Wapinzani waandaa hoja: Wamtaka Pinda kujiuzulu

Ukimuua albino, tutakuua tu. Na hili wala halikuhitaji Waziri Mkuu kulisemea ... Kwa mliotarajia "kula" kwa kuandika habari za mauaji ya albino, sasa subirini kuandika habari za kuuwawa kwa "wauaji wenyewe".

Lakini keshalisemea. Na wakati wakisubiri kuandika habari za kuuwawa kwa "wauaji wenyewe", wajitayarishe kuandika habari za wauaji wa "wauaji wenyewe" !

Hapo hakuna cha haki za binadamu wala nini. Ukiondoa uhai wa "albino", haki yako ya ubinadamu inaishia hapo hapo.

Uuaji ni uuaji tu - uwe wa "albino" au wa biandamu yeyote na sheria ni lazima uchukue mkondo wake.

Acha Pinda ajiuzulu, lakini sisi tutawaua tu, kama ambavyo tumekuwa tukifanya kwa majambazi, n.k.

Pinda karopoka na kama angekuwa muungwana angeomba msamaha - lakini akigoma njia ni nyeupee - ajiuzulu. Ukithubutu kumwua jambazi, utashtakiwa kama sheria inavyosema.

Ikionekana kuna wanaotetea wauaji wa albino, kama hao viongozi (wanasiasa) wa NCCR, nao tutawajumuisha kwenye list ya wauaji ... hii ni vita, si siasa!!!

Pinda keshatangaza vita - mbona hilo ni wazi ? Na ninyi mtakuwa wauwaji vile vile - vita havichagui albino na wasio albino.

Ole wenu!!

Ole wako wewe na wote mwenye mawazo finyu kama wewe na Pinda.
 
Pinda kwa bahati nzuri yupo team Sitta.

Hapo wabunge wamekwama,...hawamfanyi lolote labda Sitta asiwepo. Atasema kanukuliwa vibaya then Spika atasukuma mambo mbele kwa mbele...

Besides Pinda ameresonate na mawazo ya wananchi wengi wa kawaida(siku zote wamekua wakimalizana na vibaka mitaani), so kimtaani wananchi wengi wanaweza kumuunga mkono....wenye tatizo ni the so called wasomi, wadadisi wa mambo, na wauza magazeti.
 
Vifo vya maalibino ni mipango madhubuti ya watu wenye pesa na waganga wa jadi. Usikute wengi wa wabunge wetu wametumia uchawi huo kufika hapo walipo, hivyo wana kila sababu ya kutetea wauaji wa albinos. Hii issue ni ndogo sana kama serikali ingeamua kuivalia njuga, wakubwa wanafaidika na uchafu huu.
 
nadhani mheshimiwa PM alimahanisha kwamba mtu yeyote ikithibithishwa kuwa ameua ni kosa kisheria na pia adhabu yake ni kunyongwa sijui kama hii sheria ilitenguliwa maana kuna wakati wanaharakati wa haki za binadamu duniani walitaka ibatilishwe.

Napiga vita mauaji ya albino yanamayoendelea hapa nchi kwasasa.
 
nadhani mheshimiwa PM alimahanisha kwamba mtu yeyote ikithibithishwa kuwa ameua ni kosa kisheria na pia adhabu yake ni kunyongwa sijui kama hii sheria ilitenguliwa maana kuna wakati wanaharakati wa haki za binadamu duniani walitaka ibatilishwe.

Napiga vita mauaji ya albino yanamayoendelea hapa nchi kwasasa.

Hauna sababu ya kudhania. Wengine tangu wiki iliyopita wamejaribu kutumia mstari huo wa "kumaanisha". Yeye kasema hakumaanisha watu wanavyofikiri alimaanisha, alimaanisha alichosema. Kwamba, wananchi wakimuona mtu wanayemshuku kuwa amehusika na mauaji ya albino (ati ana mkono, amelowa damu, na anakimbia akifukuzwa) basi wakimpata wasihangaike naye hadi Polisi, wamuue tu. Na huo ni msimamo wa serikali.

Adhabu ya kunyongwa bado ipo.
 
Kesho kwenye kipindi cha maswali na majibu wabunge wanasubiri kwa hamu kusikia kama PInda atathubutu kutetea msimamo wake huo Bungeni au atakanusha.

- Hii habari ingekua strong zaidi kama tungesubiri kesho kwanza baada ya Pinda kuongea maana ni lazima kuwa na due process, gazeti limesema na especially haya magazeti yetu ya bongo sasa ni zamu ya Pinda kujibu, ndio tuanzishe hukumu, au?

- Tusipokuwa waangalifu tutapoteza maana hasa ya viongozi kujiuzulu, katika siasa hasa za national kama hizi za kina Pinda, ni lazima kuwa makini sana na this kind of hukumu za kumtaka a sitting Waziri Mkuu kujiuzulu bila a probable a course, akishaongea kesho ndio inapendeza kutoa hizi hukumu.

FMES!
 
Besides Pinda ameresonate na mawazo ya wananchi wengi wa kawaida(siku zote wamekua wakimalizana na vibaka mitaani), so kimtaani wananchi wengi wanaweza kumuunga mkono....wenye tatizo ni the so called wasomi, wadadisi wa mambo, na wauza magazeti.


FMes alishasema zamani kuwa "Viongozi wetu ni reflecton yetu wenyewe".
 
Mkuu MKJJ....PINDA NI MWANA ccm....Matter of fact toka akiwa TANU....Sasa ngoja niwe upande wake for a minute kwasababu ni just cause....Kwani mtu akihukumiwa adhabu ya kifo anauwawa ama?
 
Well... ndani ya mwaka mmoja tunaweza kuwa na Waziri Mkuu mwingine aliyejiuzulu? Well.. wapinzani inaonekana wanataka iwe hivyo. Wengi wamefikia hilo baada ya kusoma makala ya The Citizen la leo kuwa Pinda alimaanisha alichosema kuwa wananchi wawaue papo hapo wanaowatuhumu kuwa ni wauaji wa albino.

Kesho kwenye kipindi cha maswali na majibu wabunge wanasubiri kwa hamu kusikia kama PInda atathubutu kutetea msimamo wake huo Bungeni au atakanusha. Kuna kundi la wabunge wa CCM ambao nao wanasubiri kusikiliza kuwa alimaanisha nini hasa (sijui kama bado kuna utata hapo)

Wapinzani wamendaa hoja gani? Kichwa cha habari na uliyoandika haviendani kabisa...imekaaa kama habari ya udaku hivi. Mwanakijiji uandishi wa hisia wa namna hii hautakiwi na unapunguza credibility yako...au una usingizi?

Wewe lengo lako ni Pinda kujiuzuru?Kuna binadamu ambaye ni Mkamilifu? Kosa la Pinda siyo kubwa kiasi hicho mpaka ajiuzuru na kama wabunge wetu wakiwa na akili kama yako na kumtaka Pinda ajiuzuru nitawashangaa sana!

Wewe mbona kuna kipindi ulishawahi kutoa kauli flani hapa tata na ukaachwa na hatukukwambii ujiuzuru?

Andika Makala ya Pinda ajiuzuru huku ukijenga hoja nzito na siyo bla bla tu kwa kuwa unahisi anahitaji kujiuzuru.

 
Hii habari ingekua strong zaidi kama tungesubiri kesho kwanza baada ya Pinda kuongea maana ni lazima kuwa na due process, gazeti limesema na especially haya magazeti yetu ya Bongo sasa ni zamu ya Pinda kujibu, ndio tuanzishe hukumu, au?

FMES!

Pinda ameshaongea mara tatu. Hadharani, baadae akaenda kwenye gazeti, halafu akatuma mouth piece wake kurudia kile kile alichotamka. Mara tatu! Ungependa aongee mara ngapi?

Due Process tumpe Pinda? Pinda ndio ametuambia haamini katika Due Process. Mkimshika mhukumuni hapo hapo, mchinjeni. Hataki mambo ya Due Process!

Waziri Mkuu akihimiza wananchi wachukue sheria mikononi inabidi awajibike. Hakuna utata hapo.
 
Wapinzani wamendaa hoja gani? Kichwa cha habari na uliyoandika haviendani kabisa...imekaaa kama habari ya udaku hivi. Mwanakijiji uandishi wa hisia wa namna hii hautakiwi na unapunguza credibility yako...au una usingizi?

Wewe lengo lako ni Pinda kujiuzuru?Kuna binadamu ambaye ni Mkamilifu? Kosa la Pinda siyo kubwa kiasi hicho mpaka ajiuzuru na kama wabunge wetu wakiwa na akili kama yako na kumtaka Pinda ajiuzuru nitawashangaa sana!

Wewe mbona kuna kipindi ulishawahi kutoa kauli flani hapa tata na ukaachwa na hatukukwambii ujiuzuru?

Andika Makala ya Pinda ajiuzuru huku ukijenga hoja nzito na siyo bla bla tu kwa kuwa unahisi anahitaji kujiuzuru.


yah kuvunja katiba ya nchi kwa Tanzania sio kosa ati, Tumevunja sheria ya nchi kwa kuwapa wezi muda wa kurudisha walichoiba itakuwa hii ya katiba, ndo tulivyo nashangaa hawajamshikia JK bango wanamshikia Pinda au kuna nini hapo.
 
Nampongeza pinda kwa ubinaadamu wa hali ya juu alio uonyesha dhidi ya Albino, kwani albino sio watu? Niulize tu! Chadema na yumo ktk hizo harakati? Lakini ukweli ni kwamba hao watu wanao katisha huai wa wenzao wakikamatwa wakajua kuwa wanauwawa ni razima watataja watu waliowatuma mikono ya albino,sasabasi hao wanaompinga Pinda ni kwa maslahi ya nani? Kumlazimisha pinda ajiuzuru ndio hapo tumeonyesha busara na hekima pamoja na upeo wetu wa mwisho wakufikiri. Au sijui mm ndo sielewi au nipo shallow ktk kutambua lkn ingekuwa bomba kama chadema ingejitoa ktk hilo swala la Pinda, ni mtizamo tu! Binafsi nimeshangazwa na hiyo kambi kutaka wauaji albino wasiuliwe na wao. Nilitarajia kuwa wangeunga mkono hoja hiyo na kuongezea kipengere cha "walio watuma wauaji wa albino nao pia wauwawe" nilitarajia kitu kama hicho. Ok waafrika ndo tulivyo.
 
Pinda ameshaongea mara tatu. Hadharani, baadae akaenda kwenye gazeti, halafu akatuma mouth piece wake kurudia kile kile alichotamka. Mara tatu! Ungependa aongee mara ngapi?

Due Process tumpe Pinda? Pinda ndio ametuambia haamini katika Due Process. Mkimshika mhukumuni hapo hapo, mchinjeni. Hataki mambo ya Due Process!

Waziri Mkuu akihimiza wananchi wachukue sheria mikononi inabidi awajibike. Hakuna utata hapo.

i wish Pinda angekuwa rais angeweza kusema ukikamata mafisadi miaka 40, no dhamana no kesi mi nadhani ndo tulipofikia hapo....
 
Hauna sababu ya kudhania. Wengine tangu wiki iliyopita wamejaribu kutumia mstari huo wa "kumaanisha". Yeye kasema hakumaanisha watu wanavyofikiri alimaanisha, alimaanisha alichosema. Kwamba, wananchi wakimuona mtu wanayemshuku kuwa amehusika na mauaji ya albino (ati ana mkono, amelowa damu, na anakimbia akifukuzwa) basi wakimpata wasihangaike naye hadi Polisi, wamuue tu. Na huo ni msimamo wa serikali.

Adhabu ya kunyongwa bado ipo.

watu tunaweza kudhikishwa mikono ya alibino na kuuwawa bila makosa hapa sasa wauaji wa alibino mkae chonjo atii.
 
Ndio Mh. Pinda ameulizwa swali hilo na Kiongozi wa upinzani Mh. Hamad.

Anamjibu sasa amesema naye ni mwanasheria vilevile kamjibu.
Amesema wamebuni mkakati na wanausalama ambao utapunguza mauaji ya Albino.
 
Amejibu kwa HISIA kali kweli hadi kutoa machozi. Nadhani vyombo vyetu vya usalama havifanyi kazi yake vizuri. Vimejikita mno kwenye ulinzi na usalama wa viongozi wetu ambao sioni wanatishwa na yeyote.
 
Wapinzani wamendaa hoja gani? Kichwa cha habari na uliyoandika haviendani kabisa...imekaaa kama habari ya udaku hivi. Mwanakijiji uandishi wa hisia wa namna hii hautakiwi na unapunguza credibility yako...au una usingizi?

Wewe lengo lako ni Pinda kujiuzuru?Kuna binadamu ambaye ni Mkamilifu? Kosa la Pinda siyo kubwa kiasi hicho mpaka ajiuzuru na kama wabunge wetu wakiwa na akili kama yako na kumtaka Pinda ajiuzuru nitawashangaa sana!

Wewe mbona kuna kipindi ulishawahi kutoa kauli flani hapa tata na ukaachwa na hatukukwambii ujiuzuru?

Andika Makala ya Pinda ajiuzuru huku ukijenga hoja nzito na siyo bla bla tu kwa kuwa unahisi anahitaji kujiuzuru.

Sihisi, nimeandika kwa nguvu za hoja. Sijui kama imetoka kwenye Tanzania Daima la leo. Halafu hunichagulii cha kuandika kama vile mimi sikuchagulii cha kuandiika. Pinga nilichoandika kwa hoja, kosoa ukipenda lakini kusema nifanye hiki au kile ni kejeli isiyo ya lazima.

Ukiona nimeandika pumba jibu kwa hoja.
 
Back
Top Bottom