Waraka kwa bwana Malecela the Mutuz, na watoto wote wa wakubwa Tanzania

mengine yote ni safi sana Naunga mkono hoja

Lakini baba hapo kwenye red! Yaani hakuna statement mbovu na iliyoniudhi kama hiyo, na hasa inapotoka kwenye kinywa cha Willy.
Yaani anasikiliza kero?Kusikiliza! Kutoka kwa nani. Yaani hajui? Kutoka US siyo kuwa umetoka sayari nyingine kiasi cha kusahau ulikotoka. Au anataka kusema kuwa hajui mpaka aambiwe? Angekuwa anafanya utafiti namna bora ya kutatua matatizo ya wananchi ningemwona wa maana. Kusikiliza? I have a very low esteem on people with such statements.

Pili collezione usidanganyike na hawa watu wanaotoka ughaibuni, mara nyingi hakuna lolote kabisa. Ni sawa na mtu wa kijijini kama mimi na bibi yangu tunavyodanganywa na watu walioko mijini. Wanakuja na nguo nzuri, perfume na hata dawa ya meno inatuzengua, tunawachinjia kuku, mbuzi na tunaamini hawali vitu dhaifu kama vya kwetu kijijini. Fika uone anakoishi, utalia na kuona aibu. hali ni hiyo hiyo kwa wanaotoka ughaibuni. Nafuu sana wanaosoma, lakini kwa wengine! Mh! Fahamu kuwa hawa wenzetu ni wabaguzi na wanasystem imara ya kupeana kazi, mgeni anaishia kwenye kazi za kibarua kama kusafisha madanguro nk.

Ujenzi wa taifa au hata kusidia wananchi kila mmoja anaweza bora atimize wajibu wake.

kaka nakubaliana na wewe moja kwa moja.. kila mtu inabidi atimize wajibu wake kujenga nchi yetu.

ila hapa kuna kitu kimoja, TZ yetu hii ukianzisha biashara au mradi wowote ule. kama usipotimiza matakwa yao ya 10%. lazima wakubwa wenye uroho na pesa wakudhulumu au wahujumu mtaji wako wote.. Hapo wanasahau kuwa unatoa huduma kwa jamii, na vile vile unatengeneza ajira.

sasa sisi wananchi wa kawaida ni vigumu sana kupenyeza na kufikia malengo, kuliko hawa jamaa. Hata kama una malengo ya kusaidia jamii yako, serikali itakunyanyasa. mwishowe utakata tamaa.

My challenge kwa hawa watu, ni kwamba watumie kutambulika kama si kuogopwa kwao,. ili walete huduma kwa jamii. na sio kukimbilia posho za mjengoni.

asante
 
itakua vyema kama tungepata wasifu wa kijana wa malechela tangu azaliwe mpaka hapo alipo, utendaji wake na hisia zake dhidi ya wa tz.

waweza kuwa mtoto wa kigogo but ukawa msaada kwa wa tz kwa namna nyingi, ingekuwa vyema kama kijana wa malechela angetumia muda wake kujipanga kutumi rasilimali alizo nazo na za wazazi wake kuwekeza kwao na ifikapo 2015 akapitia kwenye mchakatoi sahihi akagombea.

kaka kusaidia watu sio lazima uwe mwanasiasa au mbunge. Je' unanishauri na mimi niwe mbunge? maana nina nia kweli ya kuwakomboa waTz.
 
Uyoo jamaa Hana jipyaa babaake alishindwa
kuwasaidia watz ye ataweza achanganye
makongoro yake ****...........

Mkuu sio lazima baba au mzazi akishindwa basi na mtoto atashindwa. However; kinachonipa shida kuelewa ni hiki; utawezaje kutatua matatizo ya mahali ambapo hujaishi au tuseme familiarize na mahali pale?). Kama alivyosema Mkandara, kufanya kazi ndani ya System kunahitaji kujua pia how the system works.Mtu anaweza kuwa na good intentions lakini system ikamkwamisha. Ninavyofahamu kwa TZ, system imeshawabadilisha au wakwamisha wengi; sasa mtu utaingiaje kwa mkondo uleule ufikiri outcome itakuwa different? Sifahamu sana vyama vya upinzani wanafanyaje lakini; kupata ubunge kwa CCM lazima uonge something ndio uweze hata kufikiriwa kuwa short listed, sasa utaingiaje mahali kwa njia chafu then outcome/performance iwe different? Wale waliokubeba mpaka ukaweza kupita watahitaji "favor" na wewe utakuwa mtumwa wao kwa namna fulani. Lingine ni hili; kwa mtizamo wangu kama mtu anataka kutatua matatizo mahali lazima aelewe watu wapale wanapenda nini, wanakerwa na nini na jinsi gani unaweza ku-capture hisia zao ukawashirikisha (kuwa pamoja) kwenye kuleta maendeleo yao. Sidhani kama Mtanzania wa miaka ya 90 au 80 ndio huyo huyo wa miaka ya 2000 regardless yuko mjini au kijijini. Na sidhani kama mtu anaweza kuishi mahali kwa miezi kadhaa tu akasema ameshapaelewa vizuri. Mambo yanabadilika sana; sasa je kama hujaishi huko utafahamuje hizo changes? Kwakweli mimi hili ndio hasa linanitatiza!
 
Mkuu sio lazima baba au mzazi akishindwa basi na mtoto atashindwa. However; kinachonipa shida kuelewa ni hiki; utawezaje kutatua matatizo ya mahali ambapo hujaishi au tuseme familiarize na mahali pale?). Kama alivyosema Mkandara, kufanya kazi ndani ya System kunahitaji kujua pia how the system works.Mtu anaweza kuwa na good intentions lakini system ikamkwamisha. Ninavyofahamu kwa TZ, system imeshawabadilisha au wakwamisha wengi; sasa mtu utaingiaje kwa mkondo uleule ufikiri outcome itakuwa different? Sifahamu sana vyama vya upinzani wanafanyaje lakini; kupata ubunge kwa CCM lazima uonge something ndio uweze hata kufikiriwa kuwa short listed, sasa utaingiaje mahali kwa njia chafu then outcome/performance iwe different? Wale waliokubeba mpaka ukaweza kupita watahitaji "favor" na wewe utakuwa mtumwa wao kwa namna fulani. Lingine ni hili; kwa mtizamo wangu kama mtu anataka kutatua matatizo mahali lazima aelewe watu wapale wanapenda nini, wanakerwa na nini na jinsi gani unaweza ku-capture hisia zao ukawashirikisha (kuwa pamoja) kwenye kuleta maendeleo yao. Sidhani kama Mtanzania wa miaka ya 90 au 80 ndio huyo huyo wa miaka ya 2000 regardless yuko mjini au kijijini. Na sidhani kama mtu anaweza kuishi mahali kwa miezi kadhaa tu akasema ameshapaelewa vizuri. Mambo yanabadilika sana; sasa je kama hujaishi huko utafahamuje hizo changes? Kwakweli mimi hili ndio hasa linanitatiza!

kaka nadhani bado hamjaelewa mada. Mada ni kwamba, kutatua matatizo ya jamiii siku hizi ni lazima mtu awe mbunge au mwanasiasa???
Maana watoto wa wabunge wanasema wanataka kutatua matatizo ya waTZ. na kufanya hivyo wanataka ubunge. swali, Je, kama kweli wana nia ya kuawasaidia waTZ ni lazima wawe wanasiasa?? au ndo ule msemo "POSHO TAMU"" haha
 
kaka nadhani bado hamjaelewa mada. Mada ni kwamba, kutatua matatizo ya jamiii siku hizi ni lazima mtu awe mbunge au mwanasiasa???
Maana watoto wa wabunge wanasema wanataka kutatua matatizo ya waTZ. na kufanya hivyo wanataka ubunge. swali, Je, kama kweli wana nia ya kuawasaidia waTZ ni lazima wawe wanasiasa?? au ndo ule msemo "POSHO TAMU"" haha
Na swali hilo limetokana na Willy sio watoto wote wa viongozi au sio. Kwanza tazama mfumo wa utawala wetu ukoje, na ni watoto wa viongozi wangapi waliopo bungeni au serikalini..JK hakuwa mtoto wa kiongozi wala huyo Pinda, Lowassa na wengineo. Watu wote maarufu leo hawana nasaba wala uzawa wa viongozi waliotangulia..List ni kubwa sana kupita hao watoto wa viongozi ambao kwa nafasi walizonazo wanaona wanaweza kuleta mabadiliko.

Mkuu wangu lazima tukubali kwamba Utamaduni wetu wenyewe unatuponza. hawa watoto wa viongozi wanapokuja gombea Ubunge kwa nini tunawachagua wao kama hatuwataki? Je, tumnyime nafasi hiyo mtoto wa kingozi kwa sababu tu baba yake alikuwa kiongozi..Hivi kweli tunaweza kumkatalia mtoto wa Dr bingwa kuajiriwa Muhimbili kwa sababu baba yake ni daktari au tunachotazama ni kashfa za ajira yenyewe.

Kila mmoja wetu anatafuta maisha na zipo ajira za kila aina ambazo mtu yeyote anaweza kuomba na Ubunge ni mojawapo. Unaruhusiwa kama anavyoruhusiwa Willy na watu wengine wote. Kati ya wabunge 300 sijui 400 hawa vijana hawafiki hata 20 imeshakuwa hoja nzito kwa watanzania ambao hata kugombea serikali za mitaa hawataki, kosa huyu Willy aliyejitolea mwenyewe kwa gharama zake kutafuta ajira.

Hakuna mtu kamshika shati mwenzake, nanyi jaribuni na Willy akiwa kizuizi au baba yake hapo ndipo tunaweza kuzungumzia. Majimbo yako wazi kwa mtu yeyote kugombea na nina hakika yeyote anayempinga Willy anaweza kumshinda maana anamjua vizuri na itakuwa vema sana kugombea against him coming uchaguzi maana nondo zote mnazo...
 
Let's say Bwana Malecela nimesikia kuwa wewe ni mtaalamu wa computer. Kwanini usitumie talent ako kubadili maisha ya waTz. Kina Jobs na bwana Bill gates walianzaje? Wale jamaa wangekuwa wanasiasa leo tusingekuwa na apple wala microsoft.
computer geek kaaanza lini?? yule ni baharia na sijui Dodoma kuna bahari...
 
Mkuu wangu lazima tukubali kwamba Utamaduni wetu wenyewe unatuponza. hawa watoto wa viongozi wanapokuja gombea Ubunge kwa nini tunawachagua wao kama hatuwataki? Je, tumnyime nafasi hiyo mtoto wa kingozi kwa sababu tu baba yake alikuwa kiongozi..Hivi kweli tunaweza kumkatalia mtoto wa Dr bingwa kuajiriwa Muhimbili kwa sababu baba yake ni daktari au tunachotazama ni kashfa za ajira yenyewe.

Kila mmoja wetu anatafuta maisha na zipo ajira za kila aina ambazo mtu yeyote anaweza kuomba na Ubunge ni mojawapo. Unaruhusiwa kama anavyoruhusiwa Willy na watu wengine wote. Kati ya wabunge 300 sijui 400 hawa vijana hawafiki hata 20 imeshakuwa hoja nzito kwa watanzania ambao hata kugombea serikali za mitaa hawataki, kosa huyu Willy aliyejitolea mwenyewe kwa gharama zake kutafuta ajira.

Hakuna mtu kamshika shati mwenzake, nanyi jaribuni na Willy akiwa kizuizi au baba yake hapo ndipo tunaweza kuzungumzia. Majimbo yako wazi kwa mtu yeyote kugombea na nina hakika yeyote anayempinga Willy anaweza kumshinda maana anamjua vizuri na itakuwa vema sana kugombea against him coming uchaguzi maana nondo zote mnazo...

Asante sana ndugu yangu. Umeongea nilichokua nakitaka. Na nakushukuru kuwasilisha vyema yaliyo moyoni kwa bwana Willy Malecela. Akiwa-mmoja wa watoto wa vigogo.

Umeongea sahihi, kwamba NIA KUBWA NI KUGOMBANIA UBUNGE. narudia tena, kuwa NIA YAO NI UBUNGE. Ukaenda mbali zaidi na kutushauri, sisi pia tujaribu huo ubunge kama tutamshinda bwana Malecela. Haha, Ingawaje unajua wazi sisi walala hoi hatuna ubavu wa kushindana na watoto wa wakubwa.

Nakushukuru ndugu yangu. Ila naomba uwaambie hao watoto wa vigogo wajaribu kuweka nia zao wazi, na sio kuzunguka zunguka. Nia zao ni kuitwa muheshimiwa MBUNGE. mimi nafikiri wakiwa wanatoka ughaibuni wawe wanatamka hili kwanza. na sio kuwadanganya waTZ wanaleta ukombozi.

Hizi ni zama za ukweli na uwazi, tusipende kuficha ficha mambo. Na Watanzania wa siku hizi ni wasomi, akili zimefunguka. hawatakaa kimya kuhoji huo ukombozi upatikanao na ubunge pekee. sasa ina maana wakiukosa huo ubunge na ukombozi utakuwa umekwisha??? Haha, Siku nyingine waweke nia zao mbele kutoka moyoni na sio kuzunguka zunguka.

Kina Mwinyi, Malima, wako bungeni. na hao walikuja na hizi hizi maneno ya ukombozi. But at the end tumeshajua nini walichokuwa wanakitafuta. ni kuitwa "MUHESHIMIWA MBUNGE"

Ukombozi haupatikani kwa ubunge. waseme wazi wanataka kuwa waheshimiwa wabunge. Asante
 
Asante sana ndugu yangu. Umeongea nilichokua nakitaka. Na nakushukuru kuwasilisha vyema yaliyo moyoni kwa bwana Willy Malecela. Akiwa-mmoja wa watoto wa vigogo.

Umeongea sahihi, kwamba NIA KUBWA NI KUGOMBANIA UBUNGE. narudia tena, kuwa NIA YAO NI UBUNGE. Ukaenda mbali zaidi na kutushauri, sisi pia tujaribu huo ubunge kama tutamshinda bwana Malecela. Haha, Ingawaje unajua wazi sisi walala hoi hatuna ubavu wa kushindana na watoto wa wakubwa.

Nakushukuru ndugu yangu. Ila naomba uwaambie hao watoto wa vigogo wajaribu kuweka nia zao wazi, na sio kuzunguka zunguka. Nia zao ni kuitwa muheshimiwa MBUNGE. mimi nafikiri wakiwa wanatoka ughaibuni wawe wanatamka hili kwanza. na sio kuwadanganya waTZ wanaleta ukombozi.

Hizi ni zama za ukweli na uwazi, tusipende kuficha ficha mambo. Na Watanzania wa siku hizi ni wasomi, akili zimefunguka. hawatakaa kimya kuhoji huo ukombozi upatikanao na ubunge pekee. sasa ina maana wakiukosa huo ubunge na ukombozi utakuwa umekwisha??? Haha, Siku nyingine waweke nia zao mbele kutoka moyoni na sio kuzunguka zunguka.

Kina Mwinyi, Malima, wako bungeni. na hao walikuja na hizi hizi maneno ya ukombozi. But at the end tumeshajua nini walichokuwa wanakitafuta. ni kuitwa "MUHESHIMIWA MBUNGE"

Ukombozi haupatikani kwa ubunge. waseme wazi wanataka kuwa waheshimiwa wabunge. Asante
Hivi watu wa Lusinde au washabiki wake mnaogopa nini kama Willy atagombea Ubunge mnaanza vita mapema wakati nyie chama moja...Halafu sijasema kwamba Willy atagombea Ubunge ila sioni tatizo akigombea na navyo jua mimi mkikaa vibaya na kumchefua, kweli atagombea maana baharia haachi kutia nanga..

Mkuu msitie wasiwasi huyo Willy yupo mjengoni kama alivyokuja huko mwaka 2005 na akarudi USA na alipitia sehemu nyingi tu kama anavyofanya leo..Na hata kama atapewa nafasi ya ajira tumwombee kheri maana kila binadamu anatafuta riziki mahala popote alipoandikiwa na hakuna binadamu anayeweza kuzuia...
 
Mkuu wangu sijui mila na desturi za kwenu zinasema nini lakini kwetu hakuna hazina kubwa kwa mwanadamu kama kuwa msikivu.. Mtu unayependa kusikiliza WATU zaidi ya wewe kuongea kama mjuzi wa shida zao. Kwa mfano wapo viongozi kibao huja hapa JF kusikiliza kero zetu, kina Marehemu Regia alifikia hadi kukusanya kero zetu na zoezi hilo linaendelea, hawa sii wajinga bali wanatumia busara kubwa sana kusikiliza kero za wananchi kupitia mtandao,Kuwa kiongozi nchini haina maana unayajua yanayo wakera wananchi... Acha wananchi hata mkeo/bwana nyumbani kwako huwezi kujua kero zake ikiwa hutachukua muda na kumsikiliza, kumuuliza na na kwa ujumla wake Kuongea kwa pamoja.. Willy ni kijana alopata bahati ya kujuana na watu na pia mtoto wa Malecela hakutaka yeye iwe hivyo lakini ndivyo Mwenyezi Mungu mjuzi wa yote alivyopanga na leo hii kaweza kumfikisha kule ulikoshindwa wewe unayeishi miaka yote hapo Bongo kisha mnaanza mizengwe. Kama unachukia sana basi angalau fanya wewe basi kile unachokiona ni bora zaidi kuliko kumpiga vita mtu kwa sababu tu katoka Ulaya.. na sidhani hata unalo moja la kuonyesha.
Mkuu, sidhani kama umemuelewa alichozungumzia!
Nahisi kama umekurupuka tu paspo kusoma btn the lines na kushusha kejeri na vijembe!!
Nikirejea thread ya Mutuz nidhahiri yeye anaamini kwamba kwasababu ametokea USA basi hajui shida za Bongo na ndie mtu pekee awezaye kutatua kero za wananchi kwa vile ametokea Ugaibuni!!(kamautakumbuka kuna wachangiaji walidiriki kusema ni rimbukeni)
Kama anaweza kutatua kero zetu sio lazima kujikita kwenye siasa ambako itabidi aonge ili ku-qualify, badara yake aanzishe miradi ya ujasiriamali ambayo itatupunguzia U-jobles tulio nao!!
Ebu jiulize, kwanini yeye anadhani Ubunge pekee ndo sehemu ya kuweza kutatua matatizo yetu wakati wako wenzie zaidi ya 200 hawajafanya lolote!!?
Je ataisaidia vp Tz ambayo hajui matatizo yake ikiwa hata matatizo ya jimboni kwake hayajui (ameyasahau baada ya kwenda USA)!!??
DAMN!!!
 
Hivi watu wa Lusinde au washabiki wake mnaogopa nini kama Willy atagombea Ubunge mnaanza vita mapema wakati nyie chama moja...Halafu sijasema kwamba Willy atagombea Ubunge ila sioni tatizo akigombea na navyo jua mimi mkikaa vibaya na kumchefua, kweli atagombea maana baharia haachi kutia nanga..

Mkuu msitie wasiwasi huyo Willy yupo mjengoni kama alivyokuja huko mwaka 2005 na akarudi USA na alipitia sehemu nyingi tu kama anavyofanya leo..Na hata kama atapewa nafasi ya ajira tumwombee kheri maana kila binadamu anatafuta riziki mahala popote alipoandikiwa na hakuna binadamu anayeweza kuzuia...

kaka,
haha, mimi siko kwenye politics kabisa. na hii ndo mara yangu ya kwanza kuzungumzia Siasa hapa JF. personal i believe in education and ufanisi. na sina hata wivu na huyo jamaa hata akiwa raisi.

Na kama utakuwa umenielewa, sipendi mtu mwongo au mbabaishaji. tujifunze kuwa wawazi pale tunapotaka kuwa wabunge, tusi-singizie ukombozi.

haha, 2005 jamaa alirudi USA, may be baada ya kuona ukombozi hauwezekani. na hata 2015 atarudi tena USA kama ubunge (ukombozi) ukiwa mgumu... haha, mimi nawa-challenge hawa jamaa watafute njia nyingine ya kuombozi na sio kutafuta penye upenyo, ili kutereza kirahisi.

I'm sure hawa jamaa wakiwa wajasilimia mali, they can make good money and create employment than kuwa mwasiasa. basi tu, wavivu wa kufikiri. I expected high creativity na ubunifu mkubwa wa miradi kutoka kwao, na sio siasa.
asante.
 
Mkuu wangu sijui mila na desturi za kwenu zinasema nini lakini kwetu hakuna hazina kubwa kwa mwanadamu kama kuwa msikivu.. Mtu unayependa kusikiliza WATU zaidi ya wewe kuongea kama mjuzi wa shida zao. Kwa mfano wapo viongozi kibao huja hapa JF kusikiliza kero zetu, kina Marehemu Regia alifikia hadi kukusanya kero zetu na zoezi hilo linaendelea, hawa sii wajinga bali wanatumia busara kubwa sana kusikiliza kero za wananchi kupitia mtandao,Kuwa kiongozi nchini haina maana unayajua yanayo wakera wananchi... Acha wananchi hata mkeo/bwana nyumbani kwako huwezi kujua kero zake ikiwa hutachukua muda na kumsikiliza, kumuuliza na na kwa ujumla wake Kuongea kwa pamoja.. Willy ni kijana alopata bahati ya kujuana na watu na pia mtoto wa Malecela hakutaka yeye iwe hivyo lakini ndivyo Mwenyezi Mungu mjuzi wa yote alivyopanga na leo hii kaweza kumfikisha kule ulikoshindwa wewe unayeishi miaka yote hapo Bongo kisha mnaanza mizengwe. Kama unachukia sana basi angalau fanya wewe basi kile unachokiona ni bora zaidi kuliko kumpiga vita mtu kwa sababu tu katoka Ulaya.. na sidhani hata unalo moja la kuonyesha.
Mkuu, sidhani kama umemuelewa alichozungumzia!
Nahisi kama umekurupuka tu paspo kusoma btn the lines na kushusha kejeri na vijembe!!
Nikirejea thread ya Mutuz nidhahiri yeye anaamini kwamba kwasababu ametokea USA basi hajui shida za Bongo na ndie mtu pekee awezaye kutatua kero za wananchi kwa vile ametokea Ugaibuni!!(kamautakumbuka kuna wachangiaji walidiriki kusema ni rimbukeni)
Kama anaweza kutatua kero zetu sio lazima kujikita kwenye siasa ambako itabidi aonge ili ku-qualify, badara yake aanzishe miradi ya ujasiriamali ambayo itatupunguzia U-jobles tulio nao!!
Ebu jiulize, kwanini yeye anadhani Ubunge pekee ndo sehemu ya kuweza kutatua matatizo yetu wakati wako wenzie zaidi ya 200 hawajafanya lolote!!?
Je ataisaidia vp Tz ambayo hajui matatizo yake ikiwa hata matatizo ya jimboni kwake hayajui (ameyasahau baada ya kwenda USA)!!??
DAMN!!!

nakushukuru, umeongea vizuri sana. clap
 
Mkuu wangu sijui mila na desturi za kwenu zinasema nini lakini kwetu hakuna hazina kubwa kwa mwanadamu kama kuwa msikivu.. Mtu unayependa kusikiliza WATU zaidi ya wewe kuongea kama mjuzi wa shida zao. Kwa mfano wapo viongozi kibao huja hapa JF kusikiliza kero zetu, kina Marehemu Regia alifikia hadi kukusanya kero zetu na zoezi hilo linaendelea, hawa sii wajinga bali wanatumia busara kubwa sana kusikiliza kero za wananchi kupitia mtandao,Kuwa kiongozi nchini haina maana unayajua yanayo wakera wananchi... Acha wananchi hata mkeo/bwana nyumbani kwako huwezi kujua kero zake ikiwa hutachukua muda na kumsikiliza, kumuuliza na na kwa ujumla wake Kuongea kwa pamoja..

Willy ni kijana alopata bahati ya kujuana na watu na pia mtoto wa Malecela hakutaka yeye iwe hivyo lakini ndivyo Mwenyezi Mungu mjuzi wa yote alivyopanga na leo hii kaweza kumfikisha kule ulikoshindwa wewe unayeishi miaka yote hapo Bongo kisha mnaanza mizengwe. Kama unachukia sana basi angalau fanya wewe basi kile unachokiona ni bora zaidi kuliko kumpiga vita mtu kwa sababu tu katoka Ulaya.. na sidhani hata unalo moja la kuonyesha. Na mkuu wangu yaani umeonyesha wivu wa ajabu kabisa kuhusiana na watu wanaotoka Nje..Nadhani unamhitaji Jesus maana hiyo chuki ya hata kutazama mavazi yao wanavyonukia ikakukera ni hatari sana kwa hata maisha yako..

Maendeleo ya kweli yataletwa na wenye moyo bila kujali ni mtoto wa kigogo au mlalahoi. Rwanda inakuwa kwa sababu mwanajeshi yule ameamua kuibadili nchi yake
 
Maendeleo ya kweli yataletwa na wenye moyo bila kujali ni mtoto wa kigogo au mlalahoi. Rwanda inakuwa kwa sababu mwanajeshi yule ameamua kuibadili nchi yake
Nakubaliana na wewe 100% tatizo ni kwamba kuna watu wanafikiria watoto wa vigogo hawana moyo maana Uzalendfo siku hizi una nasaba na wataliwa tu. Kama tunaamini kwamba maendeleo yataletwa na wenye moyo kwa nini moyo wa Willy hawaukubali? kama ni uzalendo wa mtu basi sijui kama kuna mtu hapa JF amewahi kuonyesha machafu ya CCM zaidi yake, sijui kama kuna mtu ambaye alidiriki hata kutuambia mbinu chafu za mtandao uchaguzi wa 2005 na nani yumo nani kiongozi wao na kadhalika. Haya aliyasema toka 2002 tukiwa Bsctimes na kulaani ufisadi ambao umekuja leo kuwa mtaji wa Chadema..

Na kwa wengi hapa hawawezi kuelewa machungu ya hila chafuzi alizopitia Willy kutokana tu na ujasiri ule lakini mwanamme amekubali kubeba msalaba wake, sasa anaelekeza mapigano nyumbani - Chicken has come home to roost, Inawapa taabu sana washabiki wa Lusinde, tena haikuwa hoja yake bali walitokea watu hapa JF kumsisitiza agombee halikuwa wazo lake...


Binafsi Willy mshikaji tuna share mambo mengi sana ambayo yanakinzanna na siasa za Bongo na pengine huyu mnayemdharau ndiye anayeweza kazi kuliko hao wasiokuwa na mguu ndani maana hata matembezi yake vijijini kafikisha hoja nzito sana kwa viongozi ambao kwao wao hawakuona kama ni tatizo. Ni mawazoi kama haya toka ground zero ndiyo tunayapa Uzalendo yaani unafanya kweli na sio hadithi za JF kama kina Mkandara hapa..Mimi atanisikia nani kwa itifaki za Kitanzania siruhusiwi hata kumsogelea Jk na kumpa mkono wa kheri tu maana sina jina.
 
Back
Top Bottom