Kujisahihisha kwa mambo unayodhani ulikuwa unafanya ndivyosivyo hauwezi kuwa unafiki. Unafiki ni kutoa hoja nyepesi kama wabunge wa CCm pamoja na huyo Samwel Sitta kuwa ati wabunge wa upinzani walikuwa wapi??. Hoja ya kujadili ni je, posho za vikao wanazo pewa wabunge zinastahili au la?