Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,906
- 22,038
hii moto hatuitaki...
imekaa ''ki-sisiemu zaidi''
ushaanza inaamanisha sisiemu atutakiwi kumsapoti mshaanza nasema mmeanza eeeehhhh?????????????
hii moto hatuitaki...
imekaa ''ki-sisiemu zaidi''
GS....
I believe in your mission, as Kaizer said, its "Mission Possible"... Tuko pamoja na nina imani utatuita tukae pamoja ili tuboreshe nia yako!!!
Uombe ayfa, amani, uzima na ushindi
kuna yule mganga pale karibu na mang'ula anaitwa kalembwana asikulaghai hata kidogo! Amekuwa akitumia na ngasongwa na hata mkulu wetu kikwete ili awasafishie nyota. Bila shaka mteketa naye atakwenda nyolewa kwa bibi kalembwana. Nitakuja idete na namawala kati kati ya sept nitakutafuta.
pokea baraka za klorokwini mchana huu! Kwa post yangu hii jihakikishie ushindi! Acha niwasiliane na kamati ufundi yangu ya dharura.
wee bana mbona unatumia energy nyingi kunielewa......?ushaanza inaamanisha sisiemu atutakiwi kumsapoti mshaanza nasema mmeanza eeeehhhh?????????????
nimeipenda sana hii!...Teamo,
vp?
nimeipenda sana hii!...
lakini what is so called QUALITY?.....
and again HOW DO WE MEASURE IT?....
that is where i got stuck..!
nimeamua nipate kahawa
Kwa matendo yao!... The fact that you could appreciate the message speaks volumes ndugu. TX
poa!Kwa matendo yao!... The fact that you could appreciate the message speaks volumes ndugu. TX
And me too I do appreciate it!
And me too I do appreciate it!
Duh kumbe ni wewe kweli usilolijua ni kama usiku wa giza nakufahamu mnoooooooooo
Shosti!
Kumbe ni wewe! Basi tutaonana zaidi kwenye michakato ileeeee.
Kila la heri ndugu yangu. Wasalimie jamaa wote wa Ifakara. Pale Stiff, Kibaoni, Kivukoni (duh nimekumbuka wale samaki) na woote hadi kule Mngeta. Kawambie kuwa mwanga umeshaonekana, kwa hiyo waondoe tongo tongo na kujipiga kifua ili huu mbuyu uliokwisha kauka tuupige chini! Hatuwezi kukubali hii nafasi iliyodondoshwa na Mungu ipotee bure. Piga magoti useme ... + KWA JINA LA BABA..... AAAMEN!Shosti,michakato ile ipi?ya Jukwaa letu la.....