Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,890
- 6,896
Baada ya hapo wabuge waliendelea kubishana bila utaratibu, mpaka muda wa kikao ulipokaribia kwisha alitumia madaraka yake kuahirisha kikao hicho akisema: "Sasa muda umekwisha Nanahairisha shughuli za Bunge hadi jioni."Baada ya hapo wabunge walikaa kimya hadi alipotoka ukumbini na baadhi ya wabunge wakalipuka na kuanza kuimba wakisema: "CCJ! CCJ! CCJ!…."
Hiyo ilikuwa ni zomea ya wabunge dhidi ya Samweli Sitta alipoonekana mwiba bungeni kutetea maslahi ya posho
Mwananchi
Hiyo ilikuwa ni zomea ya wabunge dhidi ya Samweli Sitta alipoonekana mwiba bungeni kutetea maslahi ya posho
Mwananchi