Nzokanhyilu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2007
- 1,078
- 93
watanzania wanahitaji kupata somo kuhusu haki zao na utajiri wao. kama hiyo pesa inasaidia kuwafahamisha na kuwapa somo wananchi, so be it. Ni kazi ambayo serkali yenye malengo mazuri kwa wananchi wake ingetakiwa kufanya.