Mnyamahodzo
JF-Expert Member
- May 23, 2008
- 1,932
- 985
Kichwa: Wapili kutoka Jakaya kwenda kulia mfupi ni nani?Upande wako wa kulia sio wa JK. Umeambiwa mfupi. Kusoma huwezi, hata picha pia huoni?
Maelezezo ya picha: Jamani naomba kujua afisa aliye mstari wa mbele wa pili upande wa kulia toka kwa Ndugu Rais Jakaya Kikwete.<!-- google_ad_section_end -->
Mkuu, usifoke tu. Niliyemtaja mbona na yeye ni mfupi, faida yake kidogo ni kuwa amekuwa karibu na mpiga picha. Lakini kama unajua kusoma picha, katika huo mstari wa mbele yeye ni wa pili kwa ufupi (nafikiri huenda wakawa sawa au amepitwa urefu na mtu wapili toka kulia mstari wa nyuma).
To make the day good re-read hizo sentensi mbili za mtoa mada and look at them from the other angle. Ha ha ha ha!