My Take,
Kikwete ni dhahabu kwa upinzani,kwa ninavyomfuatilia sasa hivi kikwete kiundani anafurahi matokeo ya Arumeru, hakuwa anajihusisha sana kama Mwenyekiti just to put a statement there kwamba mnanihitaji , alipomchagua tuu Lubuva kuwa Mkuu wa Tume ya uchaguzi nikajua ana lake jambo, Lubuva ni kama Tido Mhando alipokuwa TBC, yeye na Jaji Kisanga wanaangalia sheria tuu na hawana political inclination
Bravo Kikwete kusoma alama za nyakati
Kikwete ni dhahabu kwa upinzani,kwa ninavyomfuatilia sasa hivi kikwete kiundani anafurahi matokeo ya Arumeru, hakuwa anajihusisha sana kama Mwenyekiti just to put a statement there kwamba mnanihitaji , alipomchagua tuu Lubuva kuwa Mkuu wa Tume ya uchaguzi nikajua ana lake jambo, Lubuva ni kama Tido Mhando alipokuwa TBC, yeye na Jaji Kisanga wanaangalia sheria tuu na hawana political inclination
Bravo Kikwete kusoma alama za nyakati