Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,393
- 31,344
Kwanza niwashukuru wakuu, leo nimefarijika maana nilishafikia mahali nikadhani nina tatizo la kufikiri.
Kwa muda mrefu nimekuwa napinga sana hili suala la serikali 3 au mkataba.
Nimepinga kwasababu hali ilipofikia muungano wetu utavunjika na naomba hilo litokee.
Muungano unavunjika kwasababu ule uvumilivu waliokuwa nao Watanganyika umefika mwisho. Ile karata ya Wazanzibar kutishia kila jambo ili wapate sasa inafika mwisho.
Na kwa vile Tanganyika isiyonufaika na lolote kutoka Zanzibar imechoka basi ni wazi Zanzibar haina ubavu wa kulinda tena muungano.
Nimekuwa nauliza, je ni kwanini tufkirie jambo lingine ikiwa huu muungano wa kubebana umeshindikana?
Nimewahi kusema kuwa Tanganyika ni lazima tuwe macho kwasababu kundi la Sultan likiongozwa na Maalim Seif, Ahmed Rajab, Jusa na Ali Salehe linataka kutufanya tufikiri wanavyotaka wao.
Wamefanikiwa kuwafanya Wazanzibar zombie kwa kauli ya 'tuache tupumue'. Unaachwaje upumue ikiwa watoto, wake, waume na wajukuu zako wanapumua Tanganyika ili nawe upumue?
Maalimu Seif amekana sera za chama chake ingawa nazo sikubaliani kuhusu serikali 3.Mnafiki huyu anawezaje kukushauri mtu mwenye kutumia kichwa kilicho na ubongo?
Hajwawahi KUTAMAKA VUNJA MUUNGANO hadharani, ingawa kwa unafiki anatamka katika vikao vya vichochoroni.
Mtu mnafikina kama Maalim Seif hawezi kushauri muungano wa mkataba bila kuwa na sababu!
Seif na kundi lake linalopinga mapinduzi wanajua fika kuwa Zanzibar kisosholojia,kiuchumi, kisiasa inategemea sana Tanganyika.
Huu ni ukweli mchungu lakini hilo wanalijua lakini wamewageuza wananchi wao mazombie kwa kutowaambia ukweli
FJM, muungano wa Uswis, Snegambia, EU, Morocco na Botwsana ni katika kutapa tapa.
Maalimu alitoa maelezo kuhusu serikali 3 na zigo la kuziendesha.
Tuliigeza hoja yake kama asusa, in fact mtu wa kiwango chake ilikuwa ni dhalili ya hali ya juu sana. Namshukuru mungu hakuwahi kuwa Rais na hatakuwa kiongozi wa nchi yangu hata siku moja.
Huu mkataba wanaoutaka si mkataba, ni utegemezi!
Niambieni Tanganyika itafaidika na nini katika mkataba wanaoupendekeza (Nitajieni jambo moja tu)
Nimeuliza sana maswali, Mkataba wa jambo gani? Ahmed Rajab, Seif na kundi la Sultan hawajawahi kujibu hata siku moja. Badfo wapo magazetini na mikutanoni wakihubiri huu upuuzi kwa kudhani kuwa sote ni Wazanzibar.Wanadhani kwavile wamewageuza Wazanzibar ma-toy basi wanaweza kutugeuza Tanganyika.Maalim Seif, Ahmed Rajab na Sultan inc wameshindwa kuvitetea kwanini watuuzie upuuzi nasi tuwaangalie tu! Tuwaambie bila kificho huo ni upuuzi! period.
Natoachangamoto , Tanganyika ulizeni kuwa mkataba uhusu nini? Mbona tuna mkataba tayari ?
Tusiingie kichwa kichwa, hili genge la Wahuni wawili au watatu ushauri wao mwisho Chumbe!
Hatutaki chochote zaidi tunawataka tuwasaidie wajitoe katika ukoloni.
Tuwasaidieni, Maalimu Seif akija katika mikutano ni kumwambia UNAFIKI hatutaki arudi akaijenge Zanzibar.
Tuwasaidie waondoke haraka, natamani kama kuna jambo wangeniomba niwasaidie kufikia ndoto yao.
Wazanzibar wajue jambo moja, UPUUZI WA MKATABA mwisho Chumbe! Ushauri wa Sultan & sons co ltd mwisho Chumbe! Unafiki mwisho Chumbe! Muda wa kubebana mwisho rasi kilomoni! Tupasue jahazi
Kwa muda mrefu nimekuwa napinga sana hili suala la serikali 3 au mkataba.
Nimepinga kwasababu hali ilipofikia muungano wetu utavunjika na naomba hilo litokee.
Muungano unavunjika kwasababu ule uvumilivu waliokuwa nao Watanganyika umefika mwisho. Ile karata ya Wazanzibar kutishia kila jambo ili wapate sasa inafika mwisho.
Na kwa vile Tanganyika isiyonufaika na lolote kutoka Zanzibar imechoka basi ni wazi Zanzibar haina ubavu wa kulinda tena muungano.
Nimekuwa nauliza, je ni kwanini tufkirie jambo lingine ikiwa huu muungano wa kubebana umeshindikana?
Nimewahi kusema kuwa Tanganyika ni lazima tuwe macho kwasababu kundi la Sultan likiongozwa na Maalim Seif, Ahmed Rajab, Jusa na Ali Salehe linataka kutufanya tufikiri wanavyotaka wao.
Wamefanikiwa kuwafanya Wazanzibar zombie kwa kauli ya 'tuache tupumue'. Unaachwaje upumue ikiwa watoto, wake, waume na wajukuu zako wanapumua Tanganyika ili nawe upumue?
Maalimu Seif amekana sera za chama chake ingawa nazo sikubaliani kuhusu serikali 3.Mnafiki huyu anawezaje kukushauri mtu mwenye kutumia kichwa kilicho na ubongo?
Hajwawahi KUTAMAKA VUNJA MUUNGANO hadharani, ingawa kwa unafiki anatamka katika vikao vya vichochoroni.
Mtu mnafikina kama Maalim Seif hawezi kushauri muungano wa mkataba bila kuwa na sababu!
Seif na kundi lake linalopinga mapinduzi wanajua fika kuwa Zanzibar kisosholojia,kiuchumi, kisiasa inategemea sana Tanganyika.
Huu ni ukweli mchungu lakini hilo wanalijua lakini wamewageuza wananchi wao mazombie kwa kutowaambia ukweli
FJM, muungano wa Uswis, Snegambia, EU, Morocco na Botwsana ni katika kutapa tapa.
Maalimu alitoa maelezo kuhusu serikali 3 na zigo la kuziendesha.
Tuliigeza hoja yake kama asusa, in fact mtu wa kiwango chake ilikuwa ni dhalili ya hali ya juu sana. Namshukuru mungu hakuwahi kuwa Rais na hatakuwa kiongozi wa nchi yangu hata siku moja.
Huu mkataba wanaoutaka si mkataba, ni utegemezi!
Niambieni Tanganyika itafaidika na nini katika mkataba wanaoupendekeza (Nitajieni jambo moja tu)
Nimeuliza sana maswali, Mkataba wa jambo gani? Ahmed Rajab, Seif na kundi la Sultan hawajawahi kujibu hata siku moja. Badfo wapo magazetini na mikutanoni wakihubiri huu upuuzi kwa kudhani kuwa sote ni Wazanzibar.Wanadhani kwavile wamewageuza Wazanzibar ma-toy basi wanaweza kutugeuza Tanganyika.Maalim Seif, Ahmed Rajab na Sultan inc wameshindwa kuvitetea kwanini watuuzie upuuzi nasi tuwaangalie tu! Tuwaambie bila kificho huo ni upuuzi! period.
Natoachangamoto , Tanganyika ulizeni kuwa mkataba uhusu nini? Mbona tuna mkataba tayari ?
Tusiingie kichwa kichwa, hili genge la Wahuni wawili au watatu ushauri wao mwisho Chumbe!
Hatutaki chochote zaidi tunawataka tuwasaidie wajitoe katika ukoloni.
Tuwasaidieni, Maalimu Seif akija katika mikutano ni kumwambia UNAFIKI hatutaki arudi akaijenge Zanzibar.
Tuwasaidie waondoke haraka, natamani kama kuna jambo wangeniomba niwasaidie kufikia ndoto yao.
Wazanzibar wajue jambo moja, UPUUZI WA MKATABA mwisho Chumbe! Ushauri wa Sultan & sons co ltd mwisho Chumbe! Unafiki mwisho Chumbe! Muda wa kubebana mwisho rasi kilomoni! Tupasue jahazi