Wapinzani wa Bongo wajifunze nini toka siasa ya Kenya?

Mkuu Rufiji,

Mimi binafsi nimeshitushwa na hiii theory, ambayo niliambiwa na kiongozi mmoja mzito sana kwamba katika siasa za Kenya, the bottom line ni M-Kikuyu, hawezi kubali kutawaliwa na Mjaluo,

Meaning kwamba hii kupiga kura na the rst of the story ilikuwa geresha tu, wao huko Kenya wanajua ukweli toka enzi za baba yake Odinga, sasa kama huuu ndio ukweli wenyewe sisi bongo tunafanya nao nini hawa wakabila?

FMES,
Tukiwashambulia Wakenya kwa ukabila wao, lazima tujiulize na sisi je tuko salama?

Ukweli ni kwamba hayo wanayofanya Kenya, sisi tulishayaanza toka mwaka 1995 kule Zanzibar.

Tunasema Mpemba hata siku moja hawezi kuongoza Zanzibar.

Tatizo hapo sio ukabila tu, tatizo ni wanasiasa kutumia ukabila ili wabaki kwenye power.

Japo inaonekana TZ bara hatuna ukabila mkubwa lakini nakumbuka mwaka 1995 maeneo mbalimbali ya nchi, CCM walikuwa wanasema mkichagua Mchaga Mrema mtaibiwa maana wote ni wezi. Sasa kama huo si ukabila ni nini?

CCM kama watakaribiwa sana na Mbowe mwaka 2010, tegemea kusikia mambo ya ukabila na Uchaga.
 
Hapa nafikiri watanzania ndio wanapaswa kujifunza na sio wapinzani kwani hili ni somo kwa ujenzi wa demokrasia na utawala bora na demokrasia sio somo pekee kwa upande mmoja ila ni pande zote.

Wanamapinduzi ndio kazi zao kupindua hata kura halali ili mradi waendelee kutawala hata kama wameshindwa kuongoza.
 
CCM kama watakaribiwa sana na Mbowe mwaka 2010, tegemea kusikia mambo ya ukabila na Uchaga.

sawa kabisa let us not mock Kenyan, just know that we are heading the same direction in 2010 tuombe Maulana atuepushe na balaa hili.
 
FMES,
Tukiwashambulia Wakenya kwa ukabila wao, lazima tujiulize na sisi je tuko salama?

Ukweli ni kwamba hayo wanayofanya Kenya, sisi tulishayaanza toka mwaka 1995 kule Zanzibar.

Tunasema Mpemba hata siku moja hawezi kuongoza Zanzibar.

Tatizo hapo sio ukabila tu, tatizo ni wanasiasa kutumia ukabila ili wabaki kwenye power.

Japo inaonekana TZ bara hatuna ukabila mkubwa lakini nakumbuka mwaka 1995 maeneo mbalimbali ya nchi, CCM walikuwa wanasema mkichagua Mchaga Mrema mtaibiwa maana wote ni wezi. Sasa kama huo si ukabila ni nini?

CCM kama watakaribiwa sana na Mbowe mwaka 2010, tegemea kusikia mambo ya ukabila na Uchaga.

Asante sana Mtanzania,

Unajua kuna wakati Tanzania tunachukua standard ya juu sana kwa kusema ya wenzetu wakati tunfanya the same thing. Tulitumia ukabila dhidi ya Mrema 1995, Tumekuwa tunatumia ukabila dhidi ya Sharif wa CUF katika chaguzi zote. Kuna watu huko zanzibar wameapa kuwa zanzibar haitatawaliwa na Mpemba kamwe?

Kikwete mwenyewe alitumia ukabila dhidi ya Salim AS ili kupata tiketi ya CCM. Baada ya ukabila, udini umetawala sana Tanzania. Kila kitu kinaangaliwa kwa msingi wa kidini. Teuzi za Kikwete za karibuni ni za kidini (watu wanasema hivi). Uchaguzi wa muungano wa 95 na 2000, Lipumba alikuwa anauzwa na wana ccm kama muislam kwenye mikoa ile ambayo waislam sio wengi.

Unafiki tu ndio umejaa. Hili naliona zaidi kama tatizo la Afrika.
 
Ni kweli,
Majority wa aliowateua JK ktk sehumu nyati sasa ni Waislamu- angalia Mkuu wa Usalama Taifa, Mkuu wa Polisi, wakuu wa mikoa na wilaya na bosi wa TACAIDS- na wale mabalozi zile picha hata zilimpa iabu!

Ila kweli mnatambua kuwa Waislamu wameachwa nyuma Tz na sasa ndo nafasi yao? Ni affirmative action ya JK!
 
Asante sana Mtanzania,

Unajua kuna wakati Tanzania tunachukua standard ya juu sana kwa kusema ya wenzetu wakati tunfanya the same thing. Tulitumia ukabila dhidi ya Mrema 1995, Tumekuwa tunatumia ukabila dhidi ya Sharif wa CUF katika chaguzi zote. Kuna watu huko zanzibar wameapa kuwa zanzibar haitatawaliwa na Mpemba kamwe?

Kikwete mwenyewe alitumia ukabila dhidi ya Salim AS ili kupata tiketi ya CCM. Baada ya ukabila, udini umetawala sana Tanzania. Kila kitu kinaangaliwa kwa msingi wa kidini. Teuzi za Kikwete za karibuni ni za kidini (watu wanasema hivi). Uchaguzi wa muungano wa 95 na 2000, Lipumba alikuwa anauzwa na wana ccm kama muislam kwenye mikoa ile ambayo waislam sio wengi.

Unafiki tu ndio umejaa. Hili naliona zaidi kama tatizo la Afrika.


Mkuu mwafrika hapo umegonga armory
Make hiyo ni kweli tupu! namalizia kwa kusema tusipo ziba ufa...
 
Back
Top Bottom