Jamani kuna siku nilidokeza kuhusiana na eneo la Posta Kawe kuendelea kuzuiliwa na Jeshi baada ya Londa kuingia na kulisawazisha bila kuitaarifu kambi la Lugalo.
Sasa eneo hilo limekuwa hatari kwa wasiofahamu kinachoendelea, kwani wamekuwa wakirukishwa kichurachura, kupigishwa magoti na wanajeshi kila wanapokatiza eneo hilo.
Sasa eneo hilo limekuwa hatari kwa wasiofahamu kinachoendelea, kwani wamekuwa wakirukishwa kichurachura, kupigishwa magoti na wanajeshi kila wanapokatiza eneo hilo.