bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,860
mtoke bila bila......hahaaa iribini that sounds fair angalauunasemaje? Na mimi nianza kusaka serengeti?ngoma iwe droo
mtoke bila bila......hahaaa iribini that sounds fair angalauunasemaje? Na mimi nianza kusaka serengeti?ngoma iwe droo
jamaani madadaaaaaz' wa wapwaaaz,
kwenye begi-party wanafundisha kwamba tuongeze mke ili yule wa kwanza atie akili ku-mkichwa!
hivi ulishanunua BASTOLA??HA H AHAHAHAHAHHA
let them try,
MPWA,mpwa kwani kabla y ahapo anakuwa hana akili kumkichwa??? Sasa kwanini umuoe?
mtoke bila bila......hahaaa iribini that sounds fair angalau
MPWA,
ukiangalia sana hapa utakuta mwanamke anaonewa,lakini ukiangalia kwa jicho la tatu utagundua kuwa anaehisi haonewi ni kwamba HAJAAMBIWA UKWELI!
ndo wanaume wanavyoishi!
mpwa,
ukiangalia sana hapa utakuta mwanamke anaonewa,lakini ukiangalia kwa jicho la tatu utagundua kuwa anaehisi haonewi ni kwamba hajaambiwa ukweli!
ndo wanaume wanavyoishi!
BP yake itapanda bure.Umekula Senksi hapo! Au bht anafikiri yuko peke yake kwa bf wake? Stuka!!!!
umekula senksi hapo! Au bht anafikiri yuko peke yake kwa bf wake? Stuka!!!!
hata yeye basi hayuko mwenyewe........
bp yake itapanda bure.
hahahahahahahahahahh!Hiyo bold mbona kama imekaa kiwasiwasi/ kilalamishi/ kiwogawoga! Kuwa streiti mama. Sema: Hata yeye hayuko mwenyewe tukugongee senksi! Ala!
hamna sheli wala oil com hapa gp.....hayo mambo mi huwa hayasumbui kichwa yangu kabsaaa. Ingekuwa jamaa akiwa na nyororo basi mi riziki zinaziba hapo sawa...azawise mwendo mdundo
Hehehehehe! Eliza kahamia Tegeta by night! Kwa sasa Zero pub itakuwa ni kwa ajili ya kokotoz tu basi. Huduma nyingine zinahamia BY NIGHT KWA ELIZA WETU!hahahahahahahahahahh!
wewe bana,lol!
sasa fanya hivi,mwambie eliza akupe bia tu mimi nitaklia bili,maanake SENKSI KAMA SENKSI haitoshelezi,ingawa umekula senksi
hiyo bold mbona kama imekaa kiwasiwasi/ kilalamishi/ kiwogawoga! Kuwa streiti mama. Sema: Hata yeye hayuko mwenyewe tukugongee senksi! Ala!
Si mmetutenga?Wengine hatujuagi kubembeleza.I wish bht anifundisheNi heri ukalikubali hilo mapema before its too late! Ma'shes wote wamesepa umebaki wewe tu hapa. You owe me some few calabash of bantaaaaz!