Mtoto Wa Mbale
JF-Expert Member
- May 15, 2011
- 457
- 300
Nawasikiliza wageni walioalikwa leo katika kipindi cha majadiliano wapo Radio fm. Napata taabu kuwaelewa na kuelewa usomi wao. Sina hakika kama wanaelewa wanachojadili, yaani kuuelewa muswada husika na maudhui yake. Siwaelewi kama wanajisomea na kusoma hoja mbadala na kutumia vyema weledi wao.
WanaJF mliopata kuwasikiliza au kama mnawasikiliza nisaidieni katika hili.
WanaJF mliopata kuwasikiliza au kama mnawasikiliza nisaidieni katika hili.