IsayaMwita
JF-Expert Member
- Mar 9, 2008
- 1,127
- 140
Hakika , hakika, CCM ni vicheko na ndelemo, kile walichotegemea sasa chatimia, walijua kuwa upinzania nguvu yao ni ndogo ni kelele za chura.
Ni kweli wapinzani walifanikiwa kuwashika pabaya ila kwa sasa kila kukicha wanajinasua pole pole,
Hebu sisi watanzania ni nani katuloga? tumekuwa kama gari linalosukumwa mara liwake mara lizime? Daaa!!!!! sijui hatima ya upinzani.
Kinachonisikisha ni hili jambo la ukabira linalotajwa kila kukicha, sijui uchaga, lakini ni kweli hawa ndugu zetu wachaga hatuoni mchango wao katika ujenzi wa Demokrasia hapa nchini?
Nadhani kuna kila sababu za kuvumiliana ndugu zangu, si vema kuuboa upinzani,
Ile hoja ya kwamba CHADEMA ndiyo chama mbadala inaanza kutoweka kila kukicha.
Je nini hatima ya haya yanayoendelea?
Je huu ndiyo mwisho na kusambaratika kwa chama(CHADEMA) hiki Makini?
Ni kweli wapinzani walifanikiwa kuwashika pabaya ila kwa sasa kila kukicha wanajinasua pole pole,
Hebu sisi watanzania ni nani katuloga? tumekuwa kama gari linalosukumwa mara liwake mara lizime? Daaa!!!!! sijui hatima ya upinzani.
Kinachonisikisha ni hili jambo la ukabira linalotajwa kila kukicha, sijui uchaga, lakini ni kweli hawa ndugu zetu wachaga hatuoni mchango wao katika ujenzi wa Demokrasia hapa nchini?
Nadhani kuna kila sababu za kuvumiliana ndugu zangu, si vema kuuboa upinzani,
Ile hoja ya kwamba CHADEMA ndiyo chama mbadala inaanza kutoweka kila kukicha.
Je nini hatima ya haya yanayoendelea?
Je huu ndiyo mwisho na kusambaratika kwa chama(CHADEMA) hiki Makini?