Nimekuwa nafuatilia wanasiasa wengi kutoka upinzani wanaohamia au kurudi CCM hunufaika kwa kupewa post mbalimbali na baadaye hutupwa kapuni, kama nitakavyowataja baadhi ya waliotupwa baada ya kula matunda ndani ya chama hicho, nani anajua siri ya Waziri Steven Wassira kudumu katika nafasi mbalimbali ndani ya serikali ya CCM?
Hawa wafuatao walikuwa hawawazi kesho wanakula nini leo wanawaza leo wanakula nini achilia ya kesho;
1. Tambwe Hiza- kazunguka nchi na propaganda za Mh. Makamba alivyotoka CUF leo historia.
2. Dr. W Kaburu- alipewa ubunge wa Afrika Mashariki alivyotoka CHADEMA leo anasota
3. Dr. Masumbuko Lamwai - Wakiri maarufu alivyotoka NCCR leo hasikiki.
4. Mh. Nsazungwako mbunge wa Kasulu Mashariki kwisha kabisa baada ya kukosa ubunge hata ukuu wa mkoa kakosa.
5. Mh. Mgesi alijitoa kugombea ubunge Morogoro Kusini akiwa M/Kiti mkoa CHADEMA akajiunga CCM leo choka mbaya.
6. Mh.Shitambala alijitoa CHADEMA akiwa M/kiti wa mkoa Mbeya ahadi aliyopewa iliyeyuka kama theruji ya Mt. Rungwe.
Kuna wengine waongeze ili wenye wazo kama hilo watafakari mara mbili kabla ya kufanya maamuzi.
Hawa wafuatao walikuwa hawawazi kesho wanakula nini leo wanawaza leo wanakula nini achilia ya kesho;
1. Tambwe Hiza- kazunguka nchi na propaganda za Mh. Makamba alivyotoka CUF leo historia.
2. Dr. W Kaburu- alipewa ubunge wa Afrika Mashariki alivyotoka CHADEMA leo anasota
3. Dr. Masumbuko Lamwai - Wakiri maarufu alivyotoka NCCR leo hasikiki.
4. Mh. Nsazungwako mbunge wa Kasulu Mashariki kwisha kabisa baada ya kukosa ubunge hata ukuu wa mkoa kakosa.
5. Mh. Mgesi alijitoa kugombea ubunge Morogoro Kusini akiwa M/Kiti mkoa CHADEMA akajiunga CCM leo choka mbaya.
6. Mh.Shitambala alijitoa CHADEMA akiwa M/kiti wa mkoa Mbeya ahadi aliyopewa iliyeyuka kama theruji ya Mt. Rungwe.
Kuna wengine waongeze ili wenye wazo kama hilo watafakari mara mbili kabla ya kufanya maamuzi.