Shishi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2008
- 1,242
- 39
Unakumbuka enzi za kuwadanganya wadada kwamba nitachomoa usipate mimba?
Ushauri wangu huo.
wacha kumdanganya mwenzako atazaa ajaze nyumba tele...saa za kuchomoa atakumbuka kweli????
Unakumbuka enzi za kuwadanganya wadada kwamba nitachomoa usipate mimba?
Ushauri wangu huo.
I hope the pair of glasses itaitendea haki the word.Hiyo blue ntaivalia mawani yangu kesho niisome vizuri.
mimi dada ako bila zana sijamlala.imagine ni mtu ninayeishi nae.na aidia ni kwamba hatujaplan mtoto
wacha kumdanganya mwenzako atazaa ajaze nyumba tele...saa za kuchomoa atakumbuka kweli????
Mimi sababu zangu za kuvaa kondomu ni hygen, kwa jinsi nilivyo bishoo huwa naona soo sana kuchafua mshedede na maji ya mule ndani ndio maana naweka water proof.
Shishi
With due respect, mimi huwa nakumbuka kuchomoa ukibisha unaweza jitolea tukafanya majaribio!
If they will be that trustfull, then we will make it to HEAVEN.Kama inavyokuwa kawaida yake. I hope you will agree with the translations from my trustfull glasses.
Niko serious!
ya kiume!Hahahaha! Shemeji twende kwenye point sasa. Ya kiume au ya kike?
kwanza nimekuuliza swali hinijibu kule kweye Topic ya mama Kikwete kugawa jezi haya nenda fasta .....
ya kiume!
kwa kutumia uzoefu wa mtu ninayeshea nae bed,(napenda nisiulizwe swali katika hili)NAKUSHAURI SHEMEJI YANGU TUMIA RAFU RAIDA,period.ukitumia hizo zinazogawiwa bure au za mia tano ITAKULA KWAKO!
kwa hiyo mimi bila kuwa na buku jero ya rafu raida DADA AKO HAJAVUA!hehehehe
Nawahi tena sijavaa hata kufuri sababu ya uharaka! Halafu basi na wewe nishushie jibu kwa PM, la ombi langu hapo juu
Hahahaha! dada yangu anaipata habari yake kisawasawa. Rough Rider si ndio zile zenye vipelepele? Lol![/QUOTE]
prisaizili!huna hizo hujamvua kabisaaaaaaaaaaaaaa,na hamuwezi kuelewana.
huwezi amini shemeji,kwa sasa mechi za mchangani nimekuwa extra keafuli,na bila kuvaa zana sijapiga kicheche.