..pia kwenye kutafuta jamaa wanajua bwana we nenda kijiji huko mkoa mwingine kabisa kama hutakuta mangi anauza duka au anachoma mbuzi....tuache ulalamishi sa nyingine tupige kazi bwana na tuhamasishe na sisi ndugu zetu wasome waje wapambane..

mkuu kusoma siku hizi kila kabila linasoma, waraka umeeleza vizuri sana, na hakuna tatizo juu ya kabila hilo, isipokuwa kwanini wao wajazane vituo vyenye neema na mijini kwa msaada wa wachaga wenzao waliopo makao makuu, kwani huko Lindi na Mtwara elimu ya wachaga haitakiwi? kwani huko Rukwa na Kusini Pemba wachaga hawapaswi kufanya kazi? wawepo idadi yeyote lakini upendeleo wa vituo vya kazi ndio tatizo, hebu ufanyike uchunguzi tuone Mtwara na Katavi kuna wachaga wangapi? kisha urudi hapa. tujadiliane
 
aliyeandika huu waraka ni shemeji yangu mmoja wa kanda ya ziwa, ninamfahamu vizuri, kwa bahati mbaya amefanya kazi uhamiaji muda mrefu hata kwao hajawahi kujenga hata nyumba ya kufikia, ndugu na wazazi wake wanateseka yeye anajenga chuki na wachaga!!!! tukimaliza kwa wachaga tutakuta si wachaga tu, kuna wahaya, wanyakyusa na wagogo, tukimaliza hawa tutaanza kuwajengea wabena kama ilivyokuwa tuhuma za Luhanjo, naona tumehama kwenye ukanda kuwa chadema ni chama cha kikanda tunaenda kwenye udini!!! Hamfany kazi ni majungu tu na kukaa vijiweni, tumewajua tutawashughulikia sawasawa, anayetaka kupata cheo ajitahidi awe na elimu na uzoefu mzuri uliotukuka na si kwa propaganda hizi za kipumbavu!!! lkn shemeji tumeshakujua na tutakushughulikia uende zako usukumani ukachunge ngo'ombe


lazima kieleweke tu,
mtake msitake lazima tuubomoe mtandao wenu huu,
mwende na nyie mkafanye kazi Namanyele shimoni,
shemeji yako kamtafute nyumbani umweleze hayo,
tunataka usawa katika idara ya uhamiaji,
mia
 
mkuu kusoma siku hizi kila kabila linasoma, waraka umeeleza vizuri sana, na hakuna tatizo juu ya kabila hilo, isipokuwa kwanini wao wajazane vituo vyenye neema na mijini kwa msaada wa wachaga wenzao waliopo makao makuu, kwani huko Lindi na Mtwara elimu ya wachaga haitakiwi? kwani huko Rukwa na Kusini Pemba wachaga hawapaswi kufanya kazi? wawepo idadi yeyote lakini upendeleo wa vituo vya kazi ndio tatizo, hebu ufanyike uchunguzi tuone Mtwara na Katavi kuna wachaga wangapi? kisha urudi hapa. tujadiliane

kwa hiyo wachaga waliokwishasoma na kuajiriwa wanatakiwa wafukuzwe ili waliokujasoma kwa kuchelewa waajiriwe na kuchukua nafasi zao!kama ulichelewa kusoma jilaumu wewe na serikali huku ukizidi kuimarisha mtaji wako wa kuuza machungwa stand
 
Vip na NSSF udini??? cjackia mtu akiweka post yake hapa!! au hamuuoni???
 
Uhamiaji ni aibu tupu-Waziri Nchimbi usiseme unahitaji mtu akuletee ushahidi mwingine-fanyia kazi malalamiko hayo!
 
efficiency..wachaga wanayo.. Ukiwa na marafiki wachaga ukabakia masikini wewe ni mjinga wa mwisho, wana idea sana. Nenda kwenye makampuni ya wahindi wanasajili wachagga,wanajua uwezo wao.
 
kwa hiyo wachaga waliokwishasoma na kuajiriwa wanatakiwa wafukuzwe ili waliokujasoma kwa kuchelewa waajiriwe na kuchukua nafasi zao!kama ulichelewa kusoma jilaumu wewe na serikali huku ukizidi kuimarisha mtaji wako wa kuuza machungwa stand
Kuna kitu watu wengi hawafahamu. Historia inaonyesha wamisionary wengi walianza kueneza dini mikoa ya kaskazini mwa Tanzania. Pamoja na kueneza dini pia walijenga shule na kutoa elimu kwa watu wa maeneo hayo. Ukifatilia vizuri utaona kila penye kanisa pembeni yake kuna shule. Wachaga walinufaika sana na hiyo elimu hata kabla ya kipindi cha nyerere. Kutokana na elimu yao waliweza kupata nafasi nzuri kwenye soko la ajira baada ya nchi kupata Uhuru. Wachagga wanafahamu umuhimu wa elimu tangu enzi na enzi ndio maana mzazi anadiriki kunywa uji wa chumvi ila mwanae aende shule nzuri. Tutabaki na maswali mengi kwa nini wachaga ni wengi kwenye idara nyeti lkn ukweli unabakia kuwa elimu.Tutarajie mfumo huu wa kuwa na wachaga wengi kwenye idara nyeti kuendelea kwa kipindi kirefu mbeleni hasa ukizingatia umri wa kustaafu ni miaka 60. Kwa maana nyingine kuondoa mfumo huu sio leo wala kesho wala miaka 20 ijayo. Chakufanya kwa sasa nikusomesha watoto wetu angalau waje kuwa washindani wazuri kwenye soko la ajira kwa vizazi vijavyo. Kizazi hiki kilichopo sasa hivi hakitaweza kubadili chochote.Tukubali kwamba wachaga ni wasomi, wataftaji, wavumilivu, wana malengo, wako very aggressive, hawarudi nyuma kwa chochote na hawachoki kujaribu...
 
aliyeandika huu waraka ni shemeji yangu mmoja wa kanda ya ziwa, ninamfahamu vizuri, kwa bahati mbaya amefanya kazi uhamiaji muda mrefu hata kwao hajawahi kujenga hata nyumba ya kufikia, ndugu na wazazi wake wanateseka yeye anajenga chuki na wachaga!!!! tukimaliza kwa wachaga tutakuta si wachaga tu, kuna wahaya, wanyakyusa na wagogo, tukimaliza hawa tutaanza kuwajengea wabena kama ilivyokuwa tuhuma za Luhanjo, naona tumehama kwenye ukanda kuwa chadema ni chama cha kikanda tunaenda kwenye udini!!! Hamfany kazi ni majungu tu na kukaa vijiweni, tumewajua tutawashughulikia sawasawa, anayetaka kupata cheo ajitahidi awe na elimu na uzoefu mzuri uliotukuka na si kwa propaganda hizi za kipumbavu!!! lkn shemeji tumeshakujua na tutakushughulikia uende zako usukumani ukachunge ngo'ombe

Orodha ya hayo majina ni uongo?!Hilo ndo jambo la msingi
 
Ndugu yangu hayo aliyoandika huyo jamaa ni majungu tu. Wachaga ni watu ambao wameenda shule na pia ni aggressive kuliko makabila mengine nchini ndo maana wamesambaa nchi nzima. Kama wameingia on merits tatizo ni nini? Tuache majungu tuchape kazi. Mimi naamini adui namba moja wa Watz ni CCM ambayo imenyonga uchumi wetu kutokana na ufisadi wao na wala si Wachaga
uchagga + unyakyusa + uhaya = hatari kwa taifa letu
majamaa hayo yote pamoja na kwamba yamepiga sana shule lakini yanapendleana sana na kulindana
MUNGU ibariki TANZANIA
 
Kwa hiyo unamaanisha asilimia sitini ya wasomi Tanzania ni kabila moja tu. Makabila yaliyobaki yanachechezea asilimia 40. Hata wakikuyu kenya hawajafika huko.

sikumaanisha hivyo mkuu, kwa kipindi cha karibuni wenzetu wako mbele kukazania elimu, eakati wengine tumekalia porojo
 
udini na ukabila ni kitu kimoja...
Dawa yenu ipo jikoni ...siku ikichemka ...mtajuta


1.peniel ombeni mgonja
2. Isaack bahati fota
3.e crymont nsowela
4.dawson emil mongi
5. Nandula patience kombe
6.anna kyara michael
7.hannelore m manyanga
8.rogate mingo daniel
9.joseph henry mtenga
10.lusarago d mreka
11.gloria w mbasha
12.peter william lemery
13.kale sylivia joseph utouh
14.violeth kiwelu eliabu
15.felis bilauri mshana
16.abdallah musa msangi
17.liberatus stanley njuu
18.mary stella majula
19.joseph francis kasike
20.sifael stephen tendwa
21.novatus aloyce mlay
22.beatrice anamensa kanza
23.adinani kidah musa
24.hendrick fraita mtui
25.zakayo leonard lema
26. Novaita edmund mrosso
27.moses ismail malisa
28.dotto roman selasin
29.christian bernard daat
30.liberia onesphony manyanga
31.christian francis mndeme
32.frida frant maeda
33.happiness william kambuga
34.triphonia joseph kinebo
35.laurentia isdom blasius
36.hilda dawson uiso
37.tunu mfinanga asili
38.marylen msangeni elisaria
39.francis noel katawa
40.irene abel mlack
41.prosper dions mushi
42. Fasiruni shabani msofe
43. B roman kereti
44. Arnold remy mrema
45. Damian roman chikwa
46. Magreth johnson ngomuo
47. Hyasinter ndewingla tarimo
48. Salome edgar bolly
49. Gelard honest kawishe
50. Glory ephraimu mbuya
51. Hilgat laurent shauri
52. Paul john mselle
53. Rose robert shayo
54. Patric boniface ngowi
55. Peter jerome kundy
56. Lucy anselm nyaki
57. Donald lyimo dustan
58. Siana manasseh kidin
59. Epiphania joseph lyimo
60. Juliana selestine mnerey
61. Lilian humphrey maleko
62. Raphael timothy maembe
63. Beatrice elineema lema
64. Lilian emmanuel lema
65. Irene fraterine lyamungu
66. Victor stanley ngowo
67. Jane temu
68. Emmanuel elihuruma mrema
69. David amani minja.
70. Ludovick kavishe.

hapo kwenye red kweli kuna tatizo!! Takukuru hebu chunguzeni.
 
Lakini hawa si ma-askari kwanini mlalamike kama raia???? Ebu siku moja chukueni hatua kama mmepitia mafunzo ya kuondoa uraia. Raia wasipolizishwa uwa wanaandamana au kuwafungia viongozi wao nyie mna ma SMG na AK47 si muwachukue mateka na kuwahoji wenyewe Nchimbi aje kwenye negotiation za kuwaachilia na hapo ndipo mnapoweka conditions zenu kama mnauwakika na madai yenu.
 
Usisahau pia kuangalia na matangazo ya waliofutwa kazi au wanao tafutwa katika magazeti.

efficiency..wachaga wanayo.. Ukiwa na marafiki wachaga ukabakia masikini wewe ni mjinga wa mwisho, wana idea sana. Nenda kwenye makampuni ya wahindi wanasajili wachagga,wanajua uwezo wao.
 
Back
Top Bottom