kanta
JF-Expert Member
- Jan 24, 2011
- 343
- 65
'HATA AKITUA MALAIKA NDANI YA CCM HAWEZI KUPAMBANA NA UFISADI' Maneno hayo aliyatoa Dr. Slaa kwenye mkutano wa kwanza wa kampeni pale Jangwani.Ni muda mfupi sana tangu alipoitoa kauli hii na tayari imejidhihirisha watu wengi waliokuwa wanajifanya makamanda wa UFISADI wameota magamba makubwa zaidi ya kobe.But we know that time will tell.