Wapopo.............

The Boss

JF-Expert Member
Aug 18, 2009
49,110
115,885
Nakutana na hilo neno saana...
je wapopo ni watu gani haswaa
na kwa nini wanaitwa wapopo??????
 
wa Nigeria peke yao?
wa Ghana je?nchi zingine za west Africa??????

Sijawahi kusikia hao wengine wakiitwa hivyo, though inawezekana.

Well hili wazo limenijia sasa hivi tu. Unajua mtu anapobadilika badilika watu hua wanamfananisha na popo? Yani anakua sio mbaya moja kwa moja, wala sio mzuri moja kwa moja.
Inawezekana waNaigeria wanaitwa hivyo kwakua ni scammer wazuri. Yani wanakua wapole, wastaarabu mpaka mwenyewe unatoa funguo za gari ili uibiwe.
I don't know. . . nimefikiria tu.
 
Sijawahi kusikia hao wengine wakiitwa hivyo, though inawezekana.

Well hili wazo limenijia sasa hivi tu. Unajua mtu anapobadilika badilika watu hua wanamfananisha na popo? Yani anakua sio mbaya moja kwa moja, wala sio mzuri moja kwa moja.
Inawezekana waNaigeria wanaitwa hivyo kwakua ni scammer wazuri. Yani wanakua wapole, wastaarabu mpaka mwenyewe unatoa funguo za gari ili uibiwe.
I don't know. . . nimefikiria tu.

unazungumza kama umekutana nao tayari.
wakakuibia.au ndo hawa?ile kesi?
 
unazungumza kama umekutana nao tayari.
wakakuibia.au ndo hawa?ile kesi?

Naaaah, sinasikia kila kona watu wanawalalamikia. Mi nna marafiki kama watatu hivi, they are alright.


Hahahahahaha wale wabongo pure. . . .
 
wapopo ni wanaijeria jina hilo wamebatizwa na wabongo,linatumika na wabongo dunia nzima kuwatambulisha jamaa japo wenyewe hawajui kama tunawaita hivyo so ukitaka kuwateka hata wakiwepo tumia jina hilo.Kuna utata kuhusu chanzo cha jina hilo!
 
@lizzy
hayo maelezo yako ya popo inawezekana
wanigeria ni watata sana
hawaeleki kama ni ndege au mamalia
wanabadilika kulingana na faida watakayoipata kwako.

Mi nadhani ni 'hawaeleweki'
 
wapopo ni wanaijeria jina hilo wamebatizwa na wabongo,linatumika na wabongo dunia nzima kuwatambulisha jamaa japo wenyewe hawajui kama tunawaita hivyo so ukitaka kuwateka hata wakiwepo tumia jina hilo.Kuna utata kuhusu chanzo cha jina hilo!

asante..
naomba ueleze huo utata wa chanzo cha jina hilo....
 
@lizzy
hayo maelezo yako ya popo inawezekana
wanigeria ni watata sana
hawaeleki kama ni ndege au mamalia
wanabadilika kulingana na faida watakayoipata kwako.

Mi nadhani ni 'hawaeleweki'
Ngoja wanaojua watuletee maelezo. . .
 
Niliwahi kumuuliza brother angu mmoja katika wasafiri(mabaharia)wa kizamani ambao ndio waasisi wa jina hilo enzi hizo,akaniambia nae anasikia kwamba lilitokana na style yao ya kuongea,yani kupiga makelele,simjui popo sawasawa naomba wanaomjua watueleze alivyo ili na mimi niweze ku connect dots,je popo ana kelele?
 
Nimesikia hili jina ila nashangaa kwamba baadhi ya watu kutoka Naija watu ambao nimekutana nao, wanaonekana kama watu wazuri sana kiasi kwamba huwa naishia kushangaa au kujishangaa!!
 
Nimesikia hili jina ila nashangaa kwamba baadhi ya watu kutoka Naija watu ambao nimekutana nao, wanaonekana kama watu wazuri sana kiasi kwamba huwa naishia kushangaa au kujishangaa!!

we umesikia hili jina lina maana ipi???
 
Back
Top Bottom